JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Ndejembi awasili Tanga kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian, leo tarehe 29 Juni, 2026. Akiwa mkoani Tanga, Waziri Ndejembi atatembelea na…

IGP amteua Twaha Lulengelule kuziba nafasi ya Abwao

Jeshi la Polisi Tanzania lingependa kujulisha kuwa, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Twaha Juma Lulengelule ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Tabora kuwa Kamanda…

Chifu Mashimba: Jamii irejee kwenye mila na desturi kwa manufaa ya kizazi kijacho

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha CHIFU ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wataalamu wa Tiba Asili na Mbadala Mkoa wa Pwani, Salim Mashimba, amesema jamii imeasi na kupuuza mila na desturi za mababu, hali inayotishia ustawi wa maadili na ukuaji wa…

Dk Akwilapo : Serikali kuendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za kidini

Na Mwandishi Wetu, Kondoa WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za kidini katika kuboresha huduma za jamii, hususan sekta za elimu, afya na malezi, kwa kutambua mchango…

Prof. Shemdoe awaasa wanafunzi kuendeleza vipaji vyao vya michezo na Sanaa

Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaasa wanafunzi walioshiriki mashindano ya UMISSETA mwaka 2026 kuendeleza vipaji vya michezo na Sanaa walivyonavyo kwani…

Ulega ataka barabara za AFCON zikamilike kwa wakati

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kujengwa kwa kasi zaidi kwa miradi ya miundombinu itakayohusika na Mashindano ya AFCON ambayo Tanzania itakuwa mwenyeji mwakani. Ulega ameyasema hayo leo mjini Arusha wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Mbauda –…