JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zaidi ya watu 130 wafa kwa tetemeko la ardhi Colombia

Takriban watu 132 wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga magharibi mwa Colombia, katika tukio kubwa zaidi la aina hiyo nchini humo kwa miaka kadhaa. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.4 kwa kipimo cha Richter lilipiga jimbo la Chocó,…

Hospitali ya SINO yaipa nguvu Tanzania ya Utalii Tiba

*Yaunga mkono Dira ya Rais Samia utali tiba Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WATANZANIA wameanza kunufaika na huduma za matibabu ya kibingwa zinazopatikana nchini, hali inayopunguza gharama na ulazima wa kusafiri nje ya nchi kutafuta matibabu. Mkurugenzi Mtendaji wa…

Tanga tena, Dangote kuvuja kwa pakacha…

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita, siasa za Uchumi wa Afrika Mashariki zilichemka tena katika mitandao ya kijamii, baada ya Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni na Kampuni ya Vitol…

Rais Dk Mwiny: Kamera za usalama barabarani kudhibiti ajali Z’bar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imeanza kuweka mfumo wa kamera za usalama barabarani ili kuimarisha utii wa sheria, kurejesha nidhamu na kudhibiti ajali zinazotokana na ukiukwaji wa sheria za…