JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ofisi ya Makamu wa Rais kufungua pazia Mei Mosi na Wizara ya Maji

Timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kufungua pazia la Michezo ya Mei Mosi, 2026 kwa kuumana na Timu ya Wizara ya Maji tarehe Aprili 16 mwaka huu. Ratiba iliyotolewa Aprili 15, 2026 na…

CCM Kibaha Mjini yakumbushwa kuimarisha mahusiano

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kongowe MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwajuma Nyamka, amesisitiza Serikali za mitaa pamoja na viongozi wa chama hicho kuimarisha mahusiano katika maeneo yao ili kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa majukumu. Amesema baadhi ya…

Manispaa Kibaha yatenga milioni 700 kukarabati barabara zilizoharibika kwa mvua

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha BARAZA la Madiwani Manispaa ya Kibaha limepitisha bajeti ya jumla ya Sh milioni 700 kwa ajili ya kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zilizonyesha kwa muda mrefu. Fedha hizo zinatokana na mgao wa Sh…

TARURA yaimarisha utekelezako wa miradi ya DMDP II, yasisitiza ubora na utunzaji wa miundombinu

Na Catherine Sungura-TARURA Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuonesha kwa vitendo dhamira yake ya kuboresha miundombinu ya barabara nchini hususan katika Jiji la Dar es Salaam kupitia utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji Jiji la…

Serikali yafuta leseni 40 za utafutaji madni

Serikali imefuta leseni 40 za utafutaji madini ambazo wamiliki wake wameshindwa kuziendeleza licha ya kupewa hati za makosa kutakiwa kurekebisha makosa yaliyobainika.  Waziri wa Madini Mhe Antony Mavunde (Mb) ametoa tangazo hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma…