JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wafanyabiashara wa pembejeo, viuatilifu sasa rasmi Soko Kuu la Kariakoo

Shirika la Masoko ya Kariakoo limewarejesha wafanyabiashara wa pembejeo na viuatilifu katika Soko Kuu la Kariakoo ambao walikuwa hawajarejeshwa sokoni hapo baada ya soko hilo kufunguliwa Februari 8, 2026. Kurejeshwa kwa wafanyabiashara haokunatoka na majadiliano baina ya uongozi wa Shirika…

Wasanii zaidi ya 146 kushiriki Tamasha la 44 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO TAASISI ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) inatarajia kufanya Tamasha la 44 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni kuanzia Oktoba 28 hadi 31, mwaka huu, katika viwanja vya taasisi hiyo wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani. Tamasha hilo…

Serikali yaweka mkakati kukabili madhara ya El Nino

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeanza kujiandaa kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na mvua za El Niño, ikitaja kumbukumbu za mafuriko, maporomoko ya ardhi, uharibifu wa miundombinu na milipuko ya magonjwa iliyowahi kutokea nchini katika misimu iliyopita kuwa sababu ya kuongeza…

Acheni matumizi ya pombe yaliyokithiri kuepuka changamoto ya afya ya akili

Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Serikali imewataka wananchi hususan vijana, kupunguza matumizi ya pombe yaliyokithiri na kuacha matumizi ya dawa za kulevya ili kuepuka changamoto za afya ya akili pamoja na madhara mengine kwa familia na jamii. Wito huo…

Tanzania, AngloGold Ashanti kuimarisha ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za kampuni hiyo na namna ya kuimarisha uhusiano wake na Tanzania. Msajili wa Hazina,…

JWTZ laadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwake

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwake tarehe 1 Septemba 1964, katika hafla iliyofanyika Septemba 1, 2026 katika Viwanja vya Gofu vya Lugalo jijini Dar es Salaam, huku maadhimisho hayo yakiambatana na kufungwa…