Latest Posts
Miaka 59 ya uhusiano wa Tanzania na Indonesia yaimarisha uchumi
Na Immaculate Makilika – MAELEZO INAELEZWA kuwa chimbuko la uhusiano kati ya Tanzania na Indonesia ni Mkutano wa Bandung uliofanyika mwaka 1955 ambapo nchi nyingi za Afrika na Asia zilikuwa katika utawala wa kikoloni kwa kipindi hicho. Kupitia Mkutano huo…
RC Mbeya awataka wananchi kuona umuhimu wa kutunza mazingira Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amesema kuwa shirika lisilo la kiserikali la Site Trust Foundation lipo kwa ajili ya kuwahudumia wananchi katika sekta ya afya ,elimu, maji, michezo na mazingira katika jamii kwa…
RPC Pwani:Madereva wavunja sheria kudhibitiwa Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishina Msaidizi wa Polisi, Pius Lutumo amewaasa, askari wa Polisi Chalinze kutokuwa na muhali kwa madereva wanaokiuka Sheria za usalama barabarani. Akiwa katika siku ya pili ya ziara ya ukaguzi…
Lyidenge ataka wafanyakazi wa miradi kuwa na nidhamu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chalinze, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Sophia Lyidenge amewataka wafanyakazi wa mradi wa umeme wa serikali kuwa na nidhamu na kutokujihusisha na vitendo vya kihalifu. Amebainisha hayo leo Agosti 20 alipotembelea mradi…
Rc Chalamila: Wananchi wahamasishwe utekelezaji afua za lishe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameyasema hayo leo wakati wa kikao cha tathimini ya utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa Lishe kwa Kipindi cha Julai 2022 hadi Juni 2023 katika ukumbi wa…
Hakuna kilichosimama miradi ya maendeleo Ushetu
Na Mathias Canal, Ushetu-Shinyanga Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Dkt Emmanuel Cherehani amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuhakikisha maendeleo yanawafikia wananchi kwa wakati….