JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025; NMB yaahidi kuongeza ubunifu na masuluhisho shirikishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Salaam Benki ya NMB ilizindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, huku ikiahidi kuboresha zaidi huduma zake na kusisitiza dhamira yake ya kuendelea kuwa kinara wa huduma bunifu, jumuishi, na zinazokidhi mahitaji halisi ya…

Balozi Asha Rose Migiro awasili Mwanza

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Asha Rose Migiro awasili leo Oktoba 6/2025 mkoani Mwanza kwa ajili ya mapokezi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu…

Polisi yaanza uchuguzi kutekwa kwa Polepole

Jeshi la Polisi nchini Tanzania kupitia kwa Msemaji wake DCP David Misime limesisitiza kuwa bado linaendelea kumsubiri Humphrey Polepole ili aripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai ili atoe maelezo kuhusu tuhuma mbalimbali alizozitoa kupitia Mitandao…

Wapongeza mageuzi ya mfumo CRDB ikisherehekea Wiki ya Huduma kwa wateja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imezindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa mwaka 2025 katika hafla iliyofanyika katika tawi la Dar Village jijini Dar es Salaam, ikiambatana na kaulimbiu ya kimataifa ya…

Sikoseli si mwisho wa ndoto ya ujauzito, unaweza kujifungua salama

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Ujauzito kwa mwanamke mwenye ugonjwa wa seli mundu (sikoseli) ni safari ya kipekee yenye changamoto kwa mama na mtoto, lakini si jambo lisilowezekana. Dkt. Jamila Makame, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Damu kutoka Hospitali ya…

Mgeja achanja mbuga kumuombea Dk Samia kura za ushindi wa kishindo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga na Mwanasiasa Mkongwe, Khamis Mgeja amejitosa kumpigia kampeni mgombea urais wa chama hicho, Dk. Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha anapata kura za ushindi wa…