JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Balozi Kaganda awasilisha hati za utambulidho kwa Rais wa Mauritius

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Mauritius, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, mwenye makazi yake ya kikazi Jijini Harare, Zimbabwe, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Mauritius, Mhe. Dharambeer Gokhool, katika hafla iliyofanyika Julai…

Mndolwa atangaza mkakati mpya wa kusafirisha mitambo ya visima virefu kunusuru mikoa yenye ukame

📍NIRC: DODOMA Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeanza kuweka mikakati ya jinsi ya kusafirisha mitambo yake mikubwa ya kuchimba visima virefu kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani yale yenye changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji chini ya ardhi, mara baada…

TBS Yatoa elimu ya uthibitishaji wa bidhaa kwa wajasiriamali SABASABA

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu na kuwahamasisha wajasiriamali kuthibitisha ubora wa bidhaa zao ili kukidhi matakwa ya sheria za viwango na kuongeza ushindani wa…

CRDB yawapata washindi wa Kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako”

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam CRDB Benki imeendesha droo ya kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako” na kuwapata washindi wa zawadi mbalimbali, ikiwemo watano waliojishindia safari ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, mshindi mmoja wa friji aina ya Double…

CCM, ACT- Wazalendo kimeeleweka Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar, itakayofanyika tarehe 09 Julai 2026, saa 4.00 asubuhi, katika viwanja vya Ikulu, Zanzibar….