Latest Posts
Serikali yatoa bilioni 8 kujenga kituo cha umeme Imalilo – Simiyu
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme inayotekelezwa Mkoani Simiyu kwa lengo la kujionea maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa wakati. Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa…
Vikwazo vitano vya biashara Tunduma na Nakonde vyapatiwa ufumbuzi
Vikwazo vitano visivyo vya kikodi kati ya kumi vilivyokuwa vikisababisha msongamano mkubwa wa malori na usumbufu kwa wafanyabiashara na wasafirishaji katika mpaka wa Tunduma/Nakonde, zimepatiwa ufumbuzi kupitia juhudi za pamoja za Serikali za Tanzania na Zambia. Hatua hiyo inatajwa kuwa…
CRDB kuwanufaisha wachimbaji wadogo, yaingia makubaliano na Serikali
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini imesaini makubaliano Maalum na Benki ya CRDB yatakayorahisisha upatikanaji wa huduma za fedha kwa wachimbaji wadogo wa madini. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya…
RC Dendego ampa tano Dk Samia utekelezaji kwa vitendo mradi wa nishati safi ya kupiki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Singida Katika nchi inayokumbwa na changamoto za kiafya, mazingira na umasikini, nishati safi ya kupikia si tu hitaji la msingi bali ni kichocheo cha maendeleo ya kweli kwa watu na Taifa kwa ujumla. Katika kukabiliana na…
TANESCO, REA, wananchi wanaolipa umeme waunganishwe kwa wakati – Salome
📌Awasha umeme Kitongoji cha Bugofuma wilayani Misungwi📌Wananchi kufungiwa mita janja kurahisisha ununuzi wa umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha…





