JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wabunge wawe watumishi kwanza

Katika miaka ya karibuni imezoeleka katika masikio ya Watanzania kuwa majukumu ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni uongozi, kutunga sera na sheria, na kusimamia na kuiwajibisha Serikali. Mara nyingi jukumu la kuwakilisha jimbo au kundi la watu…

Dk. Magufuli, hili lazima nikupashe

Kwanza kabisa nitoe pongezi kwako Dk. John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa  kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na pia Makamu wako, Samia Suluhu Hassan. Pongezi zangu hizi kwa viongozi hawa wakuu nchi ni nzito kutokana na changamoto katika…

Rais Magufuli umeanza vizuri, una kazi kutowaangusha Watanzania

Salaamu kwako Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli. Baada ya salamu, mimi ni mzima na ninaendelea kutega masikio na macho yangu kuhusu kasi uliyoingia nayo madarakani. Rais Magufuli, nakuandikia barua hii kukupongeza, lakini pia kukueleza kwamba pamoja na…

Siku zote ubabe unagharimu (3)

Siku ya kupiga kura Novemba 2, mwaka huu, Dar es Salaam kulikuwa na utulivu na amani kweli. Ni matokeo ya kuitika mwito wa Rais na utiifu wa uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Watu tulipiga kura tukarudi…

Hotuba iliyokosekana kwa miaka 10!

Kwa miaka mingi tulikosa kuisikia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyojaa matumaini. Wiki iliyopita tuliisikia hotuba ya Rais akilihutubia Taifa kupitia Bunge. Wananchi waliosikiliza, waliburudika, lakini wapo wanaotia shaka. Hilo ni jambo la kawaida. Wanatia shaka…

Yah: Mabadiliko yaliyonadiwa kwenye kampeni ndiyo haya?

Nianze kuwapongeza Watanzania wote kuingia katika awamu nyingine ya tano ya uongozi wa nchi hii, tukiwa salama salimini na amani yetu ikiwa ipo pasi na maombi mabaya ya watu wa nje na ndani ya nchi yetu, katika kutuombea tupatwe na…