JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bibi wa miaka 120 amuombea dua Rais Samia

Mkazi wa Mtaa wa Msufini Kata ya Kibaha Mjini mkoani Pwani, Asha Madamde, maarufu Bibi Hatibu mwenye miaka 120 ,amesisitiza kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, huku akimuombea dua mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Rais Samia Suluhu…

Serikali imetoa bil. 424. 6/- utekelezaji miradi ya TANROADS Rukwa – Eng.Mwanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya shilingi bilioni 424.6 kwa ajili ya kutekeleza…

Rais Ruto: Kifo cha Raila Odinga ni pigo kubwa sana kwangu

Rais William Ruto amesema kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ni hasara kubwa kwake binafsi, akimtaja marehemu kiongozi wa upinzani kama mtu muhimu katika maisha ya kisiasa na kitaifa ya Kenya. Akizungumza wakati wa hafla ya mazishi ya Raila…

Mwili wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya wazikwa nyumbani kwao Bondo

Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga amezikwa nyumbani kwao huko Kang’o ka Jaramogi eneo la Bondo, Kaunti ya Siaya. Mwili wa Raila ulipigiwa mizinga 17 ya risasi kumpatia heshima kulingana na wadhfa aliokuwa nao katika sherehe ya Jeshi la Ulinzi…

Mgombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya ACT -Wazalendo aahidi kuleta mabadiliko

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ameahidi kushughulikia changamoto sugu zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo, zikiwemo miundombinu mibovu, elimu yenye michango mingi na kero kwa wavuvi. Katika ziara yake kwenye kata za Msasani…

Simba yajiweka vizuri kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Simba SC kwenye nafasi nzuri kuelekea mchezo wa marudiano utakaochezwa wiki ijayo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nsingizini FC ya Eswatini Ushindi wa jumla wa michezo…