Latest Posts
Aliyekuwa mlinzi wa Tundu Lisu na Diwani wa CHADEMA arudi CCM
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Moshi Aliyekuwa mlinzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na Diwani wa Kata ya Kiboriloni, Frank Kagoma, ametangaza rasmi kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM), akisema amechukua uamuzi huo ili kushirikiana na…
Dk Chang’a afanya mazungumzo ya kitalamu na katibu Mkuu WMO
Na Mwandishi Wetu, Geneva Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (World Meteorological Organization – WMO) Prof. Celeste Saulo ameahidi kushirikiana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika kuboresha huduma za hali ya hewa kwa matumizi…
Mfanyabiashara wa madini Comred Hussein Gonga arudisha fomu ya kuwania ubunge Arusha Mjini
Happy Lazaro, Arusha . Comred Hussein Gonga leo amerudisha rasmi fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akitafuta ridhaa ya wajumbe wa chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Mtia nia wa ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi Elius Lukumay arejesha fomu
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MTIA nia wa ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi Elius Lukumay hatimaye amerejesha fomu ya ubunge katika ofisi za chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Arumeru baada ya kukamilisha kujaza . Lukumay pia ni Mwenyekiti wa…
MCT yatoa mwongozo mpya kwa vyombo vya habari kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Zulfa Mfinanga JamhuriMedia, Arusha Katika kuelekea kipindi nyeti cha uchaguzi Mkuu nchini, Baraza la Habari Tanzania (MCT) limetoa mwongozo muhimu kwa wanahabari, vyombo vya habari, taasisi za kiraia, vyuo vya uandishi wa habari, na makundi mengine likisisitiza utii wa…