JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ujeruman Yaendeleza Record ya Bingwa Mtetezi Kutolewa Htaua ya Makundi

Imekuwa kawaida kwa bingwa wa Kombe la Dunia kutolewa hatua ya makundi, lakini hakuna aliyetegemea hilo lingetokea kwa Ujerumani. Ujerumani haikuwahi kutolewa katika hatua ya makundi katika miaka 80 iliyopita. Korea Kusini wameilaza kwa mabao 2-0 na kuitupa nje katika…

Baba Mzazi wa Michael Jackson Amefariki

Baba mzazi wa Micheal Jackson, Joe Jackson amefariki dunia jioni ya jana akiwa na umri wa miaka 89 alikuwa akisumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa saratani. Ikumbukwe June 25 ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka mitano ya kifo cha mtoto…

Fast Solutions For Myrussianbride ca – Some Thoughts

In the present world that is quick dating provides the opportunity to meet and socialize with a wide assortment of suitable individuals that are also attempting to find a partner. But a potential spouse meet. Hence choosing the most suitable…

Maskini Akwilina: Ndiyo basi? (2)

Sehemu ya kwanza ya makala hii ilitoka katika toleo na. 347. Tangu wakati huo hapakuwa na nafasi kwa makala hii na safu nyingine nyingi kutokana na nafasi zake kuwekwa hotuba za bajeti za wizara mbalimbali. Tunaomba radhi kwa usumbufu huo….

Uhusiano wa Kombe la Dunia na umeme

Kombe la soka la FIFA (Kombe la Dunia) limeanza kwa wiki zaidi ya moja sasa. Lilianza kwa kuwakutanisha wenyeji Russia dhidi ya Saudi Arabia kwenye uwanja wa Luzhniki jijini Moscow. Nimekumbuka jamaa yangu mmoja ambaye, tofauti na mimi, hana ushabiki…