JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bodi ya Ununuzi na Ugavi yawafunda viongozi

Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) kwa kushirikiana na wakufunzi kutoka taasisi ya Uongozi,  Mafunzo ya Uongozi, kwa viongozi wa vyama vya wanafunzi wa vyuo kadhaa hapa nchini wanaosomea fani ya ununuzi na ugavi. Mafunzo hayo ya siku…

Meneja MPRU awatisha wafanyakazi

Meneja wa Taasisi ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU), Dk. Milali Machumu, analalamikiwa kwa kuendeleza ubabe kwa wafanyakazi wa chini yake, huku akiendelea kuwahamisha vituo vya kazi kwa madai kwamba wanatumikia adhabu. Baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hiyo…

BoT yaleta ahueni kwa wakopaji

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeshusha riba ya mikopo ya fedha inayoyakopesha mabenki ya kibiashara nchini kutoka asilimia 16 ya awali hadi asilimia 12. Katika barua yake yenye kumb.GA.302/389/01 Vol VII ya Machi 3,2017,  Naibu Gavana wa Benki Kuu, Dk….

Madhara ya kuacha ujamaa Tanzania

“K una namna tatu za kuendeleza usawa (Ujamaa) zaidi nchini mwetu. Kwanza ni kupunguza tofauti ya kipato baina ya watu. Ya pili ni jinsi huduma (afya, elimu nk) za jumuiya zinavyomfikia kila mtu, na kiasi ambacho huduma hizo ambazo hugharamiwa…

Ni hatari kuua biashara

Leo nimeona niandike mada inayogusa maisha ya kila Mtanzania –  biashara. Naandika mada hii kutokana na mwenendo usioridhisha unaoonesha kuwa biashara nyingi hapa nchini zinakufa.  Kwa muda mrefu tumekuwa tukiambiwa kuwa Tanzania ni taifa la wakulima na wafanyakazi. Ni kwa…

Ni hatari kuua biashara

Leo nimeona niandike mada inayogusa maisha ya kila Mtanzania –  biashara. Naandika mada hii kutokana na mwenendo usioridhisha unaoonesha kuwa biashara nyingi hapa nchini zinakufa.  Kwa muda mrefu tumekuwa tukiambiwa kuwa Tanzania ni taifa la wakulima na wafanyakazi. Ni kwa…