Latest Posts
Bara la Afrika : Tunahitaji wanahabari mahiri kukuza sayansi, teknolojia na ubunifu
Na Veronica Mrema โ Pretoria Uandishi wa habari za sayansi kwa umakini na umahiri ni nyenzo muhimu ili kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii, kusaidia kukuza maendeleo ya tafiti na vumbuzi mbalimbali. Bara la Afrika bado lina uhitaji mkubwa wa waandishi…
Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Andrew Mwalugaja, ameendelea kuwa mstari wa mbele katika kuongoza sekta ya madini kwa uwajibikaji, weledi na ubunifu. โKupitia usimamizi wake, Katavi imepiga hatua kubwa katika kuboresha mazingira…
TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
Na Baltazar Mashaka, Mwanza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesitisha rasmi kibali cha udahili na usajili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Shahada ya Udaktari wa Binadamu katika Chuo Kikuu cha Mwanza (MzU) kwa mwaka wa masomo 2025/2026,…
Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi , amekiasa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kufanya kazi na Wafanyabiashara Wageni wanaoleta teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini ili kuhakikisha vijana…
Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kuanzisha program atamizi ya biashara ambayo itawatengeneza wahitimu wa chuo hicho kuwa wafanyabiashara mahiri siku za baadae. Pongezi hizo zilitolewa leo jijini Dar es…
Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป, amesema Serikali anayoiongoza ya awamu ya sita si serikali ya kuamrishwa, kupewa masharti, au kuelekezwa namna ya kuendesha majadiliano na wadau…





