Latest Posts
Washindi Tuzo ya Kiswahili ya Safal kujulikana Ijumaa
Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada saba katika vipengele vitatu — riwaya, ushairi, na makusanyo ya hadithi fupi — ikiwa ni utangulizi wa hafla ya utoaji tuzo hizo kwa msimu wa 10,…
CHADEMA kabla ya kunyooshea wengine kidole…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa kale unaosema, “ukitaka kusafisha mji, anza kufagia mbele ya mlango wako.” Huo ndio msingi wa uongozi unaojenga heshima na kuaminika. Katika siasa za ushindani, hakuna chama kisichokosolewa. Hakuna pia kiongozi…
Kikwete aitaka Afrika kubadili ahadi za afya kuwa utekelezaji wenye bajeti
Accra, Ghana — Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka serikali za Afrika kuacha kutegemea zaidi matamko na ahadi zisizoambatana na utekelezaji, na badala yake kuweka fedha za ndani, uwajibikaji na matumizi ya ubunifu…
Watendaji Manispaa ya Ubungo wapongezwa ubunifu wa ununuzi wa mitambo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe, Prof. Palamagamba Kabudi amepongeza watendaji wa Manispaa ya Ubungo kwa ubunifu wa ununuzi wa mitambo ya kutengeneza barabara itakayosaidia mageuzi ya uimarishaji wa mtandao wa barabara…
Waziri Kombo akutana na Katibu Mkuu wa OACPS, wazungumzia mageuzi na ushirikiano wa kimkakati
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), Mhe. Moussa Saleh Batraki, katika mazungumzo yaliyolenga kuimarisha ushirikiano kati…
Tusiwape watoto urithi wa hasira
Na Deodatus Balile, Jamhurimedia, Nairobi Nimekuja hapa Nairobi kufanya mafunzo yanayohusiana kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya jamii. Tunafundishana haki za wanawake, watoto na uthamini wa jinsia. Katika jamii tunayoishi kuna urithi wa nyumba, mashamba na fedha. Lakini kuna urithi…





