Latest Posts
Dk Mwigulu : Kila kijiji kuwa na sekondari
Aelekeza fedha zinazookolewa kwenye kubana matumizi zielekezwe kwenye huduma za wananchiAagiza magari ya kubeba wagonjwa yawe na mafuta, aonya wanaowachangisha wagonjwaAmpongeza Afisa Elimu aliyesimamia shule kuongoza kitaifa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imejipanga kufanya mageuzi makubwa katika sekta…
Tanzania yakabidhi DRC msada wa tani 52 za dawa na vifaa tiba kupambana na Ebola
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeikabidhi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tani 52 za dawa na vifaa tiba zenye thamani ya shilingi milioni 220, sawa na takribani dola 88,000 za Kimarekani, kusaidia mapambano dhidi ya mlipuko wa…
Prof. Shemdoe : Chama cha Wazee Kisiwe cha harakati, ni hazina ya hekima na mshikamano katika jamii
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekitaka Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kutokuwa chama cha harakati, bali kutumia nafasi yake katika…
Masauni atoa wito kusimamia agizo la usafi wa mazingira
Na; Mwandishi Wetu Dar es Salaam Serikali inatoa wito kwa Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kuhakikisha kuwa wanaweka utaratibu wa kusimamia utekelezaji wa maelekezo ya kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi kuwa siku ya usafi wa…
Mageuzi ya elimu ni fursa kubwa kwa vijana
Serikali imeweka mkazo katika kutafuta suluhisho la changamoto ya wanafunzi kuacha shule, hususan wavulana, baada ya kubainika kuwa ongezeko la utoro linaweza kuwa kikwazo katika utekelezaji wa mageuzi ya elimu nchini. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,…
TANESCO yaboresha maisha ya wafanyakazi nyumba ya Mungu
📌 Nyumba za wafanyakazi zakarabatiwa, kuboresha utendaji wa kazi 📌 Mtambo wa kisasa wa kuchakata maji wazinduliwa 📍 MWANGA, KILIMANJARO | Septemba 2, 2026 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua na kukabidhi nyumba zilizokarabatiwa kwa wafanyakazi wa Kituo cha Kuzalisha…





