Latest Posts
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania. Hebu…
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Agizo alilotoa RC Tabora kwa ‘mchwa’ hawa watalitekeleza?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa, amezitaka Halmashauri za Wilaya mkoani humo kuhakikisha hazipati hati chafu za ukaguzi wa fedha za serikali, vinginevyo wakurugenzi watendaji na watumishi katika ngazi hizo wasioweza kutekeleza agizo hilo waache kazi.
- Dk Biteko aipongeza ETDCO kwa kutekeleza mradi wa kusafirisha umeme Tabora Urambo
- BoT yatoa katazo la matumizi ya fedha za kigeni kufanya malipo
- Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya madini bilioni 224.98 kwa mwaka 2025/2026
- Serikali yavuna bilioni 726, 219 sekta ya madini
- NIDA yamnasa mtengeneza vitambulisho feki
Habari mpya
- Dk Biteko aipongeza ETDCO kwa kutekeleza mradi wa kusafirisha umeme Tabora Urambo
- BoT yatoa katazo la matumizi ya fedha za kigeni kufanya malipo
- Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya madini bilioni 224.98 kwa mwaka 2025/2026
- Serikali yavuna bilioni 726, 219 sekta ya madini
- NIDA yamnasa mtengeneza vitambulisho feki
- TLS yalaani vitendo vya ukiukwaji wa haki
- Mwenge wapita Mufindi, mradi wa REA wa bilioni 17 wazinduliwa
- Sekta ya nishati ipo salama chini ya Rais Samia – Dk Biteko
- TARURA kuanza kutangaza zabuni za mwaka 2025/2026
- Tanzania yanadi fursa za biashara na wawekezaji Vietnam
- Tume ya TEHAMA ilivyoshiriki kwa mafanikio sherehe za Mei Mosi
- Halmashauri zatakiwa kusimamia sheria ya mazingira
- Man United na Tottenham zaona ‘mwezi’ michuano ya Europa
- Kujiondoa kwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya – WHO
- Wizara ya Fedha yapokea tuzo mbili za ushindi sherehe za Mei Mosi