Latest Posts
Makonda akutana na Rais wa CAF jijini Rabat
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Watuhumiwa wa utekaji na uporaji pikipiki wanaswa
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora linawashikiria watu sita kwa tuhuma za kuteka na kuua mwendesha bodaboda Hamis Nchambi (27) msukuma, mkazi wa Kata ya Mbugani katika halmashauri ya manispaa ya Tabora. Kaimu Kamanda wa Polisi…
Trump aunganisha tishio la Greenland na kutokabidhiwa Tuzo ya Amani ya Nobel
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameunganisha juhudi zake za kudai udhibiti wa Greenland na kushindwa kwake kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel, akisema hakuwahi tena kufikiria “kwa amani tu,” huku mgogoro wa kisiwa cha Aktiki ukionekana kuweza kusababisha vita vya…
EU yaonya kuwa ushuru wa Trump utahatarisha hali ya kiuchumi
Mataifa yenye nguvu barani Ulaya yameonya jana kuwa vitisho vya ushuru vya Rais wa Marekani Donald Trump juu ya Greenland vinahatarisha hali ya kiuchumi wakati yakijaribu kupima jibu la mzozo huo unaopanuka. Katika taarifa ya pamoja, Denmark, Finland, Ufaransa, Ujerumani,…
Dawa na vifaa tiba vya milioni 822.8 vyakamatwa Tabora
Na Allan Kitwe, JmahuriMedia, Tabora MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imefanya oparesheni maalumu na kufanikiwa kukamata dawa zenye thamani ya sh mil 822.8 zilizokuwa zinauzwa kinyume na utaratibu. Hayo yamebainishwa jana na Meneja wa…
Miradi 82 ya biashara ya kaboni yasajiliwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Massauni amesema mpaka sasa jumla ya Miradi 82 ya Biashara ya Kaboni ipo kwenye rejesta na kati ya hiyo, Miradi 4 imeshafika kwenye…




