Latest Posts
Tanzania yaimarisha upatikanaji haki kwa wanawake, wasichana
Na WMJJWM – New York, Marekani Tanzania imeimarisha upatikanaji wa haki kwa wanawake na wasichana ili kufanikisha usawa wa kijinsia na maendeleo endelevu. Hayo yamesemwa na Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Barke Sehel wakati akifungua mjadala maalum ulioandaliwa…
EWURA, WRBWB na TFS wapanda miti 5,000 kuadhimisha Wiki ya Maji Duniani Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Morogoro Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo imeongoza kampeni ya kupanda miti mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani, inayofikia kilele chake kila mwaka tarehe 22…
Wananchi watahadharishwa kutumia vyombo vilivyoidhinishwa kubeba abiria
Na Mwishi Wetu, JamhiluriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limewataarifu wananchi wanaotumia usafiri kwa njia ya maji kutumia vyombo vya usafiri majini vilivyoidhinishwa kubeba abiria na kuepuka kupanda vyombo vya mizigo ambavyo haviruhusiwi kubeba abiria….
Serikali Kuifanya Tanzania kitovu cha biashara – Dk Yonazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amesema Serikali imefanya juhudi mbalimbali za Kisera, Sheria na Kimkakati ili kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki…
Mchehu azitaka kampuni ambazo Serikali ina hisa chache kukumbatia uongozi wa kimkakati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache kuachana na usimamizi wa kawaida na kuelekea kwenye uongozi wa kimkakati unaotazama…
Bilioni 19.6 za mradi wa TACTIC kuleta mageuzi ya kijamii na kiuchumi Lindi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaolenga kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi katika Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. Hayo yameelezwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi…





