JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yazidi kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia ukifikia asilimia 90 ya utekelezaji na kutarajiwa kukamilika Februari 2027, hatua itakayoiunganisha Tanzania na soko la…

Mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa kv 220 Iganjo–Saza kuimarisha upatikanaji umeme – Salome

📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia…

Baraza la Taifa la Watoto laomba kukutana na Rais Samia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Baraza la Taifa la Watoto limeomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ili kuwasilisha mapendekezo na changamoto zinazohusu ustawi, ulinzi na maendeleo ya watoto nchini. Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la…

Tanzania na Korea zatafuta Ushirikiano Imara wa Kiuchumi

Na. Benny Mwaipaja Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania na Korea Kusini zimekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi iliyotelewa na nchi hiyo ya dola za Marekani bilioni 2.5 kwa Tanzania kwa ajili ya…

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara akagua Ujenzi wa Viwango House Arusha

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo (Mb), ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa Viwango House eneo la Mateves, Mkoani Arusha. Ziara hiyo imelenga kujionea eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hizo, pamoja na kufahamu hatua zinazofikiwa katika…

Mhe. Luswetula abainisha fursa, awakaribisha wawekezaji Tanzania

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akichangia hoja kuhusu uwekezaji katika sekta ya afya wakati wa Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za Juu la Mawaziri wa Fedha Afrika kuhusu kuimarisha uwekezaji wa pamoja katika sekta ya afya, linalofanyika…