Latest Posts
Kapinga akutana na mabalozi wa Kenya, Afrika Kusini
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga (Mb), Agosti 24, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo tofauti na Mabalozi wa Kenya na Afrika Kusini nchini, katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yake na Balozi wa Kenya…
Dk Bashiru afungua kongamano la nne la Kimataifa la Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji
Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. BashirAlly Kakurwa, leo Agosti 24, 2026 amefungua Kongamano la Nne la Uvuvi na Ukuzaji Viumbemaji (4tFAR4ViBE) linalowakutanisha Wanasayansi, watafiti na wadau wa uvuvi na wakuzaji viumbe…
Kunenge atoa wito kwa wazazi kuwapeleka watoto kupata chanjo ya Polio
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedoa, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha watoto walio chini ya umri wa miaka 10 wanapata chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2, itakayotolewa kuanzia…
Tanzania yazidi kujipambanua kimataifa, yashiriki COP 17
Na, Mwandishi Wetu, Ulaanbaatar, Mongolia Tanzania inashiriki Mkutano wa Kumi na Saba wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame (UNCCD COP 17) unaofanyika katika Jiji la Ulaanbaatar nchini…
VETA: Ujuzi msingi wa utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA. Anthony Kasore, amesema ujuzi ndio msingi wa utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050 kwa kuwawezesha wananchi kushiriki katika uzalishaji wa mali, bidhaa na huduma. CPA. Kasore amesema…





