JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shirima : Jamii ichukue tahadhari kabla ya majanga

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani Kwa lengo la kuielimisha jamii juu ya tahadhari dhidi ya majanga na namna ya kuyapunguza, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Pwani limeungana na Shirika la Msalaba Mwekundu kuadhimisha Siku ya Kupunguza Majanga Duniani,…

DC Temeke Sixtus Mapunda afungua kongamano la miaka 25 ya Pass Trust

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri lMedia,Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ameipongeza Serikali kwa Miaka minne ameongeza bajeti ya kilimo kwa viwango kikubwa hadi kufikia Tsh 1.2 Trilion licha ya Kuwepo kwa Changamoto kubwaa ya uzalishaji pamoja na…

Othman Masoud aahidi kupitiwa upya fidia za wananchi ujenzi uwanja wa ndege Pemba

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuboresha na kuhakikisha haki za wananchi zinaheshimiwa katika utolewaji wa fidia kwa wale waliopoteza ardhi zao kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba. Alizungumza hayo…

Wizara ya Nishati kivutio maonesho wiki ya chakula Tanga

*📌Ni kwenye kutoa elimu ya masuala ya Nishati Safi ya Kupikia 📌Wananchi wamejitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya bei ya ruzuku ya shilingi 17,500/= Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ushiriki wa Wizara ya Nishati na taasisi zake (Wakala wa Nishati…

Wenje ajiunga CCM, atamba kujiunga na Ligi Kuu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje amejiondoa kwenye chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wenje ametangaza uamuzi huo mbele ya mkutano mkubwa wa mgombea urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan…

Samia amwaga neema mkoani Geita

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Geita MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemwaga neema ya mambo muhimu mkoani Geita ambayo ameahidi kuyatekeleza endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu. Neema hiyo…