Latest Posts
DAWA BANDIA TISHIO AFRIKA
NA MTANDAO Ongezeko la biashara ya dawa bandia limekuwa janga kubwa barani Afrika linalokua kwa kasi, huku ikiripotiwa kusababisha vifo vya watu wapatao 100,000 kwa mwaka. Utafiti uliofanywa na Shirika la Kimarekani linalojihusisha na dawa za magonjwa ya tropiki, limesema…
MATATIZO YANAPOZIDI UKOMBOZI UNAKARIBIA
Na William BHOKE Aliyewahi kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Yohane Paul I, amewahi kusema, “Eee Bwana nichukue nilivyo, lakini unifanye niwe kama unavyotaka wewe.” Kama wewe unapumua, kuwa na matatizo ni kanuni ya maisha. Matatizo katika maisha ni…
MAGUFULI AWAFUTA MACHOZI BUTIAMA, WANYONGE
Na Mwandishi Wetu Siku moja baada ya Gazeti la Jamhuri, kuandika kuhusu wazazi kuombwa michango wanapowapelek watoto wao shuleni huko wilayani Butiama, Mara. Rais John Magufuli amepiga marufuku shule za msingi na sekondari nchini kuwafukuza wanafunzi kwa sababu ya kutochanga…
Juma Nyosso Akamatwa na Polisi
Jeshi la Polisi Mkoani Kagera limethibitisha kumshikilia mlinzi wa Kagera Sugar Juma Said Nyosso kwa kosa la kumpiga shabiki anayeaminika kuwa ni wa Simba baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba uliopigwa mjini Bukoba. Tukio hilo limetokea baada…
Habari Mpya Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 23, 2018
Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumanne Januari,23, 2018 nimekuekea hapa.
Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 22, 2018
Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo JumatatuJanuari,22, 2018 nimekuekea hapa




