Latest Posts
Mwamko wa ulipaji kpdi kwa hiari, chachu ya mqelekeo wa kujitegemea kibajeti
Na DK Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia Waasisi wa taifa letu walipambana na wakoloni ili kujinasua kutoka kwenye makucha ya kutawaliwa na kuamuliwa nini cha kufanya ili hali uwezo wa kufanya hivyo tulikuwa nao. Desemba 09, 1961, tukapata uhuru kamili wa kisiasa…
TPA yanunua boti za kisasa kuimarisha ulinzi bandarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika hatua ya kuendelea kuimarisha usalama wa shughuli za kibandari na kulinda shehena za wateja, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imenunua boti mbili za kisasa za doria ziendazo kwa kasi, zenye…
Taasisi 300 kufungiwa mifumo ya nishati safi ya kupikia 2026/2027
📌Fedha za ndani sh.bilioni 15 kutumika Katika juhudi za kuhakikisha kuwa Tanzania inafikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo 2034, Serikali katika mwaka wa fedha 2026/2027 itasambaza mifumo ya nishati safi ya kupikia katika taasisi 300…
Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
✅️ Tanzania yaendelea kujijengea nafasi ya kipekee duniani kama kitovu cha tafiti za miamba ya shinikizo la juu na utalii wa kijiolojia. ✅️ Profesa Abdulkarim Mruma Ahusika na Kuendeleza Urithi wa Tafiti za Mautia Hill 📍Kongwa – Dodoma Katika eneo…
Mradi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma wafikia asilimia 89
📌 Njia ya kV 400 yenye urefu wa km 345 kukamilika Agosti 21, 2026; kubeba umeme wa JNHPP na kuongeza uwezo wa Gridi ya Taifa. Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze…
Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameelekeza wakandarasi waliokuwa wamesimamisha kazi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mkoani Mara kurejea maeneo ya kazi mara moja, huku Serikali ikiendelea kuwalipa ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika…





