Latest Posts
Simba Queens yalamba bil.1/-M Bet
Na Wilson Malima,JamhuriMedia,Dar Timu ya soka ya Wanawake Simba Queens imefanikiwa kusaini mkataba wa thamani ya Sh. bilioni 01 kwa kipindi cha miaka mitano kutoka kwa kampuni ya michezo ya kubashiri M-Bet, ambapo timu hiyo itakuwa ikipokea milioni 200 kila…
TMA yatoa ushauri wa kupanda mazao yanayokomaa muda mfupi
Na Stella Aron,JamhuriMedia,Dar MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imewashauri wakulima kupanda mazao na mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi na zinazostahimili upungufu wa mvua kama vile mazao jamii ya mizizi, mikunde na mazao ya bustani. Ushauri huo umetolewa na…
Majaliwa:Rais Samia amedhamiria kuimarisha utoaji huduma za afya
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha upatikanaji wa wataalam, dawa, vitendanishi na vifaa tiba. Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Oktoba 26, 2022 baada ya kushuhudia utiaji saini…
Ndumbaro:Ni muda mzuri wa kuomba mabadiliko ya sheria ya habari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha WADAU wa habari nchini wameshauriwa kuweka nguvu za pamoja katika harakati za kutafuta mabadiliko ya sheria ya habari ambazo zimekuwa kikwazo. Ushauri huo umetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk.Damas Ndumbaro wakati akizungumza na viongozi wa…
Gondwe aipongeza WESE kuunga mkono jitihada za Serikali
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam Godwin Gondwe ameipongeza kampuni ya WESE kwa kuanzisha jukwaa litakalosaidia madereva kupata huduma ya mafuta kwenye vituo vya mafuta nakulipa fedha baadae. Akizungumza leo Oktoba 26,2022 Dar es Salaam kwa…
Waliofutwa kazi kwa vyeti feki kurudishiwa NSSF zao
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Rais Samia ameridhia Watumishi walioondolewa kazini kwa kughushi vyeti kurejeshewa michango yao waliyochangiwa katika Mifuko ya Hifadhi ambayo kwa PSSSF ni asilimia tano na Kwa NSSF ni asilimia kumi ya mshahara. Hayo yamesemwa na Waziri wa Kazi,…





