JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Chamwino yapata mwanga mpya wa usalama kupitia Polisi jamii Morogoro

Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Morogoro (ACP) Samwel Kijanga, amehudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Chamwino, Wilaya ya Morogoro kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro. Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbaliwakiwemo viongozi wa dini,…

DC Ubungo aagiza ushirikishwaji wa Zimamoto katika ujenzi kupunguza majanga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amezitaka Wakala wa Barabara Mijini na Vijini TARURA,Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusisha Jeshi la Zimamoto…

Handeni Mji yapiga hatua kudhibiti utapiamlo kwa watoto

*Watoto wanaolazwa wapungua kutoka 32 hadi 7 kwa robo mwaka Na Augusta Njoji IDADI ya watoto wanaokabiliwa na utapiamlo mkali katika Halmashauri ya Mji Handeni imepungua kwa kiasi kikubwa, kutoka watoto 32 waliokuwa wakilazwa hospitalini kwa robo mwaka 2024/25 hadi…

Mfanyabiashara usafirishaji mizigo ahukumiwa kulipa faini na kurejesha milioni 60/-

Na Mwandishi Wetu, Kinondoni Mnamo Aprili 29, 2026 Mfanyabiashara Aliasgher Akhter Khakoo ambaye hufanya shughuli za usafirishaji mizigo na abiria alihukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya Tsh. 3,000,000/= na…