JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi wajitokeza kwa wingi kliniki ya sheria bila malipo Manyara

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imeendelea kutoa huduma za Ushauri na Elimu ya masuala mbalimbali ya Kisheria katika Kliniki ya Sheria bila malipo kwa Wananchi wa Mkoa wa Manyara, Kliniki hiyo inafanyika kwa ushirikiano kati ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa…

‘Rais Samia ameing’arisha Simanjiro’

Na Mwandishi wetu, Simanjiro Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandana ameeleza kwamba Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeing’arisha Simanjiro kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. DC Lulandala akizungumza mji mdogo…

Nishati safi ya Rafiki Briquettes iwafikie Watanzania wote -Balozi Kingu

📌Uzalishaji wa Rafiki briquettes uende sambamba na uzalishaji wa majiko banifu 📌STAMICO waahidi kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa nishati safi nchini 📍Kisarawe – Pwani Watanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…

Watendaji wa Uchaguzi Peramiho watakiwa kuvishirikisha vyama vya siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kuvishirikisha kwa ukaribu vyama vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote za mchakato wa uchaguzi katika maeneo yao ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru…