JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makandarasi watakiwa kufanyia kazi maagizo wanayopewa kabla ya El Nino

Dar es Salaam Makandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingia viwanja vya mazoezi na uendelezaji wa barabara ya uwanja wa Taifa ambayo itatumika wakati wa michuano ya AFCON wametakiwa kufanyia kazi maelekezo yote wanayopatiwa na Wakala…

Taasisi ya OMDTZ yawezesha kata tano kuwa na mipango ya kukabili mafuriko Dar

Na Mwandishi wetu, JamahuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) kwa kushirikiana na Serikali imeanza zoezi la kukabidhi Mipango ya Kata ya Kujiandaa na Kukabiliana na Mafuriko kwa jamii katika kata tano za Jiji la Dar es…

Prof. Shemdoe aweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa Lindi

Na: OWM – TAMISEMI, Mchinga – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa madarasa manne na ofisi moja…

Darling yakuza mitaji ya wasusi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BAADHI ya wasusi walioshiriki programu ya Loyalty ya kampuni ya Darling Hair wamefanikiwa kuongeza mitaji na wengine kutoka kuwa waajiriwa hadi kumiliki saluni zao. Mafanikio hayo yameelezwa wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka…

Wahitimu wa vijijini wahimizwa kuomba ufadhili wa Nuru Yangu

NMB Foundation imetoa wito kwa wahitimu wa Kidato cha Sita mwaka 2026 wenye sifa kuwasilisha maombi ya Nuru Yangu Scholarship and Mentorship kabla ya dirisha kufungwa Ijumaa, Septemba 18, 2026. Awamu hii imetengewa Sh bilioni 1 kufadhili vijana 50 wenye…

Dk Mwigulu : Mfumo wa ununuzi pamba ujulikane ndani ya mwezi mmoja

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya mfumo bora wa ununuzi wa pamba utakaowanufaisha wakulima na kuendeleza uzalishaji wa zao hilo. Ametoa agizo…