Latest Posts
Wafanyabiashara zaidi ya 300 waiomba Serikali kuingilia kati mgogoro baina yao na uongozi Jiji la Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wafanyabiashara zaidi ya 300 waliokuwa wakifanya shughuli zao katika Soko la Rehema Nchimbi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuingilia kati kwa haraka kutatua mgogoro unaohusu eneo mbadala la Umonga, kufuatia kushindwa kuendelea na shughuli zao za biashara kwa…
NSSF yapokea tuzo ya shukran katika sherehe za za Mei Mosi 2026
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba, akipokea tuzo kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuzo hiyo imetolewa kwa NSSF kwa kuwa miongoni mwa wadhamini wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani…
Samia asisitiza umuhimu wa kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi yao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi yao ili kuongeza tija na maendeleo ya taifa. Akihutubia katika maadhimisho ya Siku…
Rais Samia ashiriki sherehe za Mei Mosi, asisitiza uwajibikaji, atambua mchango wa wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameshiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kitaifa mkoani Njombe, yaliyobeba kaulimbiu: “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika…
Ofisi ya Msajili Hazina yashiriki maadhimisho Mei Mosi, yatoa wito kwa mashirika ya Umma kuongeza ufanisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina, Leo Ijumaa, Mei 1, 2026, imeshiriki kikamilifu maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja, yakiongozwa na kauli mbiu isemayo “Kazi zenye staha…





