Latest Posts
NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA 50 wenye ufaulu wa juu lakini wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo wa kifedha watanufaika na uwezeshaji wa elimu ya chuo kikuu na maandalizi ya kuingia katika soko la ajira. NMB Foundation…
Serikali yaimarisha miundombinu ya umeme Igunga – Salome
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme katika Wilaya ya Igunga kwa kutekeleza miradi mbalimbali yenye lengo la kuongeza upatikanaji na uhakika wa umeme katika maeneo ya…
Mawasilisho 294 kupigiwa kura Samia kalamu Awards 2026.
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Samia Kalamu Awards (SKA) Mhandisi Peter P. Mwasalyanda amesema jumla ya mawasilisho 294 yamefuzu kuingia hatua ya kupigiwa kura na wananchi katika Tuzo za Uandishi wa Habari na Makala za Maendeleo…
Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka
*Aipongeza CTI tuzo za PMAYA kwa kuchochea ukuaji wa uchumi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais, Deogratius Ndejembi ameitaka Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa na wazalishaji wa saruji kuweka mipango kuhakikisha saruji inapatikana kwa wingi…
Sekta binafsi injini ya Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Na. Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Serikali imetoa wito kwa wadau wa sekta ya fedha, wawekezaji na sekta binafsi nchini kuunganisha nguvu katika kubadili akiba za Watanzania kuwa mitaji ya uwekezaji yenye tija, itakayochochea uzalishaji, kuongeza…
TANESCO Ubungo yawabaini wateja waliochepusha umeme kupitia vishoka
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao wanatumia umeme bila kulipia wakiwa wameunganishiwa umeme na vishoka mtaani kinyume na utaratibu. Katika operesheni hiyo…





