Latest Posts
Uwekezaji mifumo ya TEHAMA serikalini kuongeza uwazi katika utoaji huduma
Na Antonia Mbwambo,Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray amesema uwekezaji wa matumizi ya Mifumo ya Tehama Serikalini utasaidia kwa asilimia kubwa kuongeza ufanisi na Uwazi wa huduma zinazotolewa na…
Trust Finance yazindua hatifungani ya kwanza
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam. Kampuni ya Itrust Finance limited imezindua rasmi hatifungani yake ikiwa ni hatifungani ya kwanza nchini kutolewa na kampuni wakala wa soko la hisa na msimamizi wa mifuko ya uwekezaji nchini tanzania. Hatifungani hiyo…
Mei 27 ni sikukuu ya Idd El Adh-BAKWATA
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) imetangaza sikukuu ya Idd ell adh haa mwaka huu kwa mujibu wa Kalenda ya Kislaam itakuwa Mei 27 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es…
Rais Samia awasili Kigali nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali ambapo atashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA), Kigali…
Kingu: Tumeona utulivu na nidhamu ya jeshi letu
Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Elbariki Kingu amesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania linaendelea kuonesha utulivu, nidhamu na uzalendo wa hali ya juu katika kulinda amani na usalama wa taifa. Kingu ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma leo…





