JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tibaijuka anguruma

[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16

HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.

Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake

 

Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .

 

Bunge lawakomalia wapangaji NHC

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imepinga maombi ya wapangaji wa Shirika la Nyumba Taifa (NHC) ya kuuziwa nyumba wanamoishi.

 

Askari ardhi waanza kuleta mafanikio Dar

Serikali imeajiri askari ardhi 15 na kuwapangia kazi katika manispaa tatu za Jiji la Dar es Salaam. Manispaa zinazounda jiji hilo ni Temeke, Kinondoni na Ilala.

 

‘Uhai wa raia unaangamia kwa kukosa ulinzi wa tiba’

UJUMBE WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA KWA WAUMINI WAKATOLIKI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA

 

Sisi Maaskofu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania tumekutana katika Mkutano wetu Mkuu wa 65 wa kawaida tangu tarehe 23-30 Juni 2012 uliowajumuisha Wakuu wa Mashirika ya Kitawa, wakuu wa Idara, Tume na Taasisi za Baraza pamoja na wawakilishi Walei.

 

La Dk. Ulimboka linahitaji uchunguzi huru

Tumemaliza wiki mbili sasa tangu litokee tukio la kinyama la kumteka, kumpiga na kumuumiza vibaya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Stephen Ulimboka. Tangu litokee tukio hili baya na la kinyama, mjadala umekuwa mkali na yameibuka maneno ninayoamini yanapaswa kupatiwa majibu na uchunguzi huru.