JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia, Museveni washuhudia makubaliano ya trilioni 56 kuifanya Tanga kituo kikuu cha nishati ya mafuta

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan na Yoweri Museveni wa Uganda wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) ya kuendeleza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta na Kitovu cha Nishati cha Kikanda…

Uukaguzi wa migodi waimarisha usalama, uhifadhi wa mazingira

Tume ya Madini yasisitiza uchimbaji unaozingatia sheria, afya na maendeleo endelevu 📍Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia sheria, usalama wa wafanyakazi, afya kazini na utunzaji wa mazingira,…

Kafulila, aanza kutekeleza maagizo ya Rais Samia ya utekelezaji Dira ya Taifa 2050

Na Mwsndishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC), David Kafulila, ameanza kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukutana na waandishi wa habari wa mitandao ya…

Naibu Waziri Chande avutiwa na mafanikio ya TADB kwenye kilimo

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma na kupongeza mchango wa benki hiyo katika kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo nchini….

Sangu: Serikali inatambua mchango wa wazee

Na OWM (KAM), Lindi Serikali imesema itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa wazee katika kujenga jamii yenye amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Amesema hayo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano) Deus Sangu alipokutana na…

ADEM yaongoza mageuzi ya elimu, viongozi 31,000 wajengewa uwezo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viongozi 31,000 wa sekta ya elimu nchini wamejengewa uwezo kupitia mafunzo ya uongozi na usimamizi yanayotolewa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), huku zaidi ya Sh. bilioni 16 zikiwekezwa katika…