Latest Posts
Ndoto za masomo nje zakaribia kutimia kwa wanafunzi wa kitanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NDOTO za vijana wa Tanzania wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali nje ya nchi kwa mwaka wa masomo 2026/2027 zimeingia hatua muhimu baada ya Global Education Link kuwakutanisha wanafunzi hao pamoja na wazazi…
CP Kaganda aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa wenye dhamana ya uchukuzi
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Jamhuri ya Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, ameongoza ujumbe wa wataalamu kutoka Tanzania kushiriki Mkutano wa Mawaziri wenye dhamana ya Uchukuzi, Ujenzi, Mawasiliano na Hali ya Hewa wa Jumuiya ya…
Wananchi wenye mahitaji maalum Idodi wapatiwa viti mwendo
Mbunge wa Jimbo la Ismani, Mheshimiwa Emmanuela Mtatifikolo, ameendelea kutekeleza ahadi yake ya kuwagusa wananchi wa kila eneo kwa kugawa viti mwendo kwa watu wenye mahitaji maalum, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha maisha yao na kuwawezesha kuendelea na…
Waziri Ndejembi awasili Tanga kwa ziara ya kikazi
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian, leo tarehe 29 Juni, 2026. Akiwa mkoani Tanga, Waziri Ndejembi atatembelea na…
IGP amteua Twaha Lulengelule kuziba nafasi ya Abwao
Jeshi la Polisi Tanzania lingependa kujulisha kuwa, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Twaha Juma Lulengelule ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Tabora kuwa Kamanda…
Chifu Mashimba: Jamii irejee kwenye mila na desturi kwa manufaa ya kizazi kijacho
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha CHIFU ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wataalamu wa Tiba Asili na Mbadala Mkoa wa Pwani, Salim Mashimba, amesema jamii imeasi na kupuuza mila na desturi za mababu, hali inayotishia ustawi wa maadili na ukuaji wa…





