Latest Posts
Kamati ya Bunge yaridhika upatikanaji dawa nchini na mipango ya uzalishaji
Na WAF, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeridhishwa na hatua iliyofikiwa ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini hali inayo fikia asilimia 90 ya bidhaa…
Serikali, wadau waweka mikakati kukabili vifo vitokanavyo na uzazi
Na WAF, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya, Idara ya Afya ya Uzazi wa Mama na Mtoto, kwa kushirikiana na Shirika la Thamini Afya wamekutana pamoja na kuweka mikakati utekelezaji wa Mradi wa Ushirikiano wa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi. …
Serikali kushirikiana na vyuo vikuu kuimarisha uwajibikaji katika utekelezaji wa shughuli za umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, kupitia Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Serikali, imesaini Hati za Mashirikiano (MoU) na Vyuo Vikuu vinne ambavyo ni Chuo Kikuu cha Dodoma,…
Tanzania yanadi vivutio vyake maonesho ya FITUR nchini Hispania
Nchi ya Tanzania imeendelea kunadi vivutio vyake katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii FITUR( Feria Internacional de Turismo) yanayofanyika katika Kituo cha Maonesho cha IFEMA, jijini Madrid, Hispania. Maonesho hayo yameanza Leo rasmi tarehe 21 Januari 2026. Maonesho ya FITUR…
Wajadili changamoto, mikakati ya kuboresha sekta ya elimu nchini
Na. Farida Ramadhan, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe.Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo Ujumbe kutoka Wizara ya Elimu Sayansi Na Teknolojia ikiongozwa na, Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Prof. Adolf Mkenda (Mb), katika Ofisi za Wizara…
Kamati ya miundombinu yasisitiza kipaumbele kwa makandarasi wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeisisitiza Wizara ya Ujenzi kuendelea na mkakati wa kuinua na kuwasaidia Makandarasi wazawa ili kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa miradi ya mbalimbali ya ujenzi nchini. Hayo yameelezwa na…





