Latest Posts
Mahakama yatupilia mbali shauri la kupinga Tume ya Uchunguzi ya Oktoba 29, 2025
Shauri la Mapitio Namba 32537 la 2025 la kupinga uundwaji wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea nchini wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025 lilifunguliwa Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar…
Masauni: Mpango kukijanisha nchi upo mbioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali ipo mbioni kuanzisha Mpango wa Mageuzi ya Kijani utakaolenga kukijanisha Tanzania na kusafisha Mazingira ambao programu zake zitasambaa nchi nzima ikiwa moja ya njia ya kuhifadhi na utunzaji wa Mazingira. Waziri wa Nchi, Ofisi…
Agizo la Dk Mwigulu kuhusu lumbesa laanza kutekelezwa
WIZARA ya Kilimo pamoja na Wizara ya Viwanda na Biashara zimeanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu marufuku ya lumbesa katika mazao ya kilimo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili Machi 15, 2026 na Naibu Waziri wa…
Hospitali ya Shifaa yazindua idara ya kisasa ya mfumo wa upumuaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Shifaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imezindua Idara ya mfumo wa upumuaji inayotumia teknolojia ya hali ya juu kwa magonjwa yanayohusu mfumo upumuaji ambayo ni ya kisasa zaidi kwa hapa…
Fursa mpya za madini zawafikia vijana
🟠Tume ya Madini yatangaza miradi, maeneo ya uchimbaji na mikopo ya uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha…
Mnyone ataka viongozi wa taasisi kuwa wabunifu kufanikisha Dira ya 2050
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MKURUGENZI wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ladslaus Mnyone, amewataka viongozi wa taasisi mbalimbali kuwa wabunifu na kuonesha uongozi bora katika kutekeleza majukumu yao ili kusaidia kufanikisha malengo ya…





