JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia, Nchimbi, Ndejembi na siasa za CCM

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siasa, kuna wakati busara ya kiongozi haipimwi kwa maneno anayosema, bali kwa mambo anayochagua kutoyasema. Kuna wakati ukubwa wa kiongozi hauonekani katika namna anavyomshambulia mpinzani wake, bali katika namna anavyolinda heshima yake…

Prof. Shemdoe apongeza mpango wa Mufti Bima Foundation kuwasaidia wananchi wasio na uwezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Naibu Mufti na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Mkurugenzi wa…

TASAC yasitisha leseni za ICD na kufungia sita

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (TASAC) imesimamisha utoaji wa leseni mpya za Bandari Kavu za Makontena (ICD) kufuatia kuongezeka kwa malalamiko ya wananchi kuhusu vituo hivyo vinavyoanzishwa katika maeneo ya mijini na kusababisha…

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kuwa mabalozi wa elimu ya matumizi sahihi ya fedha, ikiwemo umuhimu wa kutunza noti na sarafu kwa usahihi. Akizungumza leo, Agosti, 31 2026 jijini Dar es…

Serikali ichukue hatua hizi kukabiliana na mvua za El Nino

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, ambao unatarajiwa kuathiriwa kwa kiwango kikubwa na hali ya El Niño. Kwa mujibu wa TMA, mvua za…