Latest Posts
Serikali yawekeza Sh.Bilioni 10.5 kuimarisha huduma ya umeme Kongwa na maeneo jirani
Na Dotto Kwilasa JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa,…
PAC yaiagiza TRA kufunga mapengo ya ukusanyaji kunufaisha wananchi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) masaa ya ziada irekebishe mara moja mapungufu yote yaliyoainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG, katika…
Miradi ya buluu Kaboni kunufaisha jamii ukanda wa Pwani
Serikali imesema utekelezaji wa miradi ya biashara ya kaboni hasa kaboni ya buluu utakapokamilika na mauzo kufanyika, itanufaisha jamii inayozunguka maeneo mengi ya Ukanda wa Pwani. Hayo yamesemwa bungeni jijini Dodoma leo Juni 16, 2026 na Naibu Waziri Ofisi ya…
Netanyahu: Uwezo wa nyuklia wa Iran umerudishwa nyuma
Netanyahu ameongeza kwamba bila ya operesheni kubwa za kijeshi zilizofanywa kwa pamoja na Marekani basi huenda Iran ingekuwa tayari inayo mabomu ya nyuklia na mamilioni ya Waisrael sasa wangekabiliwa na vitisho. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kampeni ya…
Trump: Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa Ijumaa
Kufunguliwa tena kwa njia hiyo muhimu kunaashiria hatua kubwa kuelekea kumaliza miezi kadhaa ya mzozo mbaya na msukosuko wa kiuchumi uliosababishwa na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwezi Februari. Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba meli…
CTI yafurahia mapendekezo 51 kuchukuliwa na Serikali Bajeti Kuu
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha viwanda vya ndani . Shirikisho hilo limesema serikali imechukua asilimia 50 ya mapendekezo ya wenye viwanda…





