Latest Posts
Serikali kupitia MSD wachochea utoaji huduma bora Hospitali ya Manyoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Hospitali ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeongeza utoaji huduma bora za afya kutokana na uwepo wa dawa na vifaa tiba vya kisasa vilivyotolewa na Bohari ya Dawa(MSD). Hayo yalibainika wakati wa ziara maalumu ya…
Kocha bingwa wa NCAA Austin Pillado kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ya kuendeleza michezo yote nchini kwa vitendo, Shule ya Kimataifa ya Monti International School imetangaza kuandaa tukio kubwa la…
Dar es Salaam yajiandaa kushiriki maonesho makubwa ya Kilimo Afrika
Usikose kushiriki 10th AFRICA AGRI EXPO 2026, yatakayofanyika sambamba na 3rd Future Food, Livestock & Poultry Expo 2026. Hili ni jukwaa muhimu kwa wakulima, wafugaji, wawekezaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya chakula kutoka Afrika na duniani kote. 📍 Mahali:…
Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuadhimisha miaka 62 ya Jamhuri ya…
Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, majiko banifu na umeme, hatua inayolenga kulinda mazingira, kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa ili kuboresha afya ndani…





