Latest Posts
Mramba akutana na wadau wa Kimataifa kuendeleza miradi ya Jotoardhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kuhusu fursa za kuendeleza miradi ya jotoardhi na kuimarisha matumizi ya nishati safi…
DC Mbalali aongoza zoezi la upandaji miti kuhifadhi mazingira ya mradi wa TAZA
📌 Lengo ni kuimarisha na kuhifadhi mazingira 📌 Maeneo yenye vyanzo vya maji vinavyochangia uzalishaji wa umeme kupewa kipaumbele Na Agnes Njaala, Itamboleo Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Brigedia Jenerali Maulid Surumbu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika maeneo yaliyopitiwa…
FCC, ZFCT zaimarisha ushiriliano ushirikiano kulinda ushindani wa haki
Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi…
Wakulima wa pamba wajitokeza kufungua akaunti kupokea malipo ya mazao
Wakulima wa zao la pamba kutoka vijiji vya Mbutu, Iyogelo, Ilambakuki, Imalanguzu na Mwamakoma vilivyopo katika Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, wamehamasika kufungua akaunti za benki na kusajili laini za simu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kupokea malipo…
JKT yafungua milango kwa walioshindwa kuripoti makambini
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefungua tena dirisha la kujiunga na mafunzo kwa vijana waliochaguliwa mwaka 2026 lakini wakashindwa kuripoti katika makambi waliyopangiwa awali, likiwataka kutumia fursa hiyo kwa kuripoti kwenye makambi yaliyo karibu na maeneo…
WRRB, EHCSS ya Misri kuboresha sekta ya ghala
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imefanya mazungumzo na Kampuni ya Egyptian Holding Company for Silos and Storage (EHCSS) ya nchini Misri ili kuimarisha usimamizi wa ghala, matumizi ya teknolojia za kisasa na kukuza biashara…





