JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaongeza nguvu kuimarisha afya za mama wajawazito na Watoto nchini

NAIBU Waziri wa Afya, Florence Samizi amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kimkakati za kuimarisha afya za mama wajawazito na watoto nchini ikiwemo kuongeza miundombinu ya huduma, kuimarisha huduma za dharura wakati wa kujifungua, pamoja na kuboresha huduma za…

Serikali yaendelea kutenga maeneo mapya kwa wachimbaji wadogo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na ushiriki wa wananchi katika Madini kwa kuendelea kutenga maeneo maalum kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchini, hatua inayolenga kuongeza fursa za ajira, kuinua uchumi wa wananchi na kurasimisha shughuli…

Magofu ya Kaole yawavutia wageni kutoka Mbozi Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Historia ya ustaarabu wa pwani ya Afrika Mashariki imeendelea kuvutia wageni na watalii wa ndani baada ya ujumbe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kutembelea magofu ya Kaole yaliyopo Bagamoyo mkoani Pwani na…

Wafanyakazi TARURA wahimizwa kuendelea kufanyakazi kwa ufanisi licha ya mafanikio

‎Na Mwandishi Wetu, Tabora ‎MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff, amewataka wafanyakazi wa Wakala huo kuendelea kuongeza juhudi, weledi na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao licha ya pongezi wanazoendelea kupokea kutoka…

Kigogo CCM: Niligoma kuhama mkoa wangu

*Asema wasingemtakia mema, maisha yote amekulia kwao *Ndiye mwasisi jina Kagera Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze,  amefichua siri namna alivyogoma kuhamishiwa Wilaya ya Chato mkoani Geita…

Tuichangie Hospitali Benjamin Mkapa iokoe maisha

* Control Numbe ni 986930000001 itasomeka BMH ORGAN TRANSPLANT. Mimi nimechangia Sh 100,000 imekubali. Nawe changia unachokiweza. Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna nyakati taifa hulazimika kusimama na kujiuliza; je, tunathamini vya kutosha taasisi zinazookoa maisha ya wananchi wake?…