Latest Posts
Morocco, Tanzania zaimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kidiplomasia
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Ufalme wa Morocco na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yameendelea kuimarika kwa kasi tangu ziara ya kihistoria ya Kiserikali ya Mfalme Mtukufu Mohammed VI nchini Tanzania mwaka 2016, huku…
Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa Kijiji cha Msoga, Wilaya ya Chalinze, kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi, Hadija Hemedi Shaha (51),…
Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji
📍NIRC: Arusha. Katika jitihada za kumkomboa mkulima mdogo kutokana na utegemezi wa mvua, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inaendelea na mpango wa kuchimba visima 67,000 nchi nzima, mradi utakaozalisha maelfu ya ajira kwa vijana na kuleta uhakika wa chakula….
Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026 Kufanyika Tanga
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Agosti 15 hadi 24 katika viwanja vya michezo vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga….
AFRICA AGRI EXPO 2026; Tanzania kuwa kitovu cha ubunifu wa kilimo Afrika
Dar es Salaam inatarajiwa kuwa mwenyeji wa moja ya maonesho makubwa ya kilimo Afrika, Africa Agri Expo (AAE) 2026, yatakayofanyika Septemba 2–3, 2026 katika Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere. Maonesho hayo ya mwaka wa 10 yataenda sambamba na…





