JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi amtaka mkandarasi kuongeza kasi ujenzi wa barabara ya Kahama – Bulyanhulu JCT – Kakola

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemtaka Mkandarasi wa Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola, M/s China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo ili…

Soko bubu la Madini lagunduliwa jijini DAR

▪️Watuhumiwa 14 wakamatwa na tuhuma za utoroshaji madini ▪️Waigeuza nyumba ya kupanga kama soko ▪️Waziri Mavunde aelekeza uchunguzi kuwabaini na kukamata wahusika zaidi ▪️Mgeni mmoja kutoka nje ya nchi ahusishwa na utoroshaji ▪️Madini,fedha na vitendea kazi vyashilikiwa na serikali Ikiwa…

WMA Yamuahidi Mkuu wa Wilaya ya Iramba Kuimarisha Utendaji kazi kwenye Vipimo

Na WMA – DODOMA. Wakala wa Vipimo (WMA) umemhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mhe. Selemani Mwendwa kuwa utaongeza kasi ya utendaji kazi wa masuala ya vipimo katika wilaya hiyo ili kulinda uchumi wa wakulima na wafugaji. Hakikisho hilo limetolewa…

Tanzania, UNEP mguu sawa kuimarisha ushirikiano hifadhi ya mazingira

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amefanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) Bw. Daniel Pouakouyou, anayeshughulikia miradi ya Miradi ya Mfuko wa Mazingira Duniani (Global Environment Facility (GEF)) katika…

Waziri Ndejembi aanza ziara maalum mkoani Shinyanga

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara maalum ya kikazi ya kukagua utekelezaji na kuzindua miradi ya maendeleo, pamoja na kuzungumza na wananchi katika wilaya za Mkoa wa Shinyanga. Waziri Ndejembi, ambaye ni Mlezi wa…

Ajira zaidi ya 420 zazalishwa kupitia ujenzi wa kituo cha EACOP PS4 Mbogwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Zaidi ya wananchi 420 wamepata ajira zisizo za ujuzi kupitia utekelezaji wa ujenzi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (PS4) cha Mbogwe, kinachotekelezwa chini ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki…