Latest Posts
RC Chalamila : Wamachinga achieni njia za kuingia soko la Kariakoo kabla ya Februari 8
Na Mwandishi wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amewataka Katika hatua wafanyabiashara wadogo waliovamia na kufunga njia za kuingia sokoni kuondoa shughuli zao mara moja na kuziacha barabara wazi kabla ya Februari 8,…
Rais Samia afanya mabadiliko ya muundo wa wizara na uteuzi wa viongozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko katika muundo wa baadhi ya wizara pamoja na uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mikoa na makatibu wakuu. Mabadiliko hayo yamelenga kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya…
Serikali yasajili anwani za makazi milioni 12.9
Na Timothy Mwakyenda- MAELEZO Serikali imesajili zaidi ya Anwani za Makazi Milioni 12.9 ili kuyatambua maeneo mbalimbali na kuyarasimisha kwenye mfumo wa kidijitali. Takwimu hizo zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholas…
Dk Nchimbi ashiriki hafla ya kusimikwa kwa uongozi wa makanisa ya kipentekoste Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Viongozi wa Dini wana wajibu wa pekee wa kuliombea Taifa kama ambavyo Biblia Takatifu ilivyoelekeza. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa wa hafla ya kusimikwa…
Balozi Mwamweta, Mtaka wasaka soko la parachichi Ujerumani
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta anaongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania unaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mbogamboga ya Fruit Logistica 2026 yanayofanyika Berlin kuanzia Februari 03 hadi 06, 2026. Ujumbe huo unajumuisha…





