JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Masauni atoa wito kusimamia agizo la usafi wa mazingira

Na; Mwandishi Wetu Dar es Salaam Serikali inatoa wito kwa Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji  kuhakikisha kuwa wanaweka utaratibu wa kusimamia utekelezaji wa maelekezo ya kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi kuwa siku ya usafi  wa…

Mageuzi ya elimu ni fursa kubwa kwa vijana

Serikali imeweka mkazo katika kutafuta suluhisho la changamoto ya wanafunzi kuacha shule, hususan wavulana, baada ya kubainika kuwa ongezeko la utoro linaweza kuwa kikwazo katika utekelezaji wa mageuzi ya elimu nchini. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,…

TANESCO yaboresha maisha ya wafanyakazi nyumba ya Mungu

📌 Nyumba za wafanyakazi zakarabatiwa, kuboresha utendaji wa kazi 📌 Mtambo wa kisasa wa kuchakata maji wazinduliwa 📍 MWANGA, KILIMANJARO | Septemba 2, 2026 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua na kukabidhi nyumba zilizokarabatiwa kwa wafanyakazi wa Kituo cha Kuzalisha…

Wakulima Babati wanufaika na programu ya kuendeleza kilimo na uvuvi (AFDP)

Na; Mwandishi wetu – Babati Wakulima wa vijiji vya Endakiso na Orng’adida vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara wameeleza kunufaika na Programu ya kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) inayofadhiliwa na Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo…

Tanzania, Marekani kuiunganisha Afrika kwenye sekta ya afya

Na John Mapepele – WAF Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na Serikali ya Marekani kufanya utekelezaji wa kimkakati wa mkataba wa sekta ya afya ulioingiwa hivi…

RAS Kayombo aweka msisitizo elimu, uwekezaji , mapato na kukabili El Nino

Na Mwamvua Mwinyi, JamhutiMedia, Pwani KATIBU Tawala Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amekabidhiwa ofisi na kuanza majukumu yake baada ya kuchukua nafasi ya Pili Mnyema, katika hafla iliyofanyika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Kayombo, ambaye ameteuliwa kuwa…