JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi wavutiwa na elimu ya vipimo wanapata kuwa mabalozi wa WMA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Wananchi wanaotembelea Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kutoka kwa Wakala wa Vipimo (WMA), wakisema imewapa uelewa mpana wa namna…

Masoko ya Madini yaimarisha uwazi, kudhibiti utoroshaji

📍Dodoma Tume ya Madini imesema kuanzishwa kwa masoko ya madini na vituo vya ununuzi wa madini nchini kumeongeza uwazi katika biashara ya madini na kusaidia kudhibiti utoroshaji wa rasilimali hiyo, hatua iliyochangia kuongezeka kwa mapato ya Serikali. Akizungumza leo katika…

Umoja wa kitaifa ni muhimu katika utekelezaji wa Dira 2050 – Waziri Sangu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali imeviasa vyama vya siasa kuendelea kuimarisha mazungumzo, ushirikiano na umoja wa kitaifa wakati Tanzania ikijiandaa kuanza kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 mwezi Julai mwaka huu. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi,…

Ndege agawa kompyta, meza, kabati kwa shule na zahanati Babati

Na Mwandishi Wetu, Babati NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray amegawa viti 45, kompyuta 36, makabati na meza kwa shule za msingi, sekondari, zahanati na vituo vya Afya,…

OWM yashiriki Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026

Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Bi. Stella Mwaiswaga pamoja na Watumishi wengine kutoka Ofisi hiyo wameshiriki ufunguzi wa Maonesho…

TANESCO muongeze vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme -Ridhiwani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amelitaka Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) kuongeza vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia nishati ya umeme ili kuongeza wigo wa utoaji…