Latest Posts
Wataalamu wa afya kutoka nchi rafiki kutembelea Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar leo Aprili 15, 2026, inatarajia kupokea ujumbe wa wataalamu wa sekta ya afya kutoka nchi mbalimbali kwa ziara maalum ya kujifunza na kubadilishana uzoefu. Ugeni huo unatarajiwa kuwasili na kushiriki ziara hiyo itakayofanyika kuanzia Aprili…
NHIF Arusha waomba uhuishaji wa BSHS wakati wa utekelezaji bima ya afya kwa wote
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wameiomba Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko huo kuzungumza na Wizara ya Afya juu ya uhuishaji wa miongozo mbalimbali ya huduma za matibabu inayotolewa ili itekelezwe…
Daktari wa Shifaa afichua vijana wanavyokufa ghafla na shinikizo la damu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Daktari bingwa wa maradhi ya moyo wa hospitali ya Shifaa iliyoko Msese Kinondoni jijini Dar es Salaam, Lulu Mageta amewataka vijana kupima afya zao mara kwa mara kwani wengi kwa sasa wanakabiliwa na…
Waziri Homera azitaka Bodi za Wadhamini kuwajibika zaidi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, amewataka wajumbe wa bodi za wadhamini nchini kuzingatia kikamilifu sheria, uwajibikaji na uadilifu katika usimamizi wa mali za taasisi wanazoziongoza, akisisitiza kuwa hatua hiyo ni…
Unganishaji umeme Morogoro mbioni kuanza, REA yakabidhi eneo
📌Yaweka msisitizo ushirikishwaji wa Serikali za Mitaa kwenye miradi ya umeme 📌Wasisitizwa kutekeleza mradi ndani ya wigo wa mkataba 📌Wapewa maelekezo kufanya mradi kwa weledi na utaalamu 📌Bilioni 6.6 kuunganisha wateja wa awali 1,929 📍Morogoro Wakandarasi wanaotekelza miradi ya kusambaza…
Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwandishi maarufu wa riwaya Afrika, Mnigeria Chinua Achebe, alipata kuandika sentensi maarufu katika kujenga mshikamano wa kijamii kuwa: “Katika mtanziko wa hatari, tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani.” Sitanii, kichwa…





