JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uhuru ulio wa kweli ni uhuru wa kiuchumi

Watanzania jana waliadhimisha miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Maadhimisho haya yamekuja huku Afrika na dunia ikiwa katika simanzi kubwa kutokana na kifo cha Mzee Nelson Mandela (95), Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini.

KAULI ZA WASOMAJI

JAMHURI linatufaa kuhusu JWTZ   Hakika ni ukweli usiopingika kuwa habari zinazochapishwa kwenye Gazeti Jamhuri kuhusu vikosi vya askari wetu wa JWTZ wanaolinda amani nchini Congo zimekonga mioyo yetu na zimetuongezea shauku ya kulipenda jeshi letu, hasa sisi tuliopo mpakani…

Nazuiwa kumwona Jaji Mkuu Tanzania

Mhariri,

Nimekuwa nikifuatilia haki yangu katika mahakama kwa miaka 14 sasa bila mafanikio. Kwamba nimekuwa nikifanya jitihada za kuomba kukutana na Mheshimiwa Jaji Mkuu, lakini hadi sasa sijafanikiwa kutokana na kunyimwa nafasi hiyo na watumishi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.

Serikali itutatulie uhaba wa maji Komuge, Rorya

Mhariri,

Ninaona fahari kutumia nafasi hii katika Gazeti Jamhuri kuifikishia Serikali kilio cha wananchi katika kata ya Komuge, Wilaya ya Rorya mkoani Mara, ambao kwa muda mrefu sasa wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji.

FASIHI FASAHA

Lissu ni malaika, waziri au mwanasiasa?


Ni takriban wiki tatu sasa tangu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipate mtikisiko mkubwa, mithili ya pata shika na nguo kuchanika, baada ya Kamati Kuu (CC) ya chama hicho kuwavua nyadhifa zote viongozi wake watatu.

KONA YA AFYA

Sababu za kupungua nguvu za kiume -5


Wiki iliyopita, Dk. Khamisi Ibrahim Zephania alizungumzia kwa kina homoni ya kiume na umuhimu wake katika tendo la ndoa. Sasa endelea kumfuatilia zaidi…

Panahitajika ubongo, neva, homoni, mishipa ya damu, tezi [glands], utendaji mzuri wa figo, ini, baadhi ya misuli na viungo chungu nzima ndani ya mwili kama tutakavyoona katika makala zetu za mbele.