Latest Posts
Wakulima mwa korosho watakiwa kutumia fedha wanazopata vizuri
Na Mwandishi Wetu Wakulima wa zao la korosho Wilayani Tunduru,wametakiwa kutumia fedha wanazopata kwenye mauzo ya korosho kufanya maandalizi ya msimu ujao,kuboresha makazi yao na kufanya maandalizi ya watoto wao wanaotakiwa kwenda shule katika muhula wa masomo 2026. Mkuu wa…
Ridhiwani Kikwete : Idara ya Kumbukumbu na nyaraka ni kiungo muhimu katika historia ya nchi yetu
Na Antonia Mbwambo-Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ametoa wito kwa Menejimenti na Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa kuendelea kukusanya taarifa, kumbukumbu, nyaraka na…
Watendaji Wizara ya Vijana Zanzibar watakiwa kuondoa urasimu
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Viongozi na Watendaji wa Wizara ya Vijana, Ajira na Uwekezaji Zanzibar wametakiwa kuwa wawazi ili kuondosha urasimu katika utendaji wa kazi zao. Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Shaaban Ali Othaman amewataka Viongozi na Watendaji wa Wizara…
Mashindano ya ‘Ladies First 2025’ kurindima Dar, viongozi watia neno kuimarika kwa wanawake
Mashindano ya Riadha ya Wanawake Ladies First 2025 yanatarajiwa kufanyika Novemba 29 na 30 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, yakihusisha wanariadha 155 kutoka mikoa 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yataongozwa na Baraza…
Waziri ataka CBE iwe kisima cha maarifa cha Wizara ya Viwanda
Waziri aipongeza CBE kwa kuwaandaa vijana kujitegemea Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kazi kubwa ya kuwaandaa vijana kujitegemea kwenye masuala ya biashara. Alitoa pongezi hizo alipotembelea chuo…
Ndejembi : Tanzania sasa ina umeme wa kutosha
📌 Akagua mradi wa JNHPP: Asema ujenzi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma unaendelea 📌 Atoa rai kwa watanzania kulinda vyanzo vya maji ili mradi wa JNHPP uendelee kupata mtiririko wa maji ya kutosha 📌 MD TANESCO asema Serikali…





