JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Chuo Kikuu Huria ni mkombozi wa walalahoi -Waziri Simbachawane

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Serikali imesema inatambua na kuthamini mchango wa Chuo Kikuu huria nchini katika kuendeleza elimu kwa walala hoi, wafanyakazi ambao hawana elimu ya juu kutokana na kukosa muda wa ziada na kuahidi kushughulikia changamoto zote zinazokikabili…

DC Rufiji : TEMESA ifanyekazi kwa uaminifu na ufanisi kuondoa malalamiko

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Serikali Mkoani Pwani ,imeutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA ) kufanya majukumu yake kwa uaminifu na kufuata maelekezo yanayotolewa na Serikali ili kuondoa malalamiko kwa wateja . Akimwakilisha mkuu wa Mkoa wa Pwani,…

Zaidi ya bilioni 1.2/- kukamilisha majengo ya elimu Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya Shilingi 1,261,950,000.00 zinatarajia kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 22,Ofisi 1 ya walimu,mabweni 3 na nyumba 4 za walimu zenye uwezo wa kuweka familia 8 zinazoendelea kujengwa kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha ili…

Kapinga: Desemba 2023 vijiji vyote 758 Mtwara vitakuwa na umeme

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imesema hadi kufikia Desemba 2023 vijiji vyote 758 mkoani Mtwara vitakuwa vimepata umeme. Akizungumza mkoani Mtwara, tarehe 21 Septemba, 2023, Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema katika vijiji hivyo vingi vilikuwa havina umeme, hivyo watapeleka…

Njooni muwekeze Tanzania Kisiwa cha amani – Othman

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imetoa wito kwa washiriki wa Kongamano la Nishati wakiwemo Mawaziri, Watunga Sera, Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma na Binafsi, Wafanyabiashara na Viongozi mbalimbali wa Makampuni kutoka ndani na Nje ya Tanzania walioshiriki Kongamano la…

RC Chalamila afanya ziara ya kukagua ufanisi wa uzalishaji maji DAWASA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Septemba 21, 2023 amefanya ziara ya kukagua ufanisi wa uzalishaji wa maji Wilaya ya Ubungo na Kinondoni jukumu ambalo linatekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na…