JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TADB, EADB wazindua dirisha la Sh bilioni 50 kwa wakulima

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), imezindua dirisha maalum la uwezeshaji wa fedha lenye thamani ya Sh bilioni 50 kwa ajili ya kuwawezesha wakulima wadogo na wafanyabiashara katika minyororo…

Msajili wa Hazina na Barrick wajadili namna bora ya uendelezaji wa migodi

Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo Jumatano, Septemba 16, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa kampuni ya Barrick kuhusu namna bora ya uendelezaji wa migodi nchini. Ujumbe wa Barrick uliongozwa na Afisa Mkuu wa Masuala ya Kimataifa…

Rais Dk Mwinyi apokea mwaliko wa dua maalum ya kuliombea taifa juu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepokea mwaliko wa kushiriki katika dua maalum ya kuwaombea viongozi wa nchi na kuliombea Taifa kutokana na matarajio ya mvua kubwa zinazohusishwa na hali ya El…

Wizara ya Madimi yaja na sheria kusimamia taaluma ya wajiolojia

Sheria kuanzisha Bodi ya Wajiolojia kusimamia na kuratibu taaluma nchini Serikali kutenga asilimia 10 ya mapato ya madini kwa utafiti wa jiosayansi Taarifa sahihi za jiolojia kuimarisha uwekezaji na kuwalinda wadau wa madini Na Mwamdishi Wetu Wizara ya Madini imewasilisha…

Pwani kutenga maeneo ya hifadhi kwa waathirika wa mafuriko – Nyongo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesema mkoa umeziagiza wilaya na halmashauri kuandaa na kutenga maeneo maalumu yatakayotumika kuwahifadhi wananchi watakaokumbwa na mafuriko yanayoweza kusababishwa na mvua za El NiƱo zinazotarajiwa kunyesha Oktoba mwaka…

THBUB kuja na mwongozo wa kutathmin misingi ya utawala bora nchini

Na Zawadi Msalla Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ipo mbioni kuzindua mwongozo wa tathmini ya misingi ya utawala nchini. Mwongozo huo umelenga kuangalia hali ya uzingatiwaji wa misingi ya utawala bora na kuweka mfumo unaoweza kutumika…