Latest Posts
Taasisi ya saratani ya Ocean Road yapeleka huduma Kanda ya Nyanda za Juu Kasini
Na Mwandishi Maalumu, Mbeya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI)Dkt. Diwani Msemo amesema kukamilika kwa ujenzi wa Kituo cha Saratani ORCI Mbeya kutakuwa ni hatua muhimu katika kutimiza azma ya Serikali ya kusogeza huduma za kibingwa…
DCEA yateketeza ekari 603 za bangi Mvomero
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo….
Waziri wa Uchukuzi ashuhudia majaribio MV Liemba kuashiria miaka 50 ya safari mpya
Na Prosper Makene Meli kongwe ya Mv Liemba iliyosimama kazi kwa zaidi ya miaka nane, imeanza rasmi majaribio ya kiufundi baada ya serikali kutumia shilingi bilioni 34 kufanya ukarabati na uwekezaji katika meli hiyo, inayotarajiwa kuanza safari zake September Mosi…
Ridhiwani: Karakana ziwe chemchem za ubunifu, kazi za vijana zisajiliwe
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais–Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Ridhiwani Kikwete, amezitaka shule za msingi na sekondari kuwa na karakana zitakazokuwa chemchemi za ubunifu kwa vijana, huku akisisitiza kazi zitakazobuniwa katika…
Sekta ya Madini Yavutia Uwekezaji wa Trilioni 9 ndania ya miaka minne
▪️Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa ▪️Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro ▪️Tanzania yawa kivutio kikubwa cha uwekezaji sekta ya Madini Afrika ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira wezeshi…
NMB yaweka nguvu tamasha la Kizimkazi, yapekeka huduma karibu na wananchi
Benki ya NMB imehitimisha ushiriki wake katika Tamasha la Kizimkazi 2026 kwa kuunganisha wananchi na huduma za kifedha pamoja na fursa za kukuza biashara. NMB ilikuwa miongoni mwa wadhamini wa tamasha hilo lililofikia kilele jana, Agosti 14, Kusini Unguja. Banda…





