JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Mstaafu Kikwete awataka wanaume kupima tezi dume mapema

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka wanaume kujenga utamaduni wa kupima afya ya tezi dume mara kwa mara, akisema uchunguzi wa mapema huongeza uwezekano wa kupata matibabu kwa wakati kabla saratani haijasambaa. Dkt. Kikwete ametoa…

Serikali zaidi ya bil. 6/- kujenga daraja jipya la Luegu

Na Mwandishi Wetu ,Ruvuma, Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imesaini mkataba wa ujenzi wa daraja la Luegu lenye urefu wa mita 40.8 na barabara za maungio kwa kiwango cha lami zenye urefu kilometa 2.125 katika barabara ya Naikesi-Kitanda…

Chatanda : Zanzibar imethibitisha kuwa inawezekana kufikia muafaka wa kitaifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wananchi na viongozi wa Zanzibar wamepongezwa kwa kufikia muafaka wa kitaifa kwa kuimarisha umoja na mshikamano kuelekea ujenzi wa taifa lenye maendeleo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT)…

WMA yahakiki vipimo zaidi ya milioni 1,yakagua maeneo 5,015

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) imehakiki vipimo 1,166,995 nchini katika mwaka wa fedha 2025/2026, sawa na asilimia 92 ya lengo la vipimo 1,269,957, huku ikifanya kaguzi 5,015 katika maeneo mbalimbali ya biashara. Afisa Mtendaji Mkuu wa…

TRC, JKCI Maadhimishi ya Moyo Duniani; Huduna ya vipimo vya moyo bure kwa wasafiri wa SGR

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Katika kuelekea Siku ya Maadhimisho ya Moyo Duniani, ambayo hufanyika kila mwaka Septemba 29, Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wametangaza ushirikiano maalum utakaowawezesha…

NMB yatoa mil. 47.6/- kupunguza uhaba vifaa shuleni Kondoa, Chemba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Juhudi za kupunguza uhaba wa madawati na vifaa vya kujifunzia katika Wilaya za Kondoa na Chemba, mkoani Dodoma, zimepata msukumo baada ya Benki ya NMB kukabidhi vifaa vyenye thamani ya Sh47.6 milioni kwa shule nane…