JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Pwani yachunguza utata kubadilishwa kichanga hospitali Bagamoyo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali…

Prof. Shemdoe: Walimu fundisheni tupate taifa imara

Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ametoa wito kwa walimu wote nchini wa shule za awali, msingi na sekondari kufundisha…

Samia’s Russia visit revives Tanzania’s Non-Aligned legacy

By Deodatus Balile, Moscow, Russia This week, President Samia Suluhu Hassan made a state visit to the Russian Federation from June 3–5, 2026. The visit came 57 years after a similar high-level engagement and the first-ever visit by a Tanzanian…

Kapinga: Dhana ya taka sifuri inafungua fursa za biashara na viwanda

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amesema dhana ya taka sifuri na urejeshaji bidhaa ni fursa muhimu ya kukuza sekta ya viwanda, kuongeza thamani ya malighafi na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika kikao cha mawaziri…

Ushirikiano sekta binafsi nyenzo muhimu ya mageuzi sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam USHIRIKIANO kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) unazidi kuonekana kuwa nyenzo muhimu katika kuleta mageuzi ya sekta ya afya nchini Tanzania, huku wataalamu wakisisitiza kuwa ushirikiano huo ni muhimu katika…

Vijana 100 bora waingia mafunzoni shindano vijana uchumi challenge 2026

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya shindano la Vijana Uchumi Challenge 2026,Amina Sanga ametangaza rasmi majina ya vijana 100 bora waliofanikiwa kuingia hatua inayofuata ya shindano hilo baada ya mchakato mkali ulioshirikisha jumla ya maombi 7,852…