JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NEMC yapanda miti kumuunga mkono Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan, za kuhifadhi na kusimamia mazingira kwa kushiriki zoezi la upandaji miti katika kuadhimisha siku yake…

NIRC kuendelea kutoa elimu ya umuhimu wa uhifadhi wa mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIKA kuadhimisha siku ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,rai imetolewa kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kuendelea kutoa elimu kwa wakulima na jamii kuhusu umuhimu wa uhifadhi wa mazingira. Mkuu wa…

NIRC yaimarisha utunzaji mazingira kupitia upandaji miti skimu ya Hombolo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hombolo Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imefanya zoezi la upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Hombolo, mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kitaifa za uhifadhi wa mazingira na utunzuaji wa rasilimali…

Waziri Kijaji ampokea Braydon Bent, atimiza ndoto yake ya kutembelea Tanzania

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amempokea shabiki mashuhuri wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent ambaye ametimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania na kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo Serengeti na Mlima Kilimanjaro….

Wazee washirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii zoezi la upandaji miti Dodoma

Na Raymond Mushumbusi WMJJWM- Dodoma Baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma limeshirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum katika upandaji miti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya…