JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sheria ya NHIF kupanua wigo wa wanachama na kuboresha huduma

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uko kwenye mchakato wa kufanya marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Sura ya 395, kwa lengo la kupanua wigo wa wanachama, kuendana na mahitaji ya sasa ya…

NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko mapya na kusimamia fedha zao kwa usahihi. Akizungumza katika jukwaa la…

Mkuranga watakiwa kulinda miundombinu ya gesi asilia

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Khadija Nassir Ali, amewataka wananchi wa Mkuranga kuhakikisha wanalinda miundombinu ya gesi asilia iliyojengwa katika maeneo yao ili iweze kudumu na kuwanufaisha wananchi pamoja na taifa kwa ujumla. Amesema ulinzi wa miundombinu hiyo ni jukumu…

Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya Wakala katika kuratibu uagizaji wa mafuta kwa pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta…

NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027. Alitoa kauli hiyo wakati wa Bonanza la Bunge na NMB jijini Dodoma, lililoandaliwa na NMB…

Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali

Na Peter Haule na Saidina Msangi, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameipongeza Kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa jitihada zake za kuongeza uwekezaji na kuboresha uendeshaji wa kampuni, hatua iliyowezesha Serikali kupata gawio la…