Latest Posts
Nombo : Udanganyifu mitihani wapungua kwa kiasi kikubwa
Serikali imesema udanganyifu katika mitihani ya kitaifa umepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na kuimarishwa kwa usimamizi wa mitihani nchini. Kauli hiyo imetolewa Septemba 7, 2026 mkoani Ruvuma na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Prof. Carolyne Nombo, alipofika katika Ofisi…
Vyama vya siasa kuwa mabalozi wa bima ya afya
Vyama vya siasa nchini vimetakiwa kutumia majukwaa yao kuwahamasisha na kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote, kwa kuwa afya ni haki ya kila mwananchi bila kujali itikadi, umri, jinsia au nafasi yake katika jamii….
TARURA yatumia teknolojia ya kisasa kuchunguza udongo kabla ujenzi wa miundombinu
*Bilioni 2 zatumika uwekezaji mtambo wa kisasa *Maabara ya TARURA yatumika kuongeza ujuzi kwa wanachuo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutumia teknolojia ya kisasa kufanya uchunguzi wa kina wa udongo kabla…
Rais Mwinyi : Amani na utulivu ni mafanikio ya Uchaguzi 2025 Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kwa kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo,…
Mwanri: Mazungumzo ya wadau yameonyesha mwanga wa maridhiano
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amesema mazungumzo yaliyofanywa na wadau kuhusu hali ya kisiasa nchini yameonyesha mwanga mkubwa juu ya maridhiano na utayari wa wadau katika kupata mwafaka mzuri. Amesema hayo leo Septemba…
Viongozi mbalimbali wahudhuria mazishi ya mume wa Rais Samia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa heshima za mwisho kwa Marehemu Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mazishi yaliyofanyika…





