Latest Posts
Italia kuwekeza biashara ya kaboni Tanzania
Na Mwandishi Wetu UHIRIKIANO baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SJMT) na Serikali ya Italia umeleta manufaa nchini ambapo taifa hilo limeonesha nia ya kufanya uwekezaji katika biashara ya kaboni na hifadhi ya mazingira kwa ujumla. Hayo…
Uwanja wa ndege Kimataifa wa Msalato Dodoma kukamilika Septemba
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Serikali imesema kuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini Dodoma unatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika ndani ya mwezi Septemba mwaka huu, hatua inayotarajiwa kuimarisha usafiri wa anga na kulipa hadhi zaidi jiji la Dodoma…
Mgongano wa maslahi watajwa kurudisha nyuma maendeleo
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mgongano wa maslahi kwa watumishi wa umma umetajwa kuathiri ufanisi kwenye utendaji na majukumu ya Serikali kutokana na matokeo hasi ya vitendo hivyo vinavyopelekea kuchochea mazingira ya rushwa na kujinufaisha binafsi badala ya ofisi na kukwamisha…
Imani potofu zinavyoweka hatarini maisha ya watoto wenye ugonjwa wa sikoseli Tanzania
Na John Walter WATOTO wengi wenye ugonjwa wa Sikoseli huchelewa kufikishwa hospitalini kutokana na imani potofu zinazohusisha ugonjwa huo na uchawi au laana. Usiku mwingi wa utotoni kwake ulikuwa wa vilio na maumivu makali ya viungo. Mara nyingine alikuwa akishindwa…
Wataalamu kutoka Uganda, Kenya watembelea TMA kujifunza mifumo ya tahadhari za mapema
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea wataalamu wa hali ya hewa na uratibu wa maafa kutoka Uganda na Kenya pamoja na wataalamu kutoka Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupunguza Hatari za Maafa (UNDRR), kwa lengo la kujifunza…
Tamasha la Kahawa lawavutia watu maarufu wa Korea Kusini kutembelea Tanzania
Katika kuendeleza diplomasia ya utamaduni na kuthamini kahawa kama urithi wa pamoja, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha urafiki, maelewano na ushirikiano wa kudumu kati ya wananchi wa Tanzania na Jamhuri ya Korea, hatua inayolenga kufungua fursa zaidi za…





