Latest Posts
Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa mafuta -Dk Mwigulu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli na mafuta mengine ili kuhakikisha bei zake zinaendelea kuwa himilivu, licha ya changamoto za kiusalama za kikanda na kimataifa, ikiwemo…
EWURA yataja sababu ya bei ya Mafuta Kupaa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakati wananchi wakitarajia utulivu wa gharama za maisha mwanzoni mwa robo ya pili ya mwaka, hali imekuwa tofauti baada ya kutangazwa kwa ongezeko kubwa la bei za mafuta nchini, hatua inayotishia kuongeza mzigo wa maisha na gharama…
Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba trilioni 12.5 kwa Bajeti 2026/202
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk.Mwigulu Lameck Nchemba, amewasilisha Bungeni mpango wa mapato na matumizi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/2027, akiomba zaidi ya shilingi trilioni…
Zaidi ya bilioni 517 kuboresha miundombinu ya barabara Dar es Salaam kupitia DMDP II
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaamZaid ya Bilioni 517 zimeelekezwa kuboresha miundombinu ya barabara Mkoa wa Dar es Salaam kupitia Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili (DMDP II) hatua inayolenga kuondoa changamoto ya usafiri…
Bei ya mafuta yapanda kutoka sh 2, 864 hadi 3,820 nchini
Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa kiwango kikubwa ambapo kwa Jiji la Dar es Salaam imepanda toka shilingi 2,864 kwa lita mwezi Machi hadi kufikia shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili 2026, kulingana na taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya…
Uzinduzi mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2026 kufanyika Kusini Pemba
Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 unafanyika Mkoa wa Kusini Pemba, ukiwa ni mwanzo wa safari ya kuhamasisha maendeleo, uzalendo na mshikamano wa kitaifa. Uzinduzi huo utafanyika uwanja wa Gombani, Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba kuanzia…





