JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Programu ya MBT kutatua changamoto na kuboresha fursa kwa wanawake – Mavunde

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Madini imekamilisha maandalizi ya program ya MBT ambayo itatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2025 hadi 2030. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema kuwa Programu hii ni ya kimageuzi…

Miaka minne ya Serikali Awamu ya Sita, pato la taifa sekta ya madini lakua

Na Mwandisi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita, mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa umeendelea kuimarika na kukua kutoka asilimia 7.3 mwaka 2021, asilimia 9.1 mwaka 2023…

Wizara ya Madini yafanikiwa kuzima jaribio la usafirishaji haramu almasi

 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imefanikiwa kuzuia jaribio la kusafirisha kinyume cha sheria madini ya almasi yenye thamani ya dola za Marekani 635,847.66, sawa na takriban shilingi bilioni 1.7, kupitia Uwanja wa Ndege…

Wajadili teknolojia matibabu mfumo wa chakula

Wataalamu takribani 200 wa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula wamekutana leo jijini Dar es Salaam kujadili namna ya kutumia Akili Mnemba(AI) katika matibabu ya magonjwa ya mfumo wa chakula yanayoathiri jamii kwa kiasi kikubwa. Kongamano hilo la kwanza…

Mbeki: Changamoto inayoikumba Afrika si ukosefu wa sera nzuri bali ni uhaba wa viongozi wenye kuzitekeleza

Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki, amesema kuwa changamoto kubwa inayolikumba Bara la Afrika si ukosefu wa sera nzuri bali ni uhaba wa viongozi wenye uwezo wa kuzitekeleza. Akizungumza wakati wa Mhadhara wa Siku ya Afrika uliofanyika Dar es…

JET na mkakati wa kuwalinda viumbe bahari, wafanya jitihada za kumlinda kasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KILA ifikapo Mei 23 kila mwaka huadhimishwa Siku ya Kimataifa ya Kasa, Kasa ni mnyama wa majini ambaye wengi humfananisha na kobe kwa sababu ya ufanano wao wa zaidi ya asilimia 90. Kasa…