Latest Posts
Ziara ya Samia Urusi yafufua sera ya kutofungamana
Na Deodatus Balile, Moscow, Russia Wiki iliyopita, Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kiserikali katika Shirikisho la Urusi kuanzia Juni 3 hadi 5, 2026. Ziara hiyo imekuja miaka 57 baada ya ziara rasmi ya mwisho ya viongozi wakuu wa…
Kunenge : Wavamizi wa shamba no. 34 Mtamba wasubiri uamuzi wa Waziri Mkuu
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewasihi wananchi wanaodaiwa kuvamia Shamba Na. 34 Mitamba, Kata ya Pangani, Manispaa ya Kibaha, kuacha mara moja shughuli zote za maendeleo katika eneo hilo na kusubiri maamuzi ya Waziri…
Kiongozi wa Buddha asifu uhuru wa kuabudu Tanzania
Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katika dini zingine bali pia serikalini kwa ujumla. Ametoa kauli hiyo wakati wa kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa kiongozi wa dhehebu la…
TAKUKURU yaokoa milioni 116 Tanga
Hatua madhubuti za ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo zilizochukuliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Tanga zimezaa matokeo makubwa baada ya kuokoa zaidi ya Shilingi milioni 116 ambazo zilikuwa katika hatari ya kupotea, huku miradi…





