JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dodoma ipo tayari, Jumuiya ya wanadiplomasia inakaribishwa

Jumuiya ya wanadiplomasia nchini imetakiwa kufikisha taarifa katika Serikali za nchi zao kuwa Dodoma ipo tayari na kwamba Serikali hizo zinatakiwa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya ofisi na makazi ya balozi kwenye viwanja vilivyotolewa bure kwenye…

Rais Samia aongeza mikopo elimu ya juu kutoka bil. 464 hadi bil.787/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imeongeza mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya juu kutoka kiasi cha shilingi bilioni 464 katika bajeti…

Wizara ya Mambo ya ndani yaomba Bunge bilioni 340 kwa uwekezaji na maendeleo ya kidiplomasia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imewasilisha ombi la bajeti ya shilingi bilioni 340.53 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele vitano vinavyolenga kuimarisha nafasi ya Tanzania katika anga za…

Waziri Jafo kufungua maonesho ya ‘Tanzania Dental Expo’ Dar ijumaa

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam, Waziri wa Viwanda na Biashara,Dkt.Selemani Jafo kesho anarajiwa kufungua maonesho ya huduma ya kinywa na meno ‘Tanzania Dental Expo’ yatakayofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa siku mbili kuanzia kesho kutwa (Ijumaa). Maonesho…

Rais Samia aongoza mwanzo mpya, CCM kujenga jengo la ghorofa tano kuashiria ukomavu wa chama

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijiandaa kufanya Mkutano wake Mkuu wa Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 28, 2025, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la…

Waziri Mkenda avalia njuga sakata la madereva kwenda Qatar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu wanaowapeleka madereva kufanya kazi nje ya nchi wanawajibu wa kufanya utafiti kujua mahitaji ya eneo wanaloenda ni yapi tofauti na mahitaji ya magari ya Tanzania. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adolf…