JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Mwinyi ashiriki kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM Taifa kilichoketi Jijini Dodoma na kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri…

TLP yamchagua Wangira kugombea Urais

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimemchagua Yusuph Wangira, kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu wa chama hicho uliofanyika  Wilaya ya Ubungo mkoa Dar…

Kituo cha Ubia PPPC, REDET kujadili nafasi ya ubia kwenye dira ya 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KITUO cha Ubia kati Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (PPPC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Masuala Demokrasia (REDET) chini ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wameandaa kongamano kwa ajili…

TMA, CRDB yawajengea uwezo maafisa ugani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wataalamu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB kupitia mradi wa Tanzania Agriculture Climate Adaptation Technology Deployment Project (TACATDP) wamewajengea uwezo Maafisa Ugani wa namna bora ya kutafsiri na…

Mitaa 58 Halmashauri Mji wa Tarime imefikiwa na umeme – Kapinga

📌 Ni kati ya mitaa 81 ya Halmashauri ya Mji wa Tarime 📌 Asema kazi ya kupeleka umeme vitongojini ni endelevu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali imefikisha umeme kwenye mitaa 58 ya…