JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kizimbani kwa kughushi na kufuja mil.5.5/- za mradi wa kifua kikuu

Mnamo Juni 29, 2026 TAKUKURU Wilaya ya Siha imefungua shauri la uhujumu uchumi namba 14596/2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Siha ikiwa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya Dkt. Donatus Boniphace Tsete. Dkt. Tsete anashtakiwa kwa makosa ya…

UWT : Tuichangie BMH kuokoa maisha ya wagonjwa wa figo na selimundu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rai imetolewa kwa wadau mbalimbali kujitoa kwa hali na mali kuchangia fedha kwa ajili ya mfuko unaohudumia wagonjwa wa figo na upandikizaji uloto kwa watoto wenye selimundu (sickle cell) wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin…

Ayoub: Zanzibar ina fursa kubwa ya kuimarisha uchumi kupitia biashara na utalii

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed, amesema Zanzibar ina nafasi kubwa ya kuimarisha uchumi wake kupitia biashara, utalii na utamaduni, huku akisisitiza umuhimu wa kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kushindana katika masoko ya…

Mwenge kupitia miradi 49 ya bilioni 139/- Manyara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia. Mirerani MWENGE wa uhuru umeanza mbio zake mkoani Manyara huku ukitarajiwa kupitia, kukagua, kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi 49 ya thamani ya shilingi bilioni 139. Mwenge wa uhuru umepokelewa mji mdogo wa Mirerani wilayani…

Prof. Rasheli apongeza shughuli za REA Sabasaba 2026

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Prof. Geraldine Rasheli leo tarehe 11 Julai 2026 ametembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwenye maonesho ya 50 ya Biashara…

Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wananchi waliojiajiri – Kafiti

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii…