Latest Posts
IPTL ‘bye bye’
Kuna kila dalili kampuni ya kufua umeme ya IPTL kutopata leseni ya miezi 55, kama ilivyoomba, kutokana na maombi hayo kuja wakati wananchi wakiwa bado na hasira na kampuni ambayo ilihusika na uchotwaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti maarufu…
Ni wakati sahihi kuachana na wanyonyaji
Katika mambo ambayo yamekuwa kero kwa Watanzania kwa kipindi kirefu, ni pamoja na suala la mikataba ya siri ya uchimbaji madini, mikataba ya ufuaji umeme baina ya mashirika na Shirika la Umeme nchini (TANESCO). Suala la usiri katika mikataba ya…
Wananchi Kigamboni wasotea umeme
Wakazi wa Manispaa ya Kigamboni, Dar es Salaam, wameulalamikia uongozi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kwa kushindwa kusambaza umeme kwa wateja wapya, licha ya kulipia huduma hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati…
Ndugu Rais mwenda mwenye busara huongozwa na alikotoka
Ndugu Rais, tangu tulipojipatia Uhuru kutoka kwa wakoloni, zimepita awamu nne. Hii tuliyomo ni awamu ya tano. Kama nchi tumo katika mwendo. Hivyo ni busara kwetu kugeuka na kutazama nyuma kuzichambua zile awamu nne ambazo tumepitia ili tupate kuihukumu awamu…
Maendeleo hayaji kwa kuchekeana
Bajeti Kuu ya Serikali tayari imesomwa bungeni Dodoma. Imesheheni mambo mengi. Wataalamu wa uchumi wamejitokeza kusema waliyoyaona. Wapo wanaopongeza, kadhalika wapo wanaoikosoa. Wakosoaji wanahoji ukubwa wa tarakimu za bajeti hiyo. Wanasema kama iliyopita imeyekelezwa kwa kiwango kisichozidi asilimia 50; kwanini…
Paulo Sozigwa hakustahili kutendewa namna ile (2)
Mzee Sozigwa alikwisha-tekeleza alichoambiwa. Ilikuwa wajibu wa ofisa wa Ikulu kumshughulikia ipasavyo. Kama kweli wahusika wamezi-misplace zile nyaraka humo humo ofisini mwao, basi wao wawajibishwe lakini siyo mzee wa watu alaumiwe na kudaiwa apelike nyaraka hizo. Waingereza wanaita hali hiyo…