Latest Posts
Mfanyabiashara usafirishaji mizigo ahukumiwa kulipa faini na kurejesha milioni 60/-
Na Mwandishi Wetu, Kinondoni Mnamo Aprili 29, 2026 Mfanyabiashara Aliasgher Akhter Khakoo ambaye hufanya shughuli za usafirishaji mizigo na abiria alihukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya Tsh. 3,000,000/= na…
Kawaandaeni vijana wa kitanzania kuwa wabunifu, wajasiriamali na washindani katika ajira – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka walimu wapatao 150 wa shule za amali waliopatiwa mafunzo nchini India kwenda kuwapatia ujuzi vijana…
CCM yaeleza msimamo wake kuhusu ripoti ya vurugu za uchaguzi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kuunga mkono kwa dhati ripoti ya Tume ya Uchunguzi kuhusu matukio ya vurugu yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, huku kikiahidi kushirikiana kikamilifu katika utekelezaji wa mapendekezo…
Miwili ya watu wawili yapatikana ikielea majini Salenda, Zimamoto yawaopoa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Miili ya watu wawili, mwanaume na mwanamke, imeokolewa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana ikiwa inaelea juu ya maji katika maeneo ya Salenda. Akizungumza na waandishi wa habari leo…





