Latest Posts
Rais Samia atambua mchango wa Wizara ya Nishati na taasisi zake kufanikisha mdahalo wa nishati safi ya kupikiau
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Zanzibar Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia, uliofanyika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, Agosti 11, 2026. Tuzo hiyo imetolewa usiku…
Balozi Chen: Miaka 70 ya Urafiki China na Tanzania sasa tunaimarisha mauhusiano kupitia kwa vijana
Na Prosper Makene, JamhuriMedia, Dar es Salaam Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. CHEN Mingjian, amesema vijana ndio msingi wa mustakabali wa uhusiano kati ya China na Tanzania. Balozi Chen alisema hayo jijini Dar es Salaam…
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings Ltd ikiwa ni sehemu ya mapitio ya pili ya mwaka 2026 ya tathmini ya Fitch Ratings,…
Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi ya ubia (PPP) katika maendeleo ya watu
ARUSHA Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kinatarajiwa kufanya mhadhara wa umma utakaolenga kujadili mchango wa ubia kati ya sekta umma na sekta binafsi katika kuchochea maendeleo ya watu na uchumi wa taifa….
TAWA, SOAT wakutana kujadili maendeleo ya utekelezaji wa SWICA
📍 Wawekezaji waalikwa kutumia fursa za AFCON 2027 Na Beatus Maganja, Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) leo Agosti 12, 2026 imekutana na wadau wa Chama cha Wawekezaji Mahiri (SWICA Operators Association of Tanzania – SOAT) jijini Dodoma…
TFS yaweka wazi taratibu za biashara ya mazao ya misitu
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wametoa elimu kwa wafanyabiashara na wachongaji wa vinyago katika eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam kuhusu sheria, kanuni na taratibu za uvunaji, usafirishaji na biashara ya mazao ya misitu, ikiwemo taratibu za…





