Latest Posts
fikRA YA HEKIMA
Watanzania na imani potofu ziara ya Obama
Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imenilazimu kuleta mada hii mapema tofauti na nilivyokusudia awali. Watanzania wengi wamezungumza ya moyoni mwao kuhusu ugeni huu.
Familia ya Barack Obama ni wanamichezo mahiri
Rais wa Marekani, Barack Obama, mke wake, Michelle, watoto wao, Malia na Natasha (Sasha) ni familia ya wanamichezo mahiri.
Barack Hussein Obama ni nani?
Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4
Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.
Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa
*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ
*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani
*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda
*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana
Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.
Yah: Bajeti ikusanyiwe maoni kama katiba
Nilikuwa nasikia kutoka kwa watu kwamba bajeti ni vilio kila kona, sikuelewa, kwa sababu bajeti si msiba ama majanga lakini nilipoipata baada ya hiyo digitali kunifikia, nimeona huo msiba ni wa aina gani.
- Zaidi ya bilioni 17/- kusambaza umeme vitongojini Singida
- Waziri Chana atoa wito kwa nchi wanachama kushirikiana katika uwekezaji wa teknolojia
- Majaliwa ateta na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire
- Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar
- Trump atangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria
Habari mpya
- Zaidi ya bilioni 17/- kusambaza umeme vitongojini Singida
- Waziri Chana atoa wito kwa nchi wanachama kushirikiana katika uwekezaji wa teknolojia
- Majaliwa ateta na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire
- Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar
- Trump atangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria
- Wanafunzi wa kidato cha sita 130 Milambo sekondari watimuliwa
- Rais Samia, hili la msamaha wa faini za ankara za maji, umekonga nyoyo za wananchi
- MOI kutoa matibabu bure siku saba Mbagala
- Jafo aonya vijana kunywa pombe kupita kiasi
- Runali chagawa pembejeo 3000 kwa wakulima zao korosho Nachingwea
- Uboreshaji bandari ya Karema unaofanywa na Serikali kupitia TPA wavutia wawekezaji
- Abiria 1,200 wanusurika ajali ya treni mjini kwenda Pugu, 10 wakimbizwa hospitali
- Ubovu wa barabara Arusha, kikwazo cha maendeleo, usalama na hadhi ya Jiji la Kitalii
- Rais wa Finland kuanza ziara kesho nchini kwa mwaliko wa Rais Samia
- Rais Samia aongoza Watanzania mazishi ya hayati Cleopa Davis Msuya wilayani Mwanga