JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NSSF: Wananchi waliojiajiri jiungeni, jiwekeeni akiba kwa kesho yenye uhakika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo ili kujijengea akiba, kupata kinga ya kijamii na kuwa na uhakika wa maisha ya sasa…

Gavana BOT: Maonesho ya Sabasaba yamekuwa chachu ya biashara na ukuaji wa uchumi

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) amepongeza mafanikio yanayoendelea kupatikana katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji na uchumi wa Taifa. Akizungumza leo Julai…

TWCC Yaipongeza FCC kwa kuimarisha elimu dhidi ya bidhaa bandia

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM CHAMA cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kimeipongeza Tume ya Ushindani (FCC) kwa kuendelea kutoa elimu kuhusu utambuzi wa bidhaa bandia na ulinzi wa biashara kwa wajasiriamali, kikisema mafunzo hayo yameongeza uelewa na kusaidia kulinda…

Waziri Sangu na Mwenyekiti Al Mansour Holding wateta masuala ya uwekezaji, ajira na maendeleo ya ujuzi

Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Al Mansour Holding, Mhe. Sheikh Mansour, leo tarehe 10, 2026 jijini Doha,…

Chatanda ; Maridhiano CCM na ACT Wazalendo yamezingatia maslahi ya Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Maridhiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) kuelekea uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) Zanzibar, umepongezwa kwani umezingatia maslahi ya nchi ambayo ni muhimu kuliko maslahi…

Serikali kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani

Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa viwanda na kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya kimataifa. Hayo yamesemwa…