JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela miezi 2

Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani amehukumiwa kifungo cha miezi 20 jela kwa kupokea rushwa kutoka kwa Kanisa la Unification lenye utata. Hata hivyo, mahakama ilimsafisha Kim Keon Hee mwenye umri wa miaka 52 kwa mashtaka…

Mradi wa BOOST waimarisha elimu ya awali na msingi shule ya msingi Mwakidila

Na OWM– TAMISEMI, Tanga Shule ya Msingi Mwakidila, iliyopo Kata ya Tanga, Halmashauri ya Jiji la Tanga, imefanyiwa maboresho makubwa ya miundombinu na ufundishaji kupitia Mradi wa BOOST, hatua iliyoongeza ufanisi wa elimu ya awali na msingi pamoja na kuvutia…

Serikali yaeleza sababu za kutowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi

Na Jackline Minja MJJWM-Dodoma Serikali imesema haina haja ya kuweka sharti la kisheria linalowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi wao wasiojiweza, ikieleza kuwa suala hilo tayari linashughulikiwa kupitia misingi ya kifamilia na kijamii. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Naibu Waziri wa Maendeleo…

NSSF yang’ara Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za kifedha Kitaifa

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Tanga Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la watoa huduma za hifadhi ya jamii, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yaliyofanyika katika Viwanja vya…

Serikali yazidi kuimarisha huduma za watoto njiti nchini

Na WAF, Dodoma ‎Serikali imeendelea kuboresha huduma za watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya wakati (watoto njiti) katika vituo vya afya nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha afya ya mama na mtoto. ‎Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi…