Latest Posts
Chande aihimiza FCC kuwafikia wananchi wengi zaidi kupitia Nanenane
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewataka wakulima, wafugaji, wavuvi na wajasiriamali nchini kutumia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa mlaji kama nyenzo ya kuongeza thamani ya bidhaa zao, kupanua masoko na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa….
NMB yageuza Nanenane kuwa darasa la fursa, maarifa na uwezeshaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali…
Serikali inatambua mchango wa wazee: Waziri Sangu
Na: OWM (KAM), Lindi Serikali imesema itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa wazee katika kujenga jamii yenye amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Amesema hayo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano) Mhe. Deus Sangu Agosti…
Rais Samia, Museveni washuhudia makubaliano ya trilioni 56 kuifanya Tanga kituo kikuu cha nishati ya mafuta
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan na Yoweri Museveni wa Uganda wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) ya kuendeleza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta na Kitovu cha Nishati cha Kikanda…
Uukaguzi wa migodi waimarisha usalama, uhifadhi wa mazingira
Tume ya Madini yasisitiza uchimbaji unaozingatia sheria, afya na maendeleo endelevu 📍Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia sheria, usalama wa wafanyakazi, afya kazini na utunzaji wa mazingira,…
Kafulila, aanza kutekeleza maagizo ya Rais Samia ya utekelezaji Dira ya Taifa 2050
Na Mwsndishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC), David Kafulila, ameanza kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukutana na waandishi wa habari wa mitandao ya…





