JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kuboresha na kuongeza idadi ya vyuo vikuu na vya kati nchini

Na. Asia Singano, WF, Dar Es Salaam. Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya Vyuo Vikuu na vya Kati na kuongeza idadi ya vyuo hivyo katika mikoa yote ili wananchi wapate fursa zaidi ya kujiendeleza kimasomo na kupata elimu ya juu. Akizungumza…

Watano wafariki baada ya basi kugongana na gari ndogo Arusha

Watu watano wamefariki dunia huku mmoja akijeruhiwa baada ya magari mawili kugongana leo huko katika maeneo ya Mbuyuni, wilaya ya monduli Mkoani Arusha. Akitoa taarifa hiyo leo Novemba 23, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa…

Serikali yawataka wananchi kusubiri ripoti ya Tume Maalum ya kuchunguza maafa ya Oktoba 29

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewataka wananchi kuwa na subira wakisubiri ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa kuchunguza chanzo cha maafa yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu, huku ikisisitiza kuwa uchunguzi huo unapaswa kuachiwa uhuru bila kuingiliwa. Akizungumza na waandishi…

Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa ushindi wa kishindo aliyoupata katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025. Makamu wa…

Rais Samia akiwatunuku kamisheni maafisa wanafunzi kuwa maafisa wa JWTZ

  Maafisa Wanafunzi wakivalishana vyeo mara baada ya kutunukiwa Kamisheni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha tarehe…

JKCL sasa kusogeza huduma za moyo hadi maeneo ya kazi

Na Mwandishi Maalum Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kusogeza huduma za kibingwa za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa jamii kwa kuwalenga wafanyakazi katika maeneo yao ya kazi hatua inayolenga kuwafikia wale ambao mara nyingi hukosa muda wa…