Latest Posts
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
Nashukuru, utabiri kwa Nyalandu unatimia
Tangu mapema kabisa nilishasema kwamba Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ni tatizo. Niliyasema haya wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.Nyalandu alianza matatizo tangu akiwa Wizara ya Viwanda na Biashara. Nadhani Dk. Cyril Chami, anaweza kuwa msaada mzuri katika hili ninalolisema.
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Uhuru umeyeyusha matarajio yetu
Desemba 9, mwaka huu, Watanzania tumeadhimisha miaka 51 ya Uhuru wa nchi yetu, huku wengi wetu wakikabiliwa na maisha magumu kupindukia. Binafsi ninaamini kuwa ni unafiki kusema Tanzania haina cha kujivunia, lakini pia ni unafiki kusema Serikali kupitia Uhuru huu, imeboresha maisha ya wananchi.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
- Serikali itaendelea kuiamini na kuiunga mkono Red Cross – Dk Biteko
- Dk Biteko ashiriki Tulia Marathon Mbeya
- Makala : Changamoto za barabara Ulanga na Malinyi zitafanyiwa kazi
- Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
- Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
Habari mpya
- Serikali itaendelea kuiamini na kuiunga mkono Red Cross – Dk Biteko
- Dk Biteko ashiriki Tulia Marathon Mbeya
- Makala : Changamoto za barabara Ulanga na Malinyi zitafanyiwa kazi
- Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
- Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
- TMA yatoa tahadhari ya matarajio ya hali ya hewa mbaya kwa siku tano
- Weather forecast for the next 24 hours
- Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
- Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza
- Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo