JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TADB na ZEEA kushirikiana kuimarisha uwekezaji na ufadhili wa kilimo zanzibar

Na Mwandishi Wetu BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kwa lengo la kuongeza upatikanaji wa fedha kwa wakulima na wajasiriamali, kuongeza uzalishaji na kuimarisha minyororo ya…

Kapinga akutana na mabalozi wa Kenya, Afrika Kusini

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga (Mb), Agosti 24, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo tofauti na Mabalozi wa Kenya na Afrika Kusini nchini, katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yake na Balozi wa Kenya…

Dk Bashiru afungua kongamano la nne la Kimataifa la Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji

Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. BashirAlly Kakurwa, leo Agosti 24, 2026 amefungua Kongamano la Nne la Uvuvi na Ukuzaji Viumbemaji (4tFAR4ViBE) linalowakutanisha Wanasayansi, watafiti na wadau wa uvuvi na wakuzaji viumbe…

Kunenge atoa wito kwa wazazi kuwapeleka watoto kupata chanjo ya Polio

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedoa, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha watoto walio chini ya umri wa miaka 10 wanapata chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2, itakayotolewa kuanzia…

Tanzania yazidi kujipambanua kimataifa, yashiriki COP 17

Na, Mwandishi Wetu, Ulaanbaatar, Mongolia Tanzania inashiriki Mkutano wa Kumi na Saba wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame (UNCCD COP 17) unaofanyika katika Jiji la Ulaanbaatar nchini…