JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TFC yahamasisha matumizi ya mbolea kwa tija kwa kilimo

Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahimiza wakulima nchini kuachana na dhana potofu kuhusu matumizi ya mbolea, ikisisitiza kuwa kilimo cha kisasa kinahitaji matumizi sahihi ya mbolea ili kuongeza uzalishaji na tija mashambani. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Uendeshaji Biashara…

TFC yawekeza kiwanda mbolea, yalenga kupunguza uagizaji nje

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imeanza utekelezaji wa mpango mkubwa wa kuongeza upatikanaji wa mbolea nchini kwa kuagiza tani 200,000 za mbolea kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, sambamba na uwekezaji katika viwanda vya kuchanganya mbolea…

Tanzania yatajwa kuwa nguzo ya thamani katika mnyororo SADC

DURBAN – AFRIKA KUSINI Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amezishauri nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuwekeza zaidi katika maendeleo ya viwanda na miundombinu ili kuwawezesha wanawake na vijana kushiriki…

Kapinga: Wakulima wasizalishe bila uhakika wa soko

Serikali yaweka mkakati wa kuondoa tatizo la wakulima kuvuna mazao bila kuwa na uhakika wa soko, ikisisitiza kuwa kuanzia sasa uzalishaji wa mazao, mifugo na uvuvi unapaswa kuongozwa na mahitaji ya soko badala ya utaratibu wa kuzalisha kwanza na kuanza…

Msigwa: Michezo ni daraja la urafiki kati ya Tanzania na China

Na Prosper Makene Dar es Salaam, Tanzania – Jumamosi, 1 Agosti 2026: Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema michezo imeendelea kuwa daraja muhimu la kuimarisha urafiki na ushirikiano kati ya Tanzania na China….

TANESCO Kimbiji yawasogezea huduma wananchi, yatoa elimu matumizi ya nishati safi ya kupikia

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kigamboni, Wilaya ya Kimbiji, limesogeza huduma karibu na wananchi kwa kutoa elimu kwa wakazi wa Mwasonga kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, utaratibu mpya wa kuomba huduma ya umeme kupitia mfumo wa…