JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TRC yaanza kuunda vichwa vya treni za MGR nchini

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, imelitolea wito Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania wanaounda na kukarabati vichwa vya treni za MGR, kwa kuwapa mafunzo thabiti ndani na nje ya nchi ili kuongeza maarifa,…

Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi wa daraja la Katuma

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua na kuridhishwa na ujenzi wa daraja la Katuma mita 55 katika barabara ya Sitalike-Kizi km 64.‎ ‎Akizungumza mara baada ya kuikagua barabara hiyo ameipongeza Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kwa…

Uimarishaji mpaka wa Tanzania na Kenya wafikia asilimia 75

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Kilimanjaro Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na kazi ya uimarishaji wa mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya ambapo Km 564 sawa asilimia 75 tayari zimewekewa alama kati ya…

Ulega : Chini ya uongozi wa Rais Samia miundombinu inaendelea kujengwa kila kona ya nchi

Na Mwandisshi Wetu Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali inaendelea kutekeleza miradi mingi ya maendeleo ya miundombinu nchini, hatua inayodhihirisha dhamira ya dhati ya kuijenga na kuikuza Tanzania. Ulega…

Gridi ya Taifa ya Maji itachochea maendeleo kwa kasi

Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Maji ni kimiminika muhimu kwa maisha na uhai wa viumbei. Maji hutumika kuanzia asubuhi, mchana, jioni hadi usiku. Hutumika kwa matumizi ya nyumbani kama kupikia, kufulia na kuogea. Hutumika katika shughuli za kiuchumi kama viwandani,…

Waziri Makonda abainisha madudu ndani ya mashirikisho ya michezo awapa onyo viongozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema migogoro inayojitokeza katika mashirikisho na vyama vya michezo nchini inaathiri kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sekta hiyo na kusababisha vipaji vya vijana kupotea. Makonda…