Latest Posts
Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
-Ampongeza Rais Samia kwa kuwa kinara wa ushirikishwaji wa Watanzania migodini -Awataka Watanzania kuunganisha nguvu na kutoa huduma bora -Atoa angalizo kwa wawekezaji kutii sheria za nchi -Ununuzi wa bidhaa na huduma sasa wafikia Shilingi Trilioni 5.1 kwa mwaka MWANZA…
Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi shirikishi ili kudumisha amani, utulivu na usalama uliyopo Kwenye kata zao. Wito huo umetolewa Julai 22,…
Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani
📌Yalenga kupunguza vifo kwa asilimia 50 ifikapo 2030 Wizara ya Ujenzi imesema inaendelea kutekeleza Mradi wa kuimarisha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Japan (JICA), ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya barabara, kuongeza usalama…
Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia
Busan, Korea Kusini – Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika UNESCO, Mhe. Saidi Yakubu, amekutana na Waziri wa Nchi wa Japan anayeshughulikia Mambo ya Nje, Mhe. Iwao Horii, pembezoni mwa Mkutano wa 48 wa…
Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
📌Zaidi ya Bilioni 203 zatumika kufikisha Umeme kwenye Vijiji mkoani Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kutafuta fedha kuhakikisha Vitongoji vyote mkoani Mtwara vinafikishiwa umeme. Ahadi hiyo, imetolewa leo na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa hafla…





