JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wazalishaji kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ kuongeza ushindani kimataifa

Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa. Agizo hilo limetolewa  na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….

Tanzania yatoa wito wa ushirikiano wa kimataifa katika matumizi ya akili unde

Tanzania imezitaka Nchi Duniani kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika maendeleo na usimamizi wa Akili Unde (AI) ili kuhakikisha mataifa yote yananufaika kwa usawa na fursa zinazotokana na teknolojia hiyo. Wito huo umetolewa leo tarehe 6 Julai, 2026 na Waziri wa…

Viongozi wa vijiji waonywa kujihusisha na uuzaji wa ardhi kiholela

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Misungwi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amewatahadharisha viongozi wa vijiji nchini kuacha kujihusisha moja kwa moja na uuzaji wa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria, akisema tabia hiyo imekuwa…

MMS atembelea wadau Maonesho ya SABASABA 2026

Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akisaini kitabu cha wageni alipowasilikwemye viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa Dar es Salaam Julai 6, 2026. Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), akisalimiana na Dkt. Garvin…

Wizara ya Madini, taasisi za elimu zajadili uanzishwaji kituo cha umahiri wa madini mkakati Tanzania

-Taasisi ya BRIGHT yawasilisha mpango wa kuanzisha Kituo cha Umahiri wa Teknolojia ya Betri DODOMA – Wizara ya Madini imeanza hatua za mwanzo za kujadili uanzishwaji wa Kituo cha Umahiri wa Madini Mkakati kitakacholenga kutoa mafunzo ya teknolojia ya kuongeza…

Balozi Kaganda awasilisha hati za utambulidho kwa Rais wa Mauritius

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Mauritius, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, mwenye makazi yake ya kikazi Jijini Harare, Zimbabwe, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Mauritius, Mhe. Dharambeer Gokhool, katika hafla iliyofanyika Julai…