Latest Posts
Upangaji kabla ujenzi wa jengo kukamilika
NA BASHIR YAKUB Sehemu nyingi za mijini utaona majengo marefu na makubwa ambayo yamekuwa yakijengwa, mengi ya majengo hayo huwa yanapangishwa hata kabla ya ujenzi wake kukamilika. Mengine hupangwa hata kabla ya ujenzi kuanza, watu hutizama tu ramani ya jengo…
Sekta binafsi isionekane kuwa ni maadui wa taifa
Wadau wameisikia bajeti kuu ya Serikali. Imepokewa kwa mitazamo tofauti. Wapo waliopongeza, na wapo waliokosoa. Huo ni utaratibu wa kawaida kwani hakuna jambo linaloweza kupendwa au kuchukiwa na wote. Pamoja na kutoa unafuu kwa maeneo mbalimbali, bado tunaamini Serikali inapaswa…
Polisi futeni aibu hii
Na Alex Kazenga Kwa kipindi kirefu yamekuwepo malalamiko kutoka sehemu mbali mbali nchini watu wakilituhumu Jeshi la Polisi kutumia nguvu zilizopitiliza kwa raia wanapotuhumiwa kuwa na makosa. Hali hiyo kwa mara nyingi imeacha taharuki kwenye jamii huku baadhi ya…
Serikali yabisha hodi Epanko
Serikali yabisha hodi Epanko *Wachimbaji wa sasa, wa zamani kikaangoni *Tume yapelekwa kuchunguza ukwepaji kodi *Mwekezaji avuna, wananchi waambulia soksi MAHENGE NA ANGELA KIWIA Serikali inakusudia kuunda tume ya uchunguzi baada ya kuwapo taarifa za utoroshwaji madini ya spino…
Timu za Afrika sikio la kufa
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM Wakati michezo kadhaa ya Kombe la Dunia ikiwa imepigwa katika viwanja mbalimbali nchini Urusi, timu kutoka barani Afrika hazioneshi kulitetea vema bara hili kama baadhi yake zilivyotamba wakati zikielekea Urusi. Hadi Jumapili…





