JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Katibu Mkuu Nishati aridhishwa na kasi ya utekelezaji mradi wa umeme jua Kishapu

πŸ“Œ Utekelezaji wafikia asilimia 80.4 πŸ“Œ Awamu ya kwanza kukamilika Desemba 2025 πŸ“Œ Mhandisi Mramba asema ni jitihada za Rais Samia kuhakikisha wananchi wanapata nishati safi, salama na nafuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga, Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza…

Dk.Mwinyi : Tutaendelea kugharamia vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kikwajuni Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uwezeshaji wa watu wenye ulemavu kiuchumi kupitia ajira, elimu na upatikanaji wa vifaa saidizi endapo atapewa ridhaa ya kuendelea…

Serikali yaendelea kuimarisha huduma za ustawi kwa wazee

Na Jackline Minja – WMJJWMDar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee kwa kuhakikisha kundi hilo linapata huduma…

Tanzania yazindua mradi wa dunia kukabiliana na magonjwa ya mlipuko na dharura za kiafya

πŸ“Œ Dkt. Biteko ataka utekelezaji wa kuleta matokeo chanya πŸ“Œ Mradi kugharimu Dola za Kimarekani milioni 38.7 πŸ“Œ WHO, FAO, UNICEF na Pandemic Fund zaipongeza Tanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…

ALAF yatoa fursa zaidi kwa wanawake katika uongozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya ALAF Limited, inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi, imejizatiti kuhakikisha inawajengea wanawake uwezo zaidi wa kushika nafasi za juu za uongoziΒ  katika kampuni hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali…

Karamagi amshukuru Samia ukarabati bandari

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Muleba Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Nazir Karamagi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ukarabati mkubwa uliofanywa katika bandari za Bukoba na Kemondo kuwa utasaidia kuondoa changamoto za usafiri…