Latest Posts
Israel na Marekani zaendeleza mashambulizi dhidi ya Iran
Israel imesema imeanzisha wimbi jingine la mashambulizi dhidi ya Iran, leo Jumapili huku hali ya sintofahamu ikiendelea miongoni mwa Wairani baada ya kifo cha Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vilithibitisha…
Watu 6 wafariki katika ajali ya helikopta Kenya
Watu sita wamefariki dunia baada ya helikopta kuanguka magharibi mwa Kenya. Miongoni mwa waliofariki ni Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ng’eno. Ajali hiyo ilitokea Jumamosi katika eneo la Mosop, takribani kilomita 300 kaskazini-magharibi mwa jiji la Nairobi, kwa mujibu wa…
Dk Mwigulu azindua stendi ya mabasi ya Dk Samia Hanang
*Ataka fedha zitafutwe kujenga barabara ya Katesh – Babati *Akataza watendaji kuchukua bidhaa za wajasiriamali wadogo WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama…
Waziri wa Fedha aitaka TRA kuchangia utekelezaji Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA, ijipange ipasavyo kuhakikisha kuwa inachangia upatikanaji wa rasilimali fedha kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa…
Dk Chang’a afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO)
Geneva, 27 Februari 2026 Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (World Meteorological Organization – WMO) Prof. Celeste Saulo ameahidi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika kuboresha huduma za hali ya hewa kwa…





