JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tusiwape watoto urithi wa hasira

Na Deodatus Balile, Jamhurimedia, Nairobi Nimekuja hapa Nairobi kufanya mafunzo yanayohusiana kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya jamii. Tunafundishana haki za wanawake, watoto na uthamini wa jinsia. Katika jamii tunayoishi kuna urithi wa nyumba, mashamba na fedha. Lakini kuna urithi…

Lissu bado mwiba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shinikizo la wito wa kuachiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, linazidi kuongezeka na kuibua mitazamo tofauti kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwamo wa ndani ya nchi na…

Masauni aagiza usimamizi imara wa mazingira kwenye viwanda Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni (Mb), amewaagiza viongozi wa Mkoa wa Pwani, wilaya, halmashauri na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuongeza usimamizi wa masuala ya mazingira kwenye…