JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Lissu bado mwiba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shinikizo la wito wa kuachiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, linazidi kuongezeka na kuibua mitazamo tofauti kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwamo wa ndani ya nchi na…

Masauni aagiza usimamizi imara wa mazingira kwenye viwanda Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni (Mb), amewaagiza viongozi wa Mkoa wa Pwani, wilaya, halmashauri na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuongeza usimamizi wa masuala ya mazingira kwenye…

Uhispania yashinda Kombe la Dunia 2026

Uhispania imeshinda Kombe la Dunia 2026 kwa kuwabamiza mabingwa watetezi timu ya soka ya Argentina bao 1-0. Mshambuliaji Ferran Torres ndiye ameifungia Uhispania bao la pekee lililowapa ushindi na kunyakua Kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia. Mchezo…