Latest Posts
Msajili Hazina aonya taasisi za umma zenye utendaji duni
SERIKALI imeonya taasisi za umma zinazofanya vibaya kujitathmini na kuchukua hatua za haraka za kuboresha utendaji wao, ikisisitiza kuwa haitavumilia taasisi zitakazoendelea kuonesha utendaji duni kwa muda mrefu. Onyo hilo lilitolewa na Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, jijini Dar…
Waziri Ndejembi aagiza kuudwa kamati ya uchunguzi wa hitilafu ya gridi ya taifa
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu kuunda kamati ya uchunguzi itakayobaini chanzo cha hitilafu iliyojitokeza katika Gridi ya Taifa jana, Juni 27, 2026, na kusababisha kukosekana…
TMDA yapiga ‘stop’ matumizi dawa za mifugo zenye kiambata hai cha Levamisole
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imepiga marufuku matumizi ya dawa za mifugo zenye kiambata hai cha Levamisole nchini Tanzania baada ya kufanya tathmini ya matumizi na usalama wa dawa hizo kwa mifugo na afya ya binadamu. Kwa mujibu…
Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
Na Mwandishi Wetu UJUMBE wa walimu na viongozi wa elimu kutoka Mkoa wa Dodoma wapatao 40 umeondoka kwenda Korea Kusini kujifunza, namna ya kufundisha, kusimamia shule na kutumia teknolojia katika elimu. Ujumbe huo unatarajiwa kushiriki programu ya mafunzo na ziara…
Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
Israel imeshambulia Jumamosi kusini mwa Lebanon, ikiwa ni siku moja baada ya nchi hizo mbili kusaini mpango wa kudumisha usalama uliosimamiwa na Marekani. Mpango huo unalenga kupunguza mvutano katika eneo la mpakani baada ya miezi kadhaa ya uhasama. Shirika la…





