JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Nickson: Migogoro mikubwa ya ardhi Kibaha tumeimaliza na mingine tumeidhibiti

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MKUU wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, amesema migogoro mikubwa ya ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imedhibitiwa, huku baadhi ya migogoro ya mipaka ikiwasilishwa katika mamlaka husika ili kuhakikisha wananchi hawaathiriki katika upatikanaji…

Diwani Nyantori amshukuru Rais Dkt Samia yaliyofanyika siku 100 Kata ya Mbezi

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Kata ya Mbezi iliyopo Halmashauri ya Ubungo Dar es Salaam katika siku 100 za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vivuko, barabara, Ukarabati wa shule 12 na kukamilika kwa…

Mwanamke azirai kwa kupigwa viboko 140 Indonesia kwa uasherati

Wanandoa wawili nchini Indonesia wamepigwa viboko mara 140 kwa kufanya mapenzi nje ya ndoa ambayo ni makosa au haram katika sheria za dini ya kiislamu. Mwanaume na mwanamke hao walipigwa viboko hivyo hadharani. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 21,…

Trump: Ni ‘hatari’ kwa Uingereza kushirikiana na China kibiashara

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa ni ‘hatari’ kwa Uingereza kuwa na ushirikiano wa kibiashara na China. Hii inajiri wakati ambapo waziri mkuu wa Uingereza yuko katika siku ya tatu ya ziara yake nchini China. China na Uingereza zilitangaza…

Bodi ya IAEA kujadili usalama wa nyuklia wa Ukraine

Bodi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kudhibiti Matumizi ya Nishati ya Nyuklia, IAEA, itakutana leo kujadili usalama wa nyuklia nchini Ukraine. Kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya Urusi, nchi 13 zikiongozwa na Uholanzi zimeiomba bodi hiyo ya IAEA kukutana…

TARURA yasaini mikataba 23 siku 100 za Rais Samia madarakani Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meneja wa TARURA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Chacha Mwita Moseti ameelezea mafanikio waliyoyapata katika ujenzi wa miundombinu ya barabara mkoani humo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Hayo ameyasema katika Mkutano wa Mwaka…