Latest Posts
Serikali kupitia TANROADS yatekeleza ujenzi wa miradi 13 ya dharura Lindi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Kwa sasa Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na utekelezaji wa ujenzi wa miradi 13 ya dharura katika mkoa wa Lindi ambayo itatumia jumla ya shilingi Bilioni 119 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi…
Madini Chunya kupata nguvu mpya, DC aeleza mikakati kabambe
Kujengwa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Megawati 90, kuhudumia Chunya, Songwe Atoa Wito REA kuweka kipaumbele maeneo yenye shughuli za Madini Agusia ujio wa Kampuni ya Kuchimba Madini Chunya ya Anglo De Beers Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Chunya Mkuu wa…
Samia kujenga kiwanda cha kuchakata maziwa Bukombe
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Bukombe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amejipanga kuanzisha kiwanda cha kuchakata maziwa.Ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita wakati wa mikutano wa kampeni za…
Samia tumeanzisha mkoa wa kimadini kusogeza huduma
Na Mwandishi Wetu Jamhuri Media,Mbogwe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeanzisha Mkoa wa Kimadini wilayani Mbogwe ili kufikisha huduma kwa wachimbaji haraka. Akizungumza na wananchi wa Jimbo la Mbogwe mkoani Geita wakati…
Jenista Mhagama atoa sifa lukuki kwa rais Dk Samia katika kampeni
Na Cresensia Kapinga, JamuhuriMedia, Songea Mgombea Ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Jimbo la Peramiho halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, Jenista Mhagama ameendelea na mikutano ya Kampeni kukiombea kura za kishindo CCM ifikapo Oktoba 29 mwaka huu,huku…





