Latest Posts
Zelensky: Putin hana nia ya kusitisha mapigano
Kauli ya Rais Volodymyr Zelensky kwamba Rais Vladimir Putin hana nia ya kushiriki katika mazungumzo ya kusitisha mapigano amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita vya Ukraine mwaka 2022. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema haoni dalili yoyote…
NMB kuchochea maendelea sekta ya utalii Arusha
Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara wakubwa mkoani Arusha ushirikiano wa karibu zaidi katika kukuza shughuli zao, hususan sekta ya utalii, ili kuongeza ufanisi wa kibiashara, mapato na mchango wa taifa katika uchumi wa dunia. Akizungumza kwenye hafla ya chakula cha…
Mbeto atabiri anguko la Othman Uchaguzi wa Urais Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kumemtaja Mgombea Urais wa ACT Wazalendo , Othman Masoud Othman, atashindwa vibaya katika kinyang’anyiro cha Urais kutokana na uwezo wake kuwa mdogo mbele ya mgombea CCM Rais Dk Hussein Ali Mwinyi . Pia…
Mzee Butiku ateta na Dk Nchimbi kwenye mkutano wa hadhara Rorya
Mgombea mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Emmanuel Nchimbi amekutana na kusaliamiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere Joseph Butiku wakati wa mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu . Dk.Nchimbi ambaye…
Israel yamuua Waziri Mkuu wa Houthi Yemen
Waziri Mkuu wa Serikali ya Houthi nchini Yemen, Ahmed al-Rahawi, ameuwawa kwa shambulio la anga la Israel tarehe 28 Agosti 2025. Shambulio hilo lililenga mkutano wa viongozi waandamizi mjini Sanaa na kuua pia mawaziri kadhaa. Houthi wamethibitisha kifo hicho na…