Latest Posts
ADEM yaongoza mageuzi ya elimu, viongozi 31,000 wajengewa uwezo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viongozi 31,000 wa sekta ya elimu nchini wamejengewa uwezo kupitia mafunzo ya uongozi na usimamizi yanayotolewa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), huku zaidi ya Sh. bilioni 16 zikiwekezwa katika…
TBS Yahimiza Wajasiriamali Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa zao Arusha
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya kuthibitisha ubora wa bidhaa wanaozalisha bure kwa gharama za Serikali, hatua ambayo itawasaidia kuondokana na vikwazo vya kiabiashara. Mbali na wito huo kwa wajasiriamali, shirika hilo limewataka wananchi kuhakikisha wananunua…
WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu Waziri Maliasili apongeza
Na WMA – Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo – (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane Nane. Akizungumza…
Kilimo ikolojia hai chapewa msukumo mpya, wadau wataka wakulima waachane na utegemezi wa kemikali
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wakulima nchini wametakiwa kuongeza matumizi ya mbolea, viuatilifu na mbegu za asili kama njia ya kuongeza tija ya uzalishaji, kupunguza gharama za kilimo na kulinda afya ya walaji pamoja na mazingira, huku Serikali ikiendelea kuweka…
Wataalam TANROADS wakumbushwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa katika utendajikazi wao
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesisitiza umuhimu wa kuzingatia matumizi ya taarifa za hali ya hewa katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara na madaraja . Akizungumza na viongozi na watumishi mbalimbali wa Wakala wa…
TBS Yaendelea kutoa elimu ya alama ya ubora ya bidhaa Nanenane Tabora
Na Mwandishi Wetu, Tabora SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kurahisisha upatikanaji wa Alama ya Ubora kwa kuanzisha mfumo wa kidijitali unaowezesha wajasiriamali na wazalishaji kuwasilisha maombi kwa njia ya mtandao, hatua inayolenga kuongeza idadi ya bidhaa zenye ubora unaokidhi…





