Latest Posts
FCC Yaimarisha elimu ya Ushindani kwa wafanyabiashara SABASABA
WAFANYABIASHARA na wananchi kwa ujumla wametakiwa kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea banda la Tume ya Ushindani (FCC) ili kupata huduma mbalimbali za papo kwa papo pamoja na elimu kuhusu ulinzi wa…
TET Yatumia Maonesho ya Sabasaba Kuelimisha Umma kuhusu Mtaala Ulioboreshwa
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) unalenga kuelimisha wananchi kuhusu maboresho ya mitaala, kuhamasisha elimu jumuishi na kusogeza karibu…
Majaji wapya wa rufani wapigwa msasa: wahimizwa kuzingatia maadili, hekima katika utoaji haki
Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Majaji wapya tisa wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamehimizwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya haki, hekima na huruma, badala ya kufungwa na masharti ya kiufundi ya kisheria yanayoweza kukwamisha…
Mafunzo elekezi yanawajengea Majaji wa rufani uwezo wa kutoa haki kwa ufanisi : Jaji Kihwelo
· Yanawaandaa pia Majaji wapya kutekeleza majukumu yao kwa weledi, kujiamini na kuzingatia misingi ya utoaji haki Na HALIMA MNETE, Mahakama-Dodoma. Majaji wa Mahakama ya Rufani wametakiwa kutumia mafunzo elekezi wanayopatiwa kama fursa ya kujenga uwezo, kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa…
Waziri Mkuu Mwigulu awakaribisha wawekezaji kujenga viwanda vya kuongeza thamani madini
▪️Atangaza fursa za madini muhimu ambayo Tanzania inayo ▪️Awataka kuwekeza kwenye kuongeza thamani Madini nchini ▪️Waziri Mavunde asema ni matakwa ya sera ya Madini kuongeza thamani madini ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira wezeshi ya Biashara ▪️Sekta za Madini,Kilimo,Nishati na Mawasiliano…
Waziri Ndejembi ajadili awamu ya pili ya mradi wa umeme jua Kishapu na washirika wa maendeleo
Paris, Ufaransa Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha ya Ufaransa, Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) pamoja na kampuni ya SAGECOM, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa awamu ya pili…





