Latest Posts
Serikali yataka Mashirika ya Umma kuiga sekta binafsi kuongeza ufanisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeyataka Mashirika ya Umma kujifunza kutoka kwa sekta binafsi kuhusu namna bora ya kuendesha taasisi na hivyo kuongeza ufanisi wao. Wito huo ulitolewa Agosti 26, 2025, na Naibu Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko wakati…
Nyasa yazizima,John Nchimbi achukua fomu kugombea ubunge
-Mamia wamsindikiza kwa ngoma, vifijo na nderemo -Aaahidi kushirikiana na watia nia wote kuijenga Nyasa -Awataka Wananchi kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo Na Byarugaba Innocent, Nyasa DC Mapema leo Agosti 26, 2025 mgombea Ubunge Jimbo la Nyasa kupitia Chama…
Dkt. Asha-Rose Migiro akabidhiwa Ofisi kama Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Dkt. Asha-Rose Migiro amepokelewa rasmi katika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)akiwa Katibu Mkuu huku akimefungua ukurasa mpya katika historia yake ya uongozi kwa kuwa Katibu Mkuu mpya Mwanamke. Ikumbukwe kuwa tangu kuanzishwa kwa CCM mwaka…