Latest Posts
Waziri Kikwete azindua jengo la TAKUKURU Chalinze, lagharimu milioni 406.49
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), amezindua jengo jipya la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika Wilaya…
Prof. Shemdoe : Bilioni 67/- zatumika kujenga barabara, masoko Mwanza
Na OWM – TAMISEMI, Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) imetumia kiasi cha Shilingi Bilioni…
Serikali kuenzi mchango wa marehemu Edwin Mtei
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada ya kumuaga aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mzee Edwin Mtei, akimtaja kuwa kiongozi mahiri, mzalendo…
Wananchi wajitokeza kwa wingi kliniki ya sheria bila malipo Manyara
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imeendelea kutoa huduma za Ushauri na Elimu ya masuala mbalimbali ya Kisheria katika Kliniki ya Sheria bila malipo kwa Wananchi wa Mkoa wa Manyara, Kliniki hiyo inafanyika kwa ushirikiano kati ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa…
‘Rais Samia ameing’arisha Simanjiro’
Na Mwandishi wetu, Simanjiro Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandana ameeleza kwamba Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeing’arisha Simanjiro kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo. DC Lulandala akizungumza mji mdogo…





