Latest Posts
Kiwanda cha Polyester chawaliza wafanyakazi
Waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha Morogoro Polyester Textile cha mjini Morogoro, wameiomba Serikali kuingilia kati ili waweze kulipwa madai yao baada ya kuachishwa kazi miaka 18 iliyopita. Akizungumza na JAMHURI, Laurian Kazimilli, Mwenyekiti wa wastaafu hao, anasema miaka 18…
Tunausubiri uchunguzi malipo hewa Jeshi la Polisi
Kwa zaidi ya miezi miwili sasa kumekuwa na sintofahamu kwa wahasibu raia, wanaohudumu katika vyombo vya ulinzi na usalama. Rais John Magufuli aliagiza waondolewe, ili kuleta maboresho katika utendaji kazi. Tunaamini Rais Magufuli alifikia maamuzi hayo baada ya kuambiwa kwamba…
Yatakayomkwamisha Rais Magufuli – 5
‘Serikali ikiendeshwa kisiasa, CCM ikiongozwa kiserikali Tanzania itadidimia’ Hii ni sehemu ya mwisho ya mada ihusuyo mambo yanayoweza kumkwamisha Rais Magufuli. Namshauri Rais na washauri wake wa kisiasa na kiserikali wajipatie vitabu viwili – cha ‘Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka’…
Kampuni za mafuta kudhibitiwa (2)
Tutakapokuwa tumewapata, katikati ya mwezi huu wa kumi tutawakutanisha tena na mabenki kwamba hizi ndizo kampuni zitakazokuwa zinashindana kuleta mafuta nchini. Hivyo watakaa na kujadili na kuelewana biashara itakwendaje kwa pamoja. Tunajua inawezekana na biashara itafanyika vizuri. JAMHURI: Mmejipangaje kukabiliana…
Maswali ni mengi Bukoba
Nakaribia wiki mbili sasa nikiwa hapa Bukoba. Naendelea na ukarabati wa nyumba ya mama yangu iliyosambaratishwa na tetemeko. Hata hivyo, pamoja na kuwa katika ujenzi huu, haimaanishi kuwa kazi yangu nimeiweka kando. Naendelea kuzungumza na wananchi, nafuatilia kinachoendelea na jinsi…
Majibu: Serikali za Mitaa ndio Injini ya Maendeleo (2)
Mojawapo ya makubaliano ya mwafaka yaliyoafikiwa baina ya wakulima na wafugaji iliweka utaratibu wa kuzuia migogoro na migongano baina yao kwa wao. Makubaliano hayo yalitekelezwa kwa wahusika kutenga mipaka ya maeneo ya kuendesha shughuli za wakulima na wafugaji. Mwafaka wa…