Latest Posts
Tanzania yasisitiza ufadhili endelevu wa afya kupitia rasilimali za ndani
Na Benny Mwaipaja, Addis Ababa Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khams Mussa Omar, amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo asilimia 100 ya kaya zitakuwa zimesajiliwa katika Mpango wa Huduma ya Bima ya Afya kwa Wote ikiwa ni dhamira…
NMB yaibuka Superbrand Afrika Mashariki 2026–2028
Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha 2026–2028 baada ya kupata kura nyingi zaidi za watumiaji katika kundi la benki, kwa mujibu wa Baraza la Superbrands. Utambuzi huo umetokana na tathmini iliyohusisha Baraza…
Shirika la AAWORD latoa mafunzo ya ujasiriamali kwa wanafunzi sekondari Keko
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Shirika la AAWORD limewapatia mafunzo zaidi ya wanafunzi 100 wa Shule ya Sekondari Keko, kuhusu namna ya kurejesha taka ngumu na kuzibadilisha kuwa bidhaa zenye thamani. Akizungumza kuhusu mafunzo hayo,Mratibu wa Vijana wa Shirika la Active…
Wadau wa mnyororo wa uchukuzi na usafirishaji wakutana
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wadau wamnyororo wa uchukuzi na usafirishaji mizigo ,kushirikiana kutafuta suluhisho la muda mrefu la changamoto zinazoikabili sekta hiyo, ikiwamo foleni za malori, ukosefu…
Milioni 263 kijijini Makunda kuzalisha ajira mpya 60 kwa vijana
Na Byarugaba Innocent OR-MV Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka Agosti,2026 ameendelea kuchanja mbuga kuwafikia Vijana wa Kitanzania safari hii akitia nanga katika Kijiji cha Makunda,Mkoani Singida ambapo amewakabidhi Mitambo mitatu yenye thamani ya…
Waziri Mavunde aingilia kati changamoto ya umeme Mirerani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mirerani WAZIRI wa Madini Anthony Peter Mavunde ameingilia kati changamoto ya bei kubwa ya ankara ya matumizi ya nishati ya umeme kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani Wilayani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara….





