JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Pwani wawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji Vikawe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya watu watatu na kujeruhi watu 14 waliokuwa wakidaiwa kwenda kuvunja nyumba zao Mei 6, 2026 katika eneo la Vikawe,…

Mmuya aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa mawaziri wanaoshughulikia maafa nchi za SADC

MASVINGO – ZIMBABWE Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Kaspar Mmuya ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Sita (6) wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri Wanaohusika na Usimamizi wa Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya…

Mchungaji TAG akemea migogoro ya ndoa, aeleza inavyosababisha ukatili

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera. Mchungaji wa Kanisa la T.A .G lililopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera Bruno Athazi amekea vikali changamoto ya migogoro ya ndoa ambayo imekuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya kikatili katika jamii. Mchungaji Bruno ametoa kauli…

Tanzania yakamilisha mfumo wa kurejesha hali baada ya maafa

Na Mwandishi Wetu – Masvingo, Zimbabwe. TANZANIA imekamilisha maandalizi ya Mfumo wa Taifa wa Kurejesha Hali Baada ya Maafa, hatua inayolenga kuimarisha uwezo wa Taifa kukabiliana na athari za majanga yanapotokea. Mfumo huo unatajwa kuwa sehemu ya mkakati mpana wa…

Ukuaji teknolojia umechangia vijana kuiga tamaduni za kigeni – Simba

Na Kija Elias, JamhuriMedia, Mwanga KASI ya kuporomoka kwa maadili kwa watoto na vijana nchini imeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano, hali inayosababisha baadhi ya vijana kuiga tamaduni za kigeni zinazokwenda kinyume na…