JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yatangaza mikakati ya kudhibiti uharibifu wa mazingira JNHPP

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kulinda bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP) ikiwemo kutekeleza sheria ya kudhibiti shughuli za kibinadamu. Kauli…

Tanzania yapiga hatua utekelezaji wa mkataba wa haki za wenye ulemavu – Wakili Mpanju

Na WMJJWM- New York Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu . Wakili Mpanju amesema…

Mameya wa Los Angeles wamtaka Trump kuondowa wanajeshi

Mameya kadhaa wa eneo la Los Angeles wameungana pamoja kuutaka utawala wa Trump kusimamisha uvamizi dhidi ya wahamiaji ambao umeleta wasiwasi na kuchochea maandamano kote nchini Marekani. Mameya hao wakiwa na wajumbe wa mabaraza ya miji walimtaka Trump siku ya…

Wazazi waaswa kutokuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serengeti Polisi Kata wa Kata ya Ikoma Wilaya ya Serengeti mkoani Mara Sajenti Emmanuel, ametoa wito kwa wazazi kutokuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto wao. Ametoa kauli hiyo wakati akitoa elimu ya Polisi Jamii…

Wananchi Endiamtu wampa tano diwani Chimba kwa utekelezaji Ilani ya CCM kikamilifu

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro WANANCHI wa Kata Endiamtu wilayani Simanjiro mkoani Manyara wamempongeza Diwani wa Kata hiyo Lucas Zacharia Chimba kwa uwajibikaji wake wa utekelezaji wa Ilani ya CCM kikamilifu. Wameyasema hayo jana mara baada ya Diwani Chimba kuelezea…

Mwenyekiti vijana CHADEMA Musoma aliyetimkia CHAUMA nafasi yake yapata mrithi

Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) Wilaya ya Musoma Mkoani Mara Otaigo Mnanka aliejiunga na Chama Cha Ukombozi wa Umma ( CHAUMA)nafasi yake yapata mrithi. Mrithi huyo amepatikana June 8,2025 mara baada Baraza hilo…