JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi sehemu za kazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni na taasisi amabzo zimetoa mchango mkubwa kwenye uendelezaji ujuzi pahala pa kazi. Tuzo hizo zimetolewa mwishoni mwa wiki…

Simba yafufua matumaini

Bao pekee la beki Mkongo, Henock Inonga Baka ‘Varane’ dakika ya 20 limetosha kuipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Vipers katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa St. Mary’s mjini Kitende. Ushindi…

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo Februari 25,2023

CBE yazindua klabu ya ujasiriamali sekondari ya Temeke Wailes

Na Mwandishi Wetu Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimezindua klabu ya ujasiriamali kwa shule ya sekondari Temeke Wailes iliyoko Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam. Uzinduzi wa klabu hiyo ulifanyika jana Ijumaa kwenye shule hiyo.Chuo hicho kimesema vilabu…