JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baadhi ya vipimo muhimu ambavyo wengi huvisahau – 2

Vipimo ni muhimu sana kwa maendeleo ya afya zetu, kwa watu wa jinsia zote na rika zote. Kupitia vipimo tunaweza kutambua mustakabali wa afya zetu na hivyo kujiweka kwenye nafasi nzuri katika kupambana na maradhi mbalimbali. Hivi karibuni, takwimu kutoka…

Miundo ya Serikali

Tukumbuke serikali ni chombo muhimu sana katika maisha ya jamii. Na ni chombo cha hatari kwa watu wale wale inayowatumikia. Tunapozungumzia juu ya maisha na maendeleo ya watu katika jamii, ni dhahiri shahiri tutazungumzia siasa na muundo wa serikali inayotawala…

UDART wanahitaji mshindani

NA MICHAEL SARUNGI Katika siku za karibuni, pamekuwapo na usumbufu kwa abiria wanaotumia huduma inayotolewa na mabasi yaendayo haraka (UDART) kiasi cha kufikia hatua ya kutumia tiketi zinazotumiwa na wasafiri wa daladala. Ingawa wahusika wamejitahidi kutoa utetezi wao kwa kusema…

Donald Trump alijitungia barua kuhusu afya yake, daktari Harold Bornstein asema

Aliyekuwa daktari wa Donald Trump amesema kwamba si yeye aliyeiandika barua iliyomweleza mgombea huyo wa chama cha Republican wakati huo kuwa aliyekuwa na “afya nzuri ajabu”, vyombo vya habari Marekani vinasema. “[Trump] alitunga na kuamrisha kuandika kwa barua yote,” Harold…

RAIS MHE. DKT MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MEI MOSI ZILIZOFANYIKA KITAIFA MKOANI IRINGA

Matukio makubwa matano yaliyoathiri Haki za Binadamu mwaka 2017 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa ripoti ya hali ya Haki za Binadamu kwa mwka 2017 na kuipa jina la Watu Wasiojulikana ambapo imechambua kwa undani masuala mbalimbali…