Latest Posts
RC Mtanda: Boti za uokozi ni nguzo muhimu ya kuokoa maisha Ziwa Victoria
Ajali za majini zimeendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazohatarisha maisha ya maelfu ya wananchi wanaotegemea Ziwa Victoria kwa shughuli za kila siku. Wavuvi, wafanyabiashara, wanafunzi na wasafiri hukatiza mawimbi ya ziwa hilo kila siku, wakiamini watafika salama wanakoelekea. Hata hivyo,…
RC Kunenge atembelea kongani mpya ya viwanda Misugusugu
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, amefanya ziara ya ukaguzi wa eneo la Kongani Mpya ya Viwanda la Misugusugu, Manispaa ya Kibaha, ambapo amesema mradi huo ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa Mkoa wa Pwani na kuongeza fursa…
Serikali yaweka mkazo uendelevu wa huduma za VVU, kifua kikuu, malaria
Serikali imeweka mkazo katika kuhakikisha huduma za VVU/UKIMWI, Kifua Kikuu (TB) na Malaria zinaendelea kutolewa kwa ufanisi, bila kuathiriwa na mabadiliko ya ufadhili wa nje, huku ikiendelea kuimarisha mifumo ya ndani ya kugharamia na kusimamia huduma hizo ili wananchi kuendelea…
Mpanda wapongeza Jeshi la Polisi kwa zoezi la usafi wa soko kuu
Wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendesha zoezi la usafi lililofanyika sokoni hapo, wakisema limechangia kuboresha mazingira ya biashara, afya ya jamii na kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kutunza…
Jela miaka 30 kwa kusafirisha kilo 75.15 za mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi (Khat). Hukumu hiyo imetolewa…





