Latest Posts
Salome : Umeme wa gridi Kigoma umeokoa bilioni 58 za mafuta na matengenezo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila…
Mwigulu akagua ukarabati wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. ‎Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na…
Benki ya Dunia kutoa bilioni 5 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Matavila, ameishukuru Benki ya Dunia kwa msaada wa kifedha na kitaaluma wa kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Akifungua kikao cha Kamati Kuu (National Steering Committee)…
AWESO atembelea Gridi ya Taifa ya Maji ya China
Shan Dong, China Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewasili nchini China na kutembelea Gridi ya Taifa ya Maji ya China.Akiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng Mwajuma Waziri pamoja na watendaji wa sekta Waziri Aweso amefika…
Wahariri waipongeza REA usambazaji wa gesi asilia Lindi, Pwani
📌Bilioni 6 yawezesha kusambaza miundombinu ya gesi asilia kwenye kaya 1000 na shule moja 📌Nishati ya gesi asilia ni ya uhakika, salama na nafuu zaidi 📌Wananchi watakiwa kuilinda miundombinu ya kusambaza gesi asilia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Jukwaa la…
EACOP yazindua mpango wa ‘Msaidie Binti Abaki Shule’ kusaidia hedhi salama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umezindua awamu ya kwanza ya mpango wa hedhi salama mashuleni unaojulikana ‘Msaidie Binti Abaki Shule’ unaolenga kuwawezesha wasichana, hususan wanaoishi vijijini kuhudhuria masomo muda wote,…





