Latest Posts
Waziri Mkuu : Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mkakati wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na miradi inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Sokoine, wilayani…
Mwenyekiti Kamati ya Kitaifa ataka wadau kuongeza weledi katika kutokomeza ukatili
Na Mwandishi Wetu Zanzibar Mwenyekiti wa Kamati ya Mapngo wa Kitaifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Haroun Ali Suleiman, amewataka wadau…
Uchumi wa Buluu ni mlango mpya wa itajiri wa taifa
*Uchumi wa buluu unahusisha uvuvi, usafirishaji, utalii, gesi, petrol na umwagiliaji. Na Mwandishi Wetu UTEKELEZWAJI wa sera ya uchumi wa buluu umetajwa kuwa lango kuu la uchumi kutokana na fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye sekta hiyo. Sekta ya uchumi wa buluu…
Serikaki kuanza kutoa vibali vya ujenzi kwa wamiliki walio tayari uendelezaji upya eneo la Sinza
Dar es Salaam Serikali imetangaza kuanza kutoa vibali vya ujenzi na kufanya majadiliano na wamiliki wa ardhi na nyumba ambao wapo tayari kushiriki kwenye Mpango wa Uendelezaji Upya eneo la Sinza, huku ikisisitiza kuwa mchakato uliopita umefutwa ili kutoa nafasi…
Kunenge: Nanenane iwe jukwaa la kutatua changamoto za kilimo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, amewataka wataalamu wa sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kuhakikisha Maonesho ya Nane Nane ya mwaka huu yanakuwa chachu ya kuongeza tija, uzalishaji na thamani ya mazao ili…





