JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mulokozi achangia milioni 158 harambee ya ujenzi wa Kanisa Kibondo

Mwenyekiti wa Makampuni ya Mati Group, David Mulokozi, ameshiriki kama Mgeni Rasmi katika Ibada ya Harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa Kanisa la Parokia ya Mt. Maria Mama wa Mungu Kibondo, lililopo Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma. Akizungumza…

Waziri Sangu akutana na mzee wa upako na mtume Malisa

-Aeleza umuhimu wa Mahusiano mema katika kuimarisha mshikamano wa Taifa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, leo Julai 4, 2026 Jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Mchungaji Antony…

RC Manyara awataka Simanjiro kuchangamkia hewa ya ukaa

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amewataka madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kuchangamkia fursa ya miradi ya hewa ya ukaa ili jamii iweze kunufaika kwa maendeleo. RC Sendiga ameeleza hayo mji mdogo wa…