JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Kabudi: Kilosa iendelee kulinda amani, kuimarisha kilimo na ufugaji wa kisasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu,) Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb), amewataka wananchi wa Jimbo la Kilosa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano, huku wakiepuka kujihusisha na vitendo…

Rais Museveni wa Uganda awasili nchini kwa ziara rasmi

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia tarehe 5-6 Agosti 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais Museveni…

Wakaguzi wa mafuta waimarisha udhibiti mafuta wa ubora wakati wa upakuaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali, kupitia Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), inasimamia upakuaji wa shehena za mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta, ili kuhakikisha usalama na uzingatiaji wa viwango vya ubora vinavyotakiwa. Akizungumza katika…

TIRDO yaonyesha teknolojia za kuongeza thamani ya mazao na kupunguza gharama za uzalishaji Nanenane

SHIRIKA la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema linaendelea kuwasaidia wakulima na wajasiriamali kuongeza thamani ya mazao, kupunguza gharama za uzalishaji na kupata masoko kupitia matumizi ya teknolojia za kisasa, maabara za ubora na suluhisho za nishati. Akizungumza…

Waziri wa Fedha : Africa50 imeonyesha njia

Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa fedha Balozi Khamisi Musa Omar amesema ,Africa50 imeonyesha kuwa taasisi zinazoongozwa na Waafrika zinaweza kwa mafanikio kuhamasisha mitaji, kuandaa miradi inayovutia uwekezaji. Amesema hayo katika Mkutano mkuu wa wanahisa wa Africa50 (GSM…

Rais Samia : Afrika inahitaji matokeo chanya

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ni wakati wa kubadili mawazo kuwa miradi inayovutia wawekezaji Hayo ameyasema katika mkutano wa Africa50 na Jukwaa la miundo mbinu Afrika…