Latest Posts
Serikali yajipanga kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe nchini – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imeandaa andiko la mradi unaoitwa SIFA yaani (School Infrastructure Facelifting Programme) na kuliwasilisha…
JOWUTA yashiriki kikao Mei Mosi, yataka ushirikishwaji zaidi wanahabari
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Njombe Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari Tanzania(JOWUTA),kimetaka ushirikishwaji zaidi wa vyombo vya habari katika maadhimisho ya kitaifa ya Mei Mosi mkoani Njombe. JOWUTA inashiriki Mei Mosi yake ya kwanza mwaka huu kama mwanachama wa…
Wizara ya Mambo ya Nje kuandaa utaratibu wa kuvuna maarifa ya mabalozi wastaafu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar 3s Salaam Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kuimarisha diplomasia ya nchi. Kauli hiyo…
Vijana, wanawake wahamasishwa kurasimisha biashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma VIJANA nchini Tanzania wanaendelea kurasimisha shughuli zao za biashara kwa kasi, hali inayoashiria kuongezeka kwa ushiriki wao katika uchumi rasmi na mchango wao katika juhudi za maendeleo ya taifa. Hayo yameelezwa leo Aprili 15,2026 na…
Mpango wa Mkoa wa afya moja waandaliwa Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Korogwe Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Tanga umeendelea kuandaliwa ukiwa na lengo la kuainisha Afua mbalimbali za kuboresha uratibu wa utekelezaji wa Dhana ya Afya ya Moja. Timu ya wataalam kutoka sekta za afya,…
Wizara ya Fedha kuendelea kuimarisha sekta ya fedha
Na. Asia Singano na Jordan Mbwambo, WF – Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Fedha, inaendelea kutekeleza mageuzi yanayolenga kuimarisha sekta ya fedha, kuboresha upatikanaji wa fedha, na kuendeleza jukumu la ushirikishaji wa sekta binafsi katika ukuaji wa uchumi. Hayo yameelezwa…





