JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ujumbe wa Tanzania washiriki maadhimisho ya kuzuia utumikishwaji wa mtoto Geneva

Na: OWM (KAM) – Geneva, Uswizi Ujumbe wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeungana na mataifa mengine katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Utumikishwaji wa Mtoto yaliyofanyika tarehe 9 Juni, 2026 katika Makao Makuu ya Umoja…

MSD yaihakikishia Kamati ya Bunge ubora wa huduma katika utekelezaji wa bima ya afya kwa wote

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD) imeihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI kuwa itaendelea kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya zenye ubora, kwa wakati na kwa kiwango kinachohitajika kuelekea utekelezaji wa…

WRRB yanadi ufanisi mfumo wa stakabadhi za gha Misri, yafungua milango ya biashara ya mifugo

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Asangye Bangu, ameshiriki Jukwaa la Tanzania na Misri la Utalii, Biashara na Uwekezaji na kueleza kuwa Tanzania imeongeza biashara ya mifugo na mazao ya mifugo katika…

Mahundi aieleza dunia hatua za Tanzania katika kulinda haki za wenye ulemavu

Na Jackline Minja, New York, Marekani Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, ameieleza Jumuiya ya Kimataifa hatua kubwa zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania katika kulinda na kuendeleza haki za watu wenye…

Mbunge Anne Kilango aongoza mapokezi ya shujaa wa AFCON U -17 Same Mashariki

Na Ashrack Miraji, JamhutiMedia, Same Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Serengeti…

Tanzania, Singapore, zaimarisha ushirikiano wa uendelezaji ujuzi na rasilimali watu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Tharman Shanmugaratnam wakishuhudia utiaji saini wa hati ya makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Singapore kuhusu Uendelezaji…