Latest Posts
Marekani yazidisha mashambulizi, Iran yaapa kutosalimu amri
Marekani imesema imeyashambulia maeneo zaidi ya 90 ya kijeshi ya Iran katika kisiwa cha Kharg, huku Iran nayo ikijibu mashambulizi hayo kwa kufyetua makombora na droni kuelekea Israel na katika nchi jirani za Ghuba. Kamandi kuu ya jeshi la Marekani…
Serikali yaipongeza Bodi ya Mikopo kuendelea kuwafikia wanafunzi wengi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Denis Londo amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwekezaji katika elimu ya juu ili kuwajengea vijana uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Akizungumza…
TRC yaanza kuunda vichwa vya treni za MGR nchini
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, imelitolea wito Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania wanaounda na kukarabati vichwa vya treni za MGR, kwa kuwapa mafunzo thabiti ndani na nje ya nchi ili kuongeza maarifa,…
Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi wa daraja la Katuma
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua na kuridhishwa na ujenzi wa daraja la Katuma mita 55 katika barabara ya Sitalike-Kizi km 64. Akizungumza mara baada ya kuikagua barabara hiyo ameipongeza Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kwa…
Uimarishaji mpaka wa Tanzania na Kenya wafikia asilimia 75
Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Kilimanjaro Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na kazi ya uimarishaji wa mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya ambapo Km 564 sawa asilimia 75 tayari zimewekewa alama kati ya…
Ulega : Chini ya uongozi wa Rais Samia miundombinu inaendelea kujengwa kila kona ya nchi
Na Mwandisshi Wetu Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali inaendelea kutekeleza miradi mingi ya maendeleo ya miundombinu nchini, hatua inayodhihirisha dhamira ya dhati ya kuijenga na kuikuza Tanzania. Ulega…





