Latest Posts
Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye ndiye yuleyule na hajabadilika kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. Amesema bado ni kiongozi anayeamini katika falsafa ya maridhiano kama ilivyokuwa…
Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema kuwa tume hiyo imebaini kuwepo kwa tofauti kati ya chanzo na kichocheo cha ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu, ambapo…
Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
‎Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema uchambuzi wa kisheria na ushahidi uliokusanywa unaonyesha kuwa matukio yaliyotokea siku hiyo hayakuwa maandamano ya amani, bali ghasia zilizoambatana na uvunjifu wa…
MSD yabainisha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Mavere Tukai, amethibitisha dhamira ya taasisi hiyo kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya ili kuboresha upatikanaji bidhaa za afya, gharama nafuu, na ubora wa huduma za afya….




