JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mawaziri wakutana Lushoto kutafuta suluhu ya migogoro ya wananchi Tanga

Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Mawaziri saba (7) wa kisekta wakiwa na mwenyeji wao ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ambaye ni Mbunge wa Lushoto wamekutana wilayani Lushoto kujadili utatuzi wa changamoto na…

Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamepitisha kiasi cha 45,136,269,016.60 kwa ajili ya rasimu wa mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027. Afisa mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro,…

Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar

Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar zimefanya kikao cha ushirikiano kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya Muungano na yasiyo ya Muungano, leo Februari 16,…