Latest Posts
Hawa ndio wabunge wa kuigwa
Bunge ni muhimili muhimu katika kuhakikisha maslai na mahitaji ya wana nchi yana shughurikiwa na serikali. Serikali ina mihimili mitatu yaani bunge,mahakama na serikali kuu. na kila muhimili una mamlaka na majukumu yake kwa mujibu wa sheria,miongozo, na sera za…
Samia: Hatufungamani
Na Deodatus Balile, Moscow, Urusi Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imefungua milango mipya ya uwekezaji, biashara, elimu na teknolojia huku ikiimarisha sera ya Tanzania ya kutofungamana na upande wowote, JAMHURI limebaini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…
Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya kitaifa
Rais wa Jamhuri ya Singapore Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam akiwa ameambatana na Mwenza…
Wasira abeba kilio cha wana Same kuhusu maji
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Same (SAUWASA) kuhakikisha inatatua kwa haraka changamoto ya upatikanaji maji inayowakabili wananchi wa mji wa Same. Wasira alitoa agizo hilo leo…
Ziara ya Samia Urusi yafufua sera ya kutofungamana
Na Deodatus Balile, Moscow, Russia Wiki iliyopita, Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kiserikali katika Shirikisho la Urusi kuanzia Juni 3 hadi 5, 2026. Ziara hiyo imekuja miaka 57 baada ya ziara rasmi ya mwisho ya viongozi wakuu wa…





