JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TAKUKURU yanasa mali za wakulima za bil.1.4/-

Na Benny Kingson, JamhuriMedia, Tabora TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Tabora imekamata mali za wakulima wa zao la tumbaku zenye thamani ya sh bil 1.4 zilizokuwa zimeibiwa na wafanyabiashara katika vyama vya msingi vya wakulima. Hayo…

Lala salama mwanasiasa mkongwe, hakika nitakukumbuka, Mzee Mustafa Songambele

Na Mohamed Said, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita imekuwa ya ajabu sana kwangu. Ubongo wangu umekuwa ukishughulishwa na kumbukumbu za watu na mambo mengi ya nyuma nikiwa mtoto mdogo, sijafikia hata umri wa miaka 15 na sijui kwa nini?…

Upatikanaji pembejeo wawanyanyua wakulima Hanang

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Wakulima wa zao la mahindi wilayani Hanang mkoa wa Manyara, wameipongeza Serikali kwa kufanikisha upatikanaji wa pembejeo kwa wakati, hatua iliyochangia ongezeko kubwa la mavuno msimu huu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakulima hao walisema kuwa utoaji…

Kamati yatembelea mto Kagera ambao ni sehemu ya mpaka wa Tanzania na Rwanda

Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Pamoja ya Wataalamu ya Uimarishaji Mpaka wa Tanzania na Rwanda (JTC) imetembelea eneo la mto Kagera lililopo wilayani Ngara mkoa wa Kagera ikiwa ni sehemu ya mpaka wa kimataifa. Eneo hilo la mto Kagera lililotembelewa…

Oktoba tunatiki kwa Rais Dk Samia – Wasira

*Ataja sababu za ‘Oktoba Tunatiki’ kwa Dk. Samia, Dk. Nchimbi*Asema kaulimbiu ‘No Reform No Election’ inaelekea mwisho*Asema Watanzania hawana historia wala sababu Wakristo, Waislamu kugombana*Awahakikishia wananchi uchaguzi uko pale pale, amani nchini uhakika Na Mwandishi Wetu, Tunduru MAKAMU Mwenyekiti wa…

Gwajima ni sikio la kufa…

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nimesoma habari na kusikiliza matamko kwenye mitandoa ya kijamii. Nimemsikiliza askofu Josephat Gwajima. Kwanza niwape pole wakaazi wa Jimbo la Kawe. Nazifahamu ahadi alizozitoa kwao Askofu Gwajima. Mara Japan, Birmingham, magreda,…