Latest Posts
Watalii 85 kutoka mataifa 6 watembelea magofu ya Kilwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuruMedia, Kilwa – Lindi Tanzania imeendelea kuthibitisha kuwa ni kisiwa cha amani na kivutio kikubwa cha utalii duniani, baada ya meli ya kitalii Island Sky Nassau kutia nanga leo tarehe 15 Januari 2026 katika Hifadhi ya Urithi wa…
Kenya yawatahadharisha wananchi ushiriki wa kukumbatia mti kwa muda mrefu
Wizara ya Afya nchini Kenya imeibua wasiwasi juu ya mwelekeo unaoibuka wa watu kushiriki katika shughuli za kukumbatia miti kwa muda mrefu, huku ripoti zikionyesha kuwa baadhi ya washiriki wamepatwa na matatizo ya kiafya yaliyozidi kiasi cha kuhitaji kupelekwa hospitalini….
UN yaitaka Iran kusitisha mipango ya kuwaua waandamanaji
Umoja wa Mataifa umeitaka Iran kusitisha mpango wa kutekeleza hukumu ya kifo kwa waandamanaji waliokamatwa na ichunguze taarifa zote za vifo kwa uhuru na uwazi. Wito huo umetolewa jana na Martha Pobee, katibu mkuu msaidizi wa Umoja wa Mataifa anayehusika…
Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran
Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maandamano makubwa ya kitaifa. Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Mike Waltz, kwenye kikao cha Baraza la Usalama…
Moto wazua taharuki jengo la NSSF Posta Dar
engo la gorofa tisa linalomilikiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa ya Jamii (NSSF), lililopo eneo la Posta jijini Dar es Salaam, limenusurika kuungua baada ya moto kuibuka na kusababisha hataruki kubwa. Taharuki hiyo imetokea leo Januari 16, 2026 majira…
Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siku za karibuni, sauti za vijana waliotaka kuandamana zilisikika kwa nguvu katika mitaa na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Sauti hizi, bila kujali mtu anazipokea kwa hisia zipi, zina ujumbe mmoja…





