JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Milioni 263 kijijini Makunda kuzalisha ajira mpya 60 kwa vijana

Na Byarugaba Innocent OR-MV Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka Agosti,2026 ameendelea kuchanja mbuga kuwafikia Vijana wa Kitanzania safari hii akitia nanga katika Kijiji cha Makunda,Mkoani Singida ambapo amewakabidhi Mitambo mitatu yenye thamani ya…

Waziri Mavunde aingilia kati changamoto ya umeme Mirerani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mirerani WAZIRI wa Madini Anthony Peter Mavunde ameingilia kati changamoto ya bei kubwa ya ankara ya matumizi ya nishati ya umeme kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani Wilayani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara….

Baba Revo awataka Watanzania kujiunga na mfuko ya uwekezaji wa Zan Securities

Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Clayton Revocatus Chipando maarufu ka Baba Revo ameingia makubaliano ya kutiliana saini na Mfuko wa Uwekezaji uitwao Zan Securities ambao umetajwa kuja kutoa fursa kwa Watanzania. Akizungumza Jijini…

Nani atachukua nafasi ya Dk Nchimbi

Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi ametangaza kujiuzulu na kustaafu siasa, huku taarifa za ndani zilizopatikana zikionyesha kuwa uamuzi huo umefuatia mahojiano yake mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM. Kwa mujibu wa Ibara ya 50 ya Katiba, nafasi ya Makamu…

ACT Wazalendo yalenga kuendesha nchi kwa misingi bora

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema iwapo chama hicho kitashika madaraka Zanzibar, watampendekeza Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, kuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Othman aliyasema hayo Agosti 25, 2026…

Prof. Shemdoe : Wananchi waridhishwa na ujenzi wa barabara za AFCON 2027 Dar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara zinazoingia kwenye viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya michezo na mazoezi ya Fainali za Kombe…