JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mtandao wa wabunge wa kupambana na rushwa Afrika kushirikiana na TAKUKURU

Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) amesema mtandao wao utashirikiana kikamilifu na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) katika mapambano dhidi…

Hawa hapa wachezaji waliowahi kucheza Real Madrid na Atletico

Na Wilson Malima,JamhuriMedia Wachezaji ambao wamewahi kuchezea Real Madrid na Atletco de Madrid, kwa vipindi tofauti kuelekea dabi ya Madrid. Katika msimu wa 2022/23 wa LaLiga Santander, kuna wachezaji kadhaa ambao wamebahatika kucheza mechi ya Atlético dhidi ya Real Madrid, wakiwa na…

Rais Samia amlilia Balozi Paul Rupia

Balozi Rupia (86) amefariki leo asubuhi nchini Afrika Kusini ambapo amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje katika nchi mbalimbali. Pia, aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa…

Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Polisi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Mahakama ya Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu watu wanne kunyongwa hadi kufa kwa tuhuma za kuwaua askari wawili wa Jeshi la Polisi wa kituo cha Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora. Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi wa…