Latest Posts
Mchechu : Kwanini kila taasisi inapaswa kuchangia mapato yasiyo na kodi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika safari ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, mchango wa taasisi za umma kupitia gawio na mapato mengine yasiyo ya kodi, ni chachu ya ustawi wa taifa. Serikali imewekeza jumla ya Sh86.3 trilioni…
Serikali imeendelea kuchukua hatua kukabiliana na athari za mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kukabiliana na changamoto za athari za mabadiliko ya tabianchi zinazochangia kuongezeka kwa kina cha bahari na kuathiri fukwe mbalimbali. Hayo yamesemwa na Naibu wa Waziri Ofisi ya Makamu wa…
Marufuku ya kusafiri ya Trump ya nchi 12 kuanza kutekelezwa
Marufuku mpya ya kusafiri ya Rais Donald Trump ambayo inazuia raia wa nchi 12 kuingia Marekani ilianza kutekelezwa saa 00:00 ET (05:00 BST) Jumatatu. Agizo hilo ambalo Trump alitia saini wiki iliyopita, linawazuia raia wa Afghanistan, Myanmar, Chad, Congo-Brazzaville, Equatorial…
Iran: Tutatoa pendekezo jipya la nyuklia kwa Marekani
Iran kupitia msemaji wa wizara ya mambo ya nje Esmaeil Baqaei, imesema hivi karibuni itawasilisha pendekezo la kupinga makubaliano ya nyuklia na Marekani, baada ya kusema kuwa pendekezo hilo lina utata. “Hivi karibuni tutawasilisha pendekezo letu kwa upande mwingine ambao…