JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 8,000 wapatiwa matibabu ya bure Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo…

UDSM Yaingia kwenye orodha ya QS World University Rankings (QS WUR) 2027

Na Mwandishi Wetu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeandika historia mpya baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika orodha ya QS World University Rankings (QS WUR) 2027, hatua inayokitambulisha rasmi miongoni mwa vyuo vikuu bora duniani na…

Lindi kueneza elimu ya nishati safi ya kupikia kwa wote

📌 Majiko banifu 5,776 kusambazwa mkoani Lindi 📍 Lindi Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema Mkoa wa Lindi umeanza kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwa ni sehemu ya juhudi za kufikia lengo la kitaifa…

Spika Zungu: Tanzania iko tayari kuwakaribisha wabunge wa dunia Oktoba, 2026

Na Prosper Makene New York, Marekani – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Musa Azzan Zungu, Mbunge, ameuhakikishia Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kuwa Tanzania imejipanga kikamilifu kuwakaribisha wabunge kutoka duniani kote katika Mkutano wa 153…

Franone Mining inavyosaidia jamii kupitia CSR Simanjiro

Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining & Gem LTD imenufaisha jamii mbalimbali Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kupitia miradi tofauti ya maendeleo ikiwemo ya sekta ya elimu, afya na miundombinu, kupitia uwajibikaji kwa jamii (CSR). Meneja wa kampuni ya…

Serikali kufuatilia mradi wa barabara Pangani hadi Tanga

Na Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Serikali itafuatilia kwa karibu changamoto zinazokwamisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Pangani-Tanga ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kuanza…