Latest Posts
Wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za kukwepa ushuru TRA Ruvuma
Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Ruvuma imewafikisha mahakamani watu wawili kwa tuhuma za kukiuka sheria za ushuru wa bidhaa na kufanya uzalishaji wa pombe kali bila kibali halali. Akizungumza na waandishi wa Habari Jana…
Mwenge wa Uhuru wazinduliwa Kusini Pemba
*Kukimbizwa kwa siku 195 Nchini*Kufikia tamati Oktoba 14, 2026*Hamasa kila Kona ya Pemba Kusini Na Byarugaba Innocent, ORMV, Pemba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi leo Aprili 2, 2026 amezindua Mwenge…
Wafanyakazi ,madereva Bolt wakutana katika chakula cha mfungo wa Kwaresima
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za usafiri mtandaoni nchini, Bolt Tanzania, imeandaa futari na chakula cha mfungo wa Kwaresima kwa zaidi ya madereva washirika 100 katika ukumbi wa Masaki Wellspring Hub, ikiwa ni hatua…
Hospitali ya Rufaa Mbeya yanufaika na msaada wa FCC
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya TUME ya Ushindani (FCC) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imeadhimisha Wiki ya Haki za Mlaji Duniani kwa kutoa msaada wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, ikiwa ni sehemu ya kuunga…
Dkt Mwigulu: Lipeni kabla ya kutwaa maeneo ya wananchi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Wizara za Kisekta, Taasisi na Mamlaka za Serika za Mitaa zihakikishe zinalipa fidia kwa wananchi wanaopisha maeneo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Serikali kabla ya kutwaliwa kwa maeneo yao kwa kuzingatia taratibu…
Yapitisha maazimio 15 kuendeleza matumizi ya AI na kuhamasisha ubunifu
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kupitia Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia ya Jumuiya hiyo (EASTECO), kwa kushirikiana na Baraza la Vyuo Vikuu la Afrika Mashariki (IUCEA) na wadau wa maendeleo, imetoa motisha ya kifedha kwa vijana wabunifu kama njia mojawapo…





