Latest Posts
Maandalizi uchimbaji visima vya gesi asilia Mtwara yafikia asilimia 90
Maandalizi ya uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo mkoani Mtwara yanaendelea vizuri ambapo hadi kufikia Februari 03, 2026 yamefikia zaidi ya asilimia 90. Hayo yameelezwa na Mhandisi Felista Ndabita kutoka Shirika la Maendeleo…
Serikali yachukua hatua kulinda wanafunzi dhidi ya unyanyasaji katika usafiri wa mijini
SERIKALI imetangaza hatua kali za kudhibiti vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wanafunzi wanaotumia usafiri wa mabasi ya mijini maarufu kama daladala, huku ikisisitiza kuwa haki ya mwanafunzi kupata elimu kwa usalama haiwezi kuvunjwa na maslahi ya kibiashara. Hayo yamesemwa leo…
Serikali kuongeza nguvu kukabiliana na muingiliano wa mawasiliano maeneo ya mipakani
Na WMTH – Bungeni, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habati imesema inaendelea kuongeza nguvu katika kuboresha miundombinu ya mawasiliano maeneo ya mipakani ili kupunguza changamoto ya muingiliano wa mawasiliano, sambamba na ujenzi wa minara ya mawasiliano…
Miradi ya mazingira yanufaisha Zanzibar
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema katika kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025 jumla ya miradi kumi ya kuhifadhji mazingira na kuhimili mabadiliko ya tabianchi yenye thamani ya takribani shilingi bilioni 97.6 imetekelezwa na kukamilika Zanzibar. Hayo yamebainishwa…
Waziri Mavinde azindua urushaji wa helkopta ya utafiti wa kina wa madini
▪️Ni utafiti utakaofanywa na Kampuni ya Barrick kwa ajili ya uanzishwaji wa mgodi mpya ▪️Utagusa maeneo ya Msalala, Nzega,Nyangh’wale, Igunga na Mbogwe ▪️Waziri Mavunde aelekeza wachimbaji wadogo kupewa maeneo ambayo hayatatumiwa kwa uwekezaji mkubwa ▪️Utafiti huu kuongeza eneo la Utafiti…
Hospitali ya Shifaa yasema saratani inatibika
….Yahamasisha wananchi wawahi kupima Na Mwandishi Wetu WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana kwamba saratani haitibiki na badala yake wawahi hospitalini kupima kila wanapoona dalili mbaya kwani saratani inatibika kama mgonjwa atawahi kupima mapema na kuibaini. Hayo yalisemwa jana jijini Dar…





