Latest Posts
Katibu Mkuu Dk Muyungi awakaribisha wadau usafiri wa kutumia umeme
Na Mwandish Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amesema kuwa Serikali inatambua jitihada za wabunifu wa nyenzo mbalimbali zinazosaidia kupunguza gesijoto inayotokana na matumizi ya mafuta kwenye vyombo vya moto. Alisema…
Polisi kuweka jitihada za kununua mbwa wapya wenye kumdhoofisha mhalifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amesema Jeshi la Polisi litaendelea kuweka jitihada za kununua mbwa wapya wa kisasa na wenye uwezo ili kuboresha muonekano wa mbwa wa Polisi mwenye…
Msajili hazina aikaribisha Jeune Afrique Media Group kuangazia fursa za uwekezaji
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw.Frederic Van de vyver Mkuu wa Jeune Afrique Media Group, kampuni inayoongoza ya habari ya ki-panafrika yenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa. Katika mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi…
Dk Nchimbi azindua mpango wa ushirikiano kati ya taasisi za elimu na viwanda
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa sekta binafsi kushirikiana na Vyuo, kuwekeza katika tafiti hususan za sayansi na teknolojia ili kuinua viwango vya tafiti na ubora wa elimu nchini. Makamu…
Kikwete awataka waajiri nchini kuzingatia sheria na kanuni katika usimamizi wa rasilimaliwatu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete ameziagiza Mamlaka zote za nidhamu nchini ikiwa ni pamoja na Mamlaka za Maji kusimamia na kuzingatia ipasavyo Sheria, Kanuni na Taratibu katika…





