Latest Posts
Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb) , amesema Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameonyesha mafanikio makubwa ya sekta ya viwanda na biashara pamoja na fursa zinazotolewa na Serikali kwa vijana…
Prof. Shemdoe awapongeza maafisa afya kupunguza mlipuko wa kipindupindu nchini
• Awataka wakuu wa mikoa kuendeleza kampeni za usafi Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki amewapongeza Maafisa Afya wa Mikoa na Halmashauri nchini…
Yawataka maofisa afya mikoa yote kuongeza kasi katika afua za afya na usafi wa mazingira
SERIKALI imewataka Maofisa afya katika mikoa na halmashauri zote nchini kuongeza kasi ya utekelezaji wa afua za afya na usafi wa mazingira ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokuwa na kisa hata kimoja cha ugonjwa wa kipindupindu. Hayo yamesemwa na…
Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema kuwa katika kipindi cha takribani miaka 100 tangu Bunge lianze kufanya kazi, kuanzia enzi za ukoloni, kuna mambo mengi yamefanyikao,…
Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa
Na Jackline Minja, WMMJW Mtwara Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesisitiza umuhimu wa malezi na makuzi bora kwa watoto, akieleza kuwa ndiyo msingi wa kujenga kizazi chenye maadili, afya njema,…
TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
Na. Catherine Sungura Uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuikabidhi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) jukumu la kujenga miundombinu ya barabara za maingilio kwenye uwanja wa utakaotumika wakati wa michuano ya Kombe la Mataifa…





