Latest Posts
Rage azitabiria mabaya Simba, Yanga
Mwenyekiti mstaafu wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Ismail Aden Rage, amesema kwamba michuano ya Ligi Kuu Bara msimu huu itakuwa ngumu kwa timu za Simba na Yanga.
Ole kwa mabenki!
Miezi kadhaa nyuma nilikuwa safarini katika moja ya miji iliyopo Nyanda za Juu Kusini. Nilipofika stendi kuna kitu kimoja kilinivutia na nikaamua kukitafakari kwa umakini zaidi.
Jifunze namna ya kuunda kampuni
Yah: Kipi kiwe kigezo cha urais kwa sasa Tanzania?
Mwaka 1995, Mwalimu Nyerere alisimama katika majukwaa ya kuongea na wananchi juu ya kiongozi safi na anayefaa kuiongoza nchi yetu katika awamu ya tatu, alisimama akaongea mengi sana ambayo mengine hadi leo hayajafanyiwa kazi na awamu zote zilizokuwapo na kupita.
Miaka 69 ya Umoja wa Mataifa, dunia iko salama?
Ijumaa iliyopita Oktoba 24, mwaka huu ulimwengu uliadhimisha miaka 69 tangu kuanzishwa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York nchini Marekani. Ilikuwa ni baada ya Vita Kuu vya Pili ya Dunia kumalizika (1939-1945).
Tatizo la Tanzania si Katiba
Ujio wa Katiba mpya unasubiriwa kwa shauku kubwa na wananchi ambao naweza kusema wanapenda kumaliza matatizo kwa njia za kujipa matumaini.
Habari mpya
- NEMC yavunja rekodi utoaji wa elimu sabasaba
- TSB yatangaza fursa mpya za uwekezaji katika kilimo na biashara ya mkonge
- Historia ya maandamano ya Saba Saba Kenya
- Israel yaanzisha mashambulizi maeneo ya Wahouthi huko Yemen
- Israel yafanya mashambulizi ya anga katika bandari Yemen
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
- DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona