Latest Posts
Njia ya kusafirisha umeme kutoka bwawa la Julius Nyerere ya Chalinze – Dodoma imekamilika – Mramba
📌 Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze 📌 SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme…
TBS Yatoa Mafunzo ya Viwango vya Ufanisi wa Nishati
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya nishati na kuwasaidia wananchi kupata vifaa bora na…
Bodi ORCI yakutana Mbeya kupitia utekelezaji wa shughuli za Taasisi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Prof. Ephata Kaaya ameongoza kikao cha Bodi kilichofanyika hivi karibuni jijini Mbeya kwa lengo la kujadili na kutoa mwelekeo wa kimkakati kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Taasisi…
Ebola Kongo yaweka rekodi kwa kuua zaidi ya watu 2,300
Mlipuko wa Ebola unaoenea kwa kasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeua watu 2,325 na kuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa nchini humo. Takwimu za serikali zinaonyesha kuwa watu 4,945 wameambukizwa. Katika saa 24 zilizopita pekee, visa vipya 101 na…
Hichilema ashinda muhula wa pili Zambia
Rais Hakainde Hichilema ameshinda uchaguzi wa urais Zambia kwa asilimia 60 ya kura, huku mpinzani wake Brian Mundubile akipata asilimia 38 na kudai kuwapo kwa dosari. Rais Hakainde Hichilema amechaguliwa tena kuiongoza Zambia kwa muhula wa pili baada ya kupata…





