Latest Posts
Chalamila: Shule mpya 29 za sekondari zinajengwa Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema shule mpya zaidi ya 29 za sekondari zinajengwa kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi 230,000 wanaotarajiwa kuanza kidato cha kwanza mwaka 2028. Akizungumza Dar…
NMB yajipanga kufungua zaidi milango ya mitaji kuelekea Dira 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Benki ya NMB imejipanga kupanua ufadhili kwa wafanyabiashara na wawekezaji ili kuongeza upatikanaji wa mitaji na kuharakisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayotegemea sekta binafsi kubeba sehemu kubwa ya uwekezaji unaohitajika kuifikisha…
Wizara ya Fedha yajenga uwezo wa Kamati za Ukaguzi wa Ndani
Na. Asia Singano, WF – Dodoma Wizara ya Fedha imeendesha mafunzo kwa wajumbe na wenyeviti wa Kamati za Ukaguzi wa Ndani kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao ya usimamizi, ushauri na ufuatiliaji wa utendaji wa Idara/vitengo vya…
Chalamila : Uchafu Dar marufuku, ukikamatwa usilaumu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametangaza mikakati ya kukomesha utupaji wa taka hovyo jijini humo, akisisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaokiuka utaratibu wa usafi. Akizungumza leo…
MOI yaanza kutumia mbinu mpya kutibu kiharusi
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza kutumia technolojia ya kisasa kutoa matibabu ya kibingwa ya upasuaji wa ubongo kwa wagonjwa wa kiharusi inayongeza ufanisi wa matibabu Kwa wagonjwa. Mkurugenzi wa Upasuaji wa Ubongo MOI Dkt. Lemeri…
Saratani ya matiti si ya wanawake pekee, wanaume watahadharishwa
Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanaume wametakiwa kuwa makini na afya ya matiti na kutopuuza mabadiliko yoyote yasiyo ya kawaida katika eneo hilo ikiwemo kuonekana kwa uvimbe kwa kuwa saratani ya matiti inaweza pia kuwapata wanaume. Rai hiyo…





