JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof. Shemdoe akemea ubaguzi wanafunzi wenye mahitaji maalum wakati wa mitihani

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekemea tabia ya ubaguzi wa wanafunzi wenye mahitaji maalum unaofanywa na baadhi ya shule wakati wa…

Mawaziri Tanzania na Zambia kukutana Tunduma

Maandalizi ya Mkutano wa Mawaziri wa Biashara (Joint Trade Committee – JTC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia yamekamilika kufuatia kuhitimishwa kwa kikao cha Kamati ya Pamoja ngazi ya Makatibu Wakuu kilichofanyika leo, Mei 6,…

Marekani na Iran zakaribia makubaliano ya kumaliza vita

Marekani na Iran zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha vita katika eneo la Ghuba. Haya ni kwa mujibu wa chanzo kutoka Pakistan kinachohusika na juhudi za upatanishi. Kwa mujibu wa taarifa hizo, makubaliano hayo yanaweza kujumuisha kusimamishwa kwa mpango wa nyuklia…

REA yaandika historia mpya Korogwe

📌Yakabidhi mradi kwa TANESCO 📌Vitongoji vitano Mpale kufikishiwa umeme wa Gridi 📌Bodi ya REA yasisitiza kuchangamkia fursa uwepo wa nishati ya umeme 📍Korogwe – Tanga Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Kamishna Mstaafu wa Uhifadhi, Mhe. William Mwakilema, amesema Serikali itaendelea…

Wezi wa ng’ombe waenda jela miaka mitano Simanjiro

Na Mwandishi Wetu, Simanjiro WEZI wawili wamehukumiwa na mahakama ya mwanzo Shambarai wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja kwa kosa la wizi wa ng’ombe wa thamani ya Sh2.5 milioni Mshtakiwa wa kwanza Lazaro Miaroni mkazi…