JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

PIC yaipongeza PPPC kwa kusimamia dhana ya PPP

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo maalum kuhusu ubia wa sekta hizo mbili (PPP) kwa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC). Mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha…

NIRC yaendelea kutekeleza ahadi ya Rais Samia ya uchimbaji visima 67,000 vya umwagiliaji nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imeanza utekelezaji wa ahadi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya uchimbaji wa visima virefu 67,000 vya maji kwa ajili ya kiliko cha Umwagiliaji…

Wananchi Songea watakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kuyalinda mazingira

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Kapenjama Ndile amewataka Wmqafanyabiashara na wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi ili kutunza mazingira na kuokoa misitu inayoteketea kutokana na matumizi makubwa ya Kuni na mkaa….

TPA kinara wa gawio Serikalini, yatoa bilioni 181.5

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetwaa tuzo ya taasisi iliyochangia gawio kubwa zaidi serikalini ikilinganishwa na taaasisi nyingine za Umma ambapo wametoa Tsh bilioni 181 katika mwaka wa fedha wa 2025/2026….

MD Twange aendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupika kwa umeme

📌Atumia sehemu ya ziara yake kuelimisha na kugawa zawadi za majiko janja kwa viongozi wa Serikali za Mikoa na Wilaya Kanda ya ziwa 📌Asisitiza wananchi wasiogope kupika kwa umeme kwani ni gharama nafuu. Katika kuhakikisha elimu ya nishati safi ya…

Tabibu kituo cha Afya Magena kortini kwa rushwa ya 350,000/-

Juni 10, 2025 katika Mahakama ya Wilaya Tarime mbele ya Mheshimiwa Veronica Seleman (Hakimu Mfawidhi) wa mahakama hiyo, imefunguliwa kesi ya Rushwa Namba 13960/2025 – Jamhuri dhidi ya JACOB IBRAHIM WANKYO, Tabibu wa Kituo cha Afya Magena. Akisoma hati ya…