Latest Posts
Marekani yashambulia vinu vya nyuklia Iran
Hatimaye, Marekani imeingia rasmi katika mgogoro wa kijeshi kati ya Israel na Iran kwa kuishambulia Iran moja kwa moja, katika kile kinachoelezwa kuwa ni hatua ya kuisaidia Israel katika vita vinavyoendelea kwa zaidi ya siku kumi. Kwa kutumia ndege za…
‘Siku damu ilipogeuka mto, mashujaa 800 wa Litembo waliposimama kwa mishale dhidi ya bunduki’
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Jua lilipozama Machi 4, 1902, milima ya Umatengo haikulisindikiza kwa machweo ya kawaida. Badala yake, anga lilitawaliwa na moshi mzito wa bunduki, vilio vya kina mama, na sauti za mwisho za mashujaa waliokataa kupigishwa magoti…
Watu 259 wapata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu 259 wamepata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo inayotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi ya Umma yanayofanyika kwenye Viwanja vya Chinangali Park jijini…
JKCI yaelezea teknolojia inazozitumia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo
Na Jeremiah Ombelo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeelezea inavyotumia teknolojia ya tiba mtandao (Telehealth) katika kuboresha huduma za afya inazozitoa kumsaidia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo. Hayo yameeleza na Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya…
Dk Jingu awataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi na kulinda amani ya nchi
Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amewataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali ili kujiajiri na kuajiri wengine na kudumisha umoja, utulivu na amani kwa…