Latest Posts
Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze MWENGE wa Uhuru umetambua mchango wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete, kufuatia kuandika kitabu (andiko) kinachoelezea…
Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa
Na Mwandii Wetu Baada ya kipindi kirefu cha mvutano, vilio, na malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara na wamiliki wa vyombo vya usafiri nchini, Serikali hatimaye imetoa majibu ya kisheria kufuatia kupanda kwa gharama za uendeshaji. Kupitia Gazeti la Serikali toleo la…
Mashili : Tumuombee Rais, tuliombee taifa
Watanzania wamehamasishwa kuendelea kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kupata utulivu wa kuliongoza Taifa la Tanzania kwa amani, upendo na mshikamano. Rai hiyo imetolewa leo Aprili 19, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji…
Kiongozi wa mqenge asifu kiwanda cha nguzo za zege kwa kuukoa mazingira
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Wazo Mwang’onda, amekagua kiwanda cha kutengeneza nguzo za zege cha Coast Concrete Poles kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani na kueleza kuwa ni mwarobaini wa kulinda mazingira kwa kupunguza ukataji…
Sitovumilia mwalimu kuonewa au kutotendewa haki – Pro. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Bahi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema iwapo atapewa taarifa ya uhakika ya afisa yeyote anayepaswa kuwahudumia walimu na kutatua kero zao,…
Zaidi ya bil.127.7/- zatumika kufikisha nishati vijijini Mwanza
📌Wabia wa Maendeleo waipongeza Tanzania kufikisha umeme Vijijini 📌Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya umeme Zaidi ya shilingi bilioni 127.7 zimetumika kupeleka huduma ya nishati safi Vijijini Mkoa wa Mwanza hali iliyochochea ukuaji wa uchumi na kuboreka kwa huduma za kijamii…





