JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wazi Mkuu: Dk Samia ameandika historia isiyofutika

Ataka watanzania waache tabia ya kujidogosha WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi kifupi cha uongozi wake, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandika historia ambayo kwa namna yoyote haiwezi kufutika kutokana na magaeuzi makubwa aliyoyafanya. Amesema historia hiyo inaandikwa…

Serikali yapokea hoja ya Dk Jafo ya ajira za ‘Part -Time’ kwa vijana

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedi, Dodoma SERIKALI imepokea rasmi hoja ya ajira za muda (part-time) kwa vijana iliyowasilishwa na Mbunge wa Kisarawe, Dk. Selemani Jafo, na kuanza mchakato wa kuichakata ili kubaini namna bora ya utekelezaji wake. Akizungumza mara baada ya…

Serikali yajipanga kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe nchini – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imeandaa andiko la mradi unaoitwa SIFA yaani (School Infrastructure Facelifting Programme) na kuliwasilisha…

JOWUTA yashiriki kikao Mei Mosi, yataka ushirikishwaji zaidi wanahabari

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Njombe Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari Tanzania(JOWUTA),kimetaka ushirikishwaji zaidi wa vyombo vya habari katika maadhimisho ya kitaifa ya Mei Mosi mkoani Njombe. JOWUTA inashiriki Mei Mosi yake ya kwanza mwaka huu kama mwanachama wa…

Wizara ya Mambo ya Nje kuandaa utaratibu wa kuvuna maarifa ya mabalozi wastaafu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar 3s Salaam Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kuimarisha diplomasia ya nchi. Kauli hiyo…

Vijana, wanawake wahamasishwa kurasimisha biashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma VIJANA nchini Tanzania wanaendelea kurasimisha shughuli zao za biashara kwa kasi, hali inayoashiria kuongezeka kwa ushiriki wao katika uchumi rasmi na mchango wao katika juhudi za maendeleo ya taifa. Hayo yameelezwa leo Aprili 15,2026 na…