JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Nchimbi : Tanzania imedhamiria kulinda afya, maisha ya watu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha inalinda afya, maisha ya watu na mazingira kwa kutoa kipaumbele katika uimarishaji wa mfumo wa afya, kuwekeza katika utafiti wa kisayansi, na kuhimiza…

Jumuiya ya Maridhiano na Amani yawaonya wanaoleta mpasuko kwenye jamii

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma JUMUIYA ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) imetoa wito kwa baadhi ya viongozi wa dini wanaotoa kauli zinazoleta mpasuko wa kidini kati ya Waislamu na Wakristo, ikisisitiza kuwa jamii inapaswa kulinda misingi ya amani na maridhiano….

Wanawake wafundishwa kutengeneza mbolea

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya wanawake 50 kutoka Kata ya Keko Mwanga, Dar es Salaam, wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa mbolea mboji kwa kutumia taka za majumbani, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku 16 za…

Prof. Silayo aaga AFWC25, atoa wito wa mageuzi makubwa

Na Mwandishi Wetu, Banjul BANJUL, Gambia — Afrika imeanza sura mpya ya mageuzi katika sekta ya misitu na wanyamapori baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Misitu na Wanyamapori Afrika (AFWC25), Prof. Dos Santos Silayo, kukabidhi rasmi uenyekiti kwa Mr. Ebrima…