Latest Posts
Kapinga : Serikali ya Rais Samia inaendelea kuboresha elimu, afya na kilimo Mbinga Vijijini
Mbunge wa Jimbo la Mbinga vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, inaendelea kuleta mageuzi makubwa katika sekta za elimu na afya hasa…
RC Mtwara awashauri viongozi CCM kuwahimiza wakulima kutumia mfumo wa stakabadhi za ghala
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanal Donald Msengi, amewashauri Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwahimiza wakulima kutumia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuleta mabadiliko chanya kiuchumi na kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao. Akizungumza wakati wa Mafunzo…
Serikali yatangaza kuridhia NEMC kuwa mamlaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeridhia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka na muswada wake unatarajiwa kuwasilishwa bungeni wakati wowote. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri Ofisi…
Sekondari ya Funguni yawajengea uwezo wanafunzi kujiajiri baada ya kuhitimu masomo
Na Mwandishi Wetu, Pangani Suala la kuwajenga wanafunzi kuwa mahiri katika stadi na ujuzi mbalimbali ndiyo mwelekeo wa Taifa letu katika kuwaandaa wahitimu wenye uwezo wa kuhimili ushindani wa kiuchumi. Katika Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga,…
Kikwete: Nidhamu na uadilifu ni msingi wa maendeleo ya Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Riziwan Kikwete, amewataka viongozi wanaochipukia nchini kutumia elimu na mafunzo ya uongozi waliyoipata kwa manufaa ya taifa na jamii…
Alphonce Simbu kushiriki Marathoni ya mawakili wa Serikali Dodoma kuhamasisha msaada wa kisheria
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia , Dar es Salaam Bingwa wa dunia wa mbio ndefu, Alphonce Felix Simbu, anatarajiwa kushiriki Marathoni ya Mawakili wa Serikali itakayofanyika Mei 31, 2026 jijini Dodoma, ikiwa na lengo la kuhamasisha wananchi kutambua haki zao pamoja…





