Latest Posts
Waziri Mkuu Mwigulu awakaribisha wawekezaji kujenga viwanda vya kuongeza thamani madini
▪️Atangaza fursa za madini muhimu ambayo Tanzania inayo ▪️Awataka kuwekeza kwenye kuongeza thamani Madini nchini ▪️Waziri Mavunde asema ni matakwa ya sera ya Madini kuongeza thamani madini ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira wezeshi ya Biashara ▪️Sekta za Madini,Kilimo,Nishati na Mawasiliano…
Waziri Ndejembi ajadili awamu ya pili ya mradi wa umeme jua Kishapu na washirika wa maendeleo
Paris, Ufaransa Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha ya Ufaransa, Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) pamoja na kampuni ya SAGECOM, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa awamu ya pili…
Mwenyekiti wa Tume ya Madini atemnele banda la Wizara ya Nishati
Dkt. Janet Lekashengo, Mwenyekiti wa Tume ya Madini ni moja ya viongozi mbalimbali wanaoendelea kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl.Nyerere jijini Dar es Salaam. Katika banda la Wizara,…
GCLA yatumia Sabasaba kutoa elimu ya usalama wa kemikali na huduma za maabara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imesema imejipanga kutumia Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi salama ya kemikali, uchunguzi wa…
Tanzania, Angola zataka kuongeza biashara na uwekezaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania na Angola zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kwa kuongeza biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili, huku zikisisitiza umuhimu wa kutumia fursa zilizopo kuchochea ukuaji wa uchumi na uzalishaji wa viwanda….
Waziri Mkuu awasili Ufaransa kumwakilisha Rais Samia maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili jijini Paris, Ufaransa leo, Julai 6, 2026, kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani yanayofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO. Mara baada…





