Latest Posts
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -2
sehemu ya kwanza ya makala haya, wiki iliyopita nilizungumzia chimbuko la vyama vingi vya siasa kabla na baada ya Tanzania kuwa huru. Leo tunaendelea na sehemu ya pili.
Baada ya vyama vya TANU na ASP kuwa imara katika harakati za kudai uhuru, vyama vingine vingi vilianzishwa vikiwa na malengo ama vya kudai uhuru au kupinga harakati za kupigania uhuru na kuendeleza maslahi ya wakoloni kwa mfano, Kule Zanzibar vyama kama Zanzibar and Pemba People Party ZPPP, Umma Party vilianzishwa.
Mambo muhimu kuanzisha biashara
Biashara ni pamoja na hali ya kununua na kuuza kuzalisha mali na kuuza utaalamu wito na makubaliano ya kipekee yenye lengo la kibiashara kwa nia ya kupata faida.
Toure atajwa tuzo za FIFA
Mchezaji wa kiungo wa kati wa Manchester City, Yaya Toure, ni kati ya wachezaji 23 waliotajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora zaidi kwa mwaka huu wa tuzo za Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Wanariadha Kenya kuchunguzwa
Kenya imekosolewa na Shirika la Kudhibiti matumizi ya Dawa za Kusisimua Misuli kwa kukosa kufanya uchunguzi katika ongezeko la visa vya wakimbiaji wa Kenya wanaoshukiwa kutumia dawa hizo.
Malinzi: Simba kuweni na amani
Wiki iliyopita Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilimpata rais mpya, Jamal Malinzi, anayechukua mikoba ya aliyekuwa Rais wa Shirikisho hilo, Leodegar Tenga, aliyeongoza kwa kipindi cha miaka ninane mfululizo.
Chadema ‘Kimewaka’
Chimbuko migogoro ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) unasababishwa migongano wa kupata madaraka ndani ya chama hicho, JAMHURI limebaini
Imelezwa kuwa mtafaruku uliotokea mwishoni mwa wiki na kusababisha kusimamishwa kwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha wa Chadema kwa muda usiojulikana ni mgongano wa kutafuta madaraka ndani ya chama hicho.