JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Manispaa Kibaha yatoa milioni 991 kwa vikundi 51

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Vikundi 51 vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani, vimenufaika na mikopo yenye thamani ya Sh milioni 991.54 kupitia asilimia 10 ya mapato kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Vikundi…

Mramba aitangaza Tanzania Canada, asema ni kitovu cha uwekezaji nishati

Calgary, Canada Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, ameendelea kuitangaza Tanzania kimataifa kwa lengo la kuvutia uwekezaji zaidi katika Sekta ya Nishati akieleza kuwa Tanzania ni kitovu cha uwekezaji wa nishati barani…

Ujumbe wa Tanzania washiriki maadhimisho ya kuzuia utumikishwaji wa mtoto Geneva

Na: OWM (KAM) – Geneva, Uswizi Ujumbe wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeungana na mataifa mengine katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Utumikishwaji wa Mtoto yaliyofanyika tarehe 9 Juni, 2026 katika Makao Makuu ya Umoja…

MSD yaihakikishia Kamati ya Bunge ubora wa huduma katika utekelezaji wa bima ya afya kwa wote

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD) imeihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI kuwa itaendelea kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya zenye ubora, kwa wakati na kwa kiwango kinachohitajika kuelekea utekelezaji wa…

WRRB yanadi ufanisi mfumo wa stakabadhi za gha Misri, yafungua milango ya biashara ya mifugo

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Asangye Bangu, ameshiriki Jukwaa la Tanzania na Misri la Utalii, Biashara na Uwekezaji na kueleza kuwa Tanzania imeongeza biashara ya mifugo na mazao ya mifugo katika…

Mahundi aieleza dunia hatua za Tanzania katika kulinda haki za wenye ulemavu

Na Jackline Minja, New York, Marekani Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, ameieleza Jumuiya ya Kimataifa hatua kubwa zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania katika kulinda na kuendeleza haki za watu wenye…