JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JKCI yazindua mfumo wa kidijitali wa usajili wa wagonjwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imezindua mfumo wa kidijitali wa usajili wa wagonjwa na teknolojia mpya ya kisasa ya Dozee ya kufuatilia hali ya mgonjwa hata kiwa nyumbani. Uzinduzi huo ulifanyika jana jijini…

Serikali Yasisitiza Ukuzaji tija katika Sekta ya Umma

Na: OWM (KAM), Dodoma Watumishi wa umma vijana na wanawake katika wizara na taasisi wamepatiwa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika kukuza tija na kuimarisha utendaji kazi kwa lengo la kuongeza ufanisi wa utoaji huduma bora na kuchochea maendeleo ….

Milu Kipimo Ateuliwa Kuongoza Bolt for Business Barani Afrika

Dar es Salaam, 16 Julai 2026 — Kiongozi wa biashara kutoka Tanzania, Milu Kipimo, ameteuliwa kuwa Meneja wa Kanda ya Afrika wa Bolt for Business, hatua inayompa jukumu la kusimamia shughuli za huduma za usafiri wa biashara za kampuni hiyo katika…

Kampuni za Wazawa Zatakiwa Kutekeleza Miradi kwa Ufanisi Ili Kushindana Kimataifa

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, amezitaka kampuni za wazawa zinazotekeleza miradi ya kusambaza umeme vitongojini kufanya kazi kwa ufanisi na weledi ili kujijengea uwezo wa kushindana kimataifa na kupata miradi nje ya…

Kamati ya Kitaifa ya Ufungaji Migodi Yapitia Mpango wa Ufungaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu

Msalala, Kahama Kamati ya Kitaifa ya Ufungaji Migodi imepitia na kujadili Mpango wa Ufungaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu uliopo Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, ili kujiridhisha kama unakidhi matakwa ya sheria, kanuni na miongozo inayosimamia…

Tanzania, Oman zaimarisha ushirikiano wa kidijitali katika usimamizi wa nyaraka za Serikali

Serikali ya Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya Chumba cha Kanzi Data (Data Centre), vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) pamoja na miundombinu iliyoboreshwa ya mtandao kutoka Mamlaka ya Taifa ya Nyaraka na Kumbukumbu ya Sultanate ya Oman,…