JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ujamaa… (13)

Ndiyo kusema kwamba elimu inayotolewa sasa ni kwa ajili ya wachache tu wenye uwezo wa mitihani kuwazidi wengine; inawafanya wale wanaofanikiwa wajione kuwa wakubwa, na kuwafanya wale walio wengi wakitamani kitu ambacho hawatakipata daima. Inawafanya walio wengi wajifikirie kuwa wanyonge,…

Waziri Kabudi

Wiki iliyopita Waziri wa Sheria na Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi, akiwa Marekani aliwapa darasa wana- diaspora kuhusu mambo mazito ya historia yetu na mambo yanayofanywa na serikali, cha kushangaza kilichotiliwa mkazo ni swali lililoulizwa kuhusu Tundu Lissu tu. Watanzania tubadilike….

Waziri Lugola fika Zanzibar majipu ni mengi hayana mtumbuaji

Mhariri, kwanza nakupongeza kwa uzalendo wa kuichapa barua hii. Sababu kubwa ya kuandika andiko hili ni kumuomba Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, afike huku kwetu Zanzibar kujionea makosa ya barabarani yanayofanywa kwa makusudi bila kuchukuliwa…

Mafanikio, changamoto Chuo Kikuu Huria

Mafanikio, changamoto Chuo Kikuu Huria Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Elifas Bisanda, amezungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu historia, mafanikio, changamoto na hatima ya chuo hicho. Mwandishi MANYERERE JACKTON, aliyezungumza naye, analeta maelezo ya Profesa…

Mafanikio yoyote yana sababu (39)

Na Pd. Dk. Faustin Kamugisha Kwenda maili moja zaidi ni sababu ya mafanikio. Kufanya jambo zaidi ni sababu ya mafanikio. “Hakuna msongamano wa magari kwenye maili moja zaidi,” alisema Zig Ziglar. Maili moja zaidi haina umati wa watu. Maana yake…

Shairi: Msiba wa Taifa

1: Sioni pa kuanzia, Kueleza taarifa, Nchi yetu Tanzania, Imekumbwa na maafa, Taifa zima twalia, Ni msiba wa taifa, Watu mia na zaidi, Leo tumewapoteza. 2: Raia kwa wanafunzi, Na wazazi kwa watoto, Wametujaza simanzi, Na mili kuwa mizito, Mili…