Latest Posts
Sheria kandamizi ni mwiba kwa wanahabari
Na Stella Aron,JamhuriMedia Serikali ipo tayari kupeleka mabadiliko ya sheri ya habari bungeni baada ya kikao cha mwisho kukubaliana baadhi ya mapendekezo hayo. Hiyo ni kauli ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye wakati akizungumza na uongozi…
TCRA yawafungulia milango vijana wabunifu katika TEHAMA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),kwa kushirikiana na taasisi zingine imeboresha mazingira rafiki kwa vijana wabunifu wa TEHAMA ili kuwarahisishia kutengeneza fursa za kukuza ubunifu na kujitengenezea ajira. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt.Jabir Bakari amesema Serikali imeweka mfumo…
Miaka 74 ya RECO Engineering Company na utoaji huduma za kisasa kwa wateja
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Ikiwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kuboresha mazingira ya uwekezaji,wawekezaji Wazawa wamekua wakiunga Mkono jitihada za Serikali katika shughuli za maendeleo. Kufuatia hatua hiyo Kampuni ya Wazawa ya RECO Engineering…
Askari wapata mafunzo ya kudhibiti wanyamapori wakali
ASKARI wanyamapori wa vijiji (VGS)37,wamehitimu mafunzo maalum ya kozi namba 18/2022 katika chuo cha mafunzo ya Uhifadhi Maliasili kwa Jamii Likuyusekamaganga wilaya ya Namtumbo mkoni Ruvuma. Akitoa taarifa ya mafunzo hayo,mkuu wa chuo hicho Jane Nyau alisema,askari hao wamepata mafunzo…
Tarangire hifadhi yenye tembo wengi wanaoishi eneo moja Afrika
Vita ya kutaka kuwinda wanyamapori baina ya makampuni yameingiza katika mgogoro Jumuiya ya Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge, Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara, baada ya Spika wa Jumuiya hiyo kutangaza Kitalu cha uwindaji kipo wazi bila ridhaa…