JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mchengerwa: Hospitali ya Benjamini Mkapa ni kioo cha taifa

Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa Hospitali ya Benjamin Mkapa ni kioo cha Dodoma na taifa kwa ujumla, akieleza kuwa ubora wa huduma zinazotolewa umeifanya hospitali hiyo kutozungumzwa kwa malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi  kama ilivyo katika baadhi ya…

Vitongoji vyote Tanzania Bara kuwa na umeme ifikapo mwaka 2030- Waziri Ndejembi

📌Ataja miradi kadhaa inayotekelezwa na REA 📌Amshukuru Rais Samia Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia 📌Wabunge waimwagia sifa REA 📍Bungeni Dodoma Serikali imedhamiria kuhakikisha vitongoji vyote 64,359 vya Tanzania Bara vinafikishiwa umeme ifikapo mwaka 2030 ili kuchochea kasi ya maendeleo…

Waziri Ndejembi awasilisha Bajeti ya Wizara ya Nishati 2026/27 bungeni

📌Asema kipaumbele ni kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini 📌 Uwezo wa uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 12.17 📌Aeleza ongezeko hilo limechangiwa na kukamilika kwa miradi mbalimbali ya umeme Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasilisha makadirio ya mapato…

Sheikh Mussa : Vijana msikubali kutumika

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum, amewaasa vijana kuwa makini na wazalendo kwa nchi yao, huku akiwasisitiza wasikubali kutumika. Akizungumza na JAMHURI mwishoni mwa wiki…

NMB yatoa milioni 100 kudhamini mkutano Mkuu wa 40 wa ALAT

Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh milioni 100 kwa ajili ya kusaidia maandalizi na uendeshaji wa Mkutano Mkuu wa 40 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaofanyika jijini Arusha. Udhamini huo unaongeza nguvu katika maandalizi ya mkutano…

Masauni: Mafanikio ya Ofisi ya Makamu wa Rais ni kutatuliwa kwa hoja za Muungano

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Yussuf Masauni amesema miongoni mwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ni kutatuliwa kwa hoja za Muungano chini ya Ofisi hiyo. Amesema hayo wakati akifafanua hoja mbalimbali…