Latest Posts
Manispaa Kibaha yamkabidhi baiskeli maalum mwanafunzi mwenye ulemavu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imeendeleza juhudi za kuimarisha elimu jumuishi kwa kumwezesha mwanafunzi mwenye ulemavu kupata baiskeli maalum, hatua inayolenga kumrahisishia safari ya masomo na kumsaidia kufikia ndoto zake za kielimu. Katika muendelezo wa…
Nchimbi: Taifa limepata pengo kuondokewa na Jenista Mhagama
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Taifa limepata pengo kuondokewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ambaye alikuwa kiongozi aliyeheshimika na kutumikia nchi katika majukumu mbalimbali…
Tanzania kunufaika na zaidi ya USD milioni 15 kutatua changamoto za mazingira
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kunufaika na ufadhili wa kiasi cha Dola za Marekani milioni 15,096,716 kupitia Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (United Nations Environment Program – UNEP), kuwezesha miradi ya kusaidia kuhimili athari za mabadiliko ya…
Samia aokoa maisha ya wana Bukombe
……927 wapimwa saratani Na Mwanandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marko, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wananchi wa pembezoni kupitia Kampeni ya Huduma za Mkoba za uchunguzi wa…





