Latest Posts
Mbaroni kwa tuhuma za kumpiga na kumchoma moto mtoto
Kufuatia habari iliyoiripotiwa kupitia ukurasa wa Instagram wa Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, tarehe 11 Januari, 2026 kuhusu tukio la ukatili dhidi ya mtoto katika eneo la Kinyerezi, Jeshi la Polisi…
Ado aongoza kikao cha Kamati Tendaji Taifa cha ACT-Wazalendo
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-WazeldnoTaifa, Ado Shaib, ameongoza kikao cha Kamati Tendaji ya Taifa cha chama hicho kilicholenga kupitia masuala mbalimbali ya kiutendaji, yakiwemo maandalizi ya kikao kijacho cha Kamati Kuu. Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Makao Makuu…
Makumbusho ya Taifa ya Tanzania yapokea watalii 100 kutoka meli ya kifahali ya utalii (Cruise Ship)
Makumbusho ya Taifa ya Tanzania (NMT) imepokea zaidi ya watalii 100 walioingia nchini kupitia meli ya kifahari ya utalii (Cruise Ship), Ziara hiyo ni uthibitisho wa kuimarika kwa sekta ya utalii wa kitamaduni na juhudi za Serikali katika kufungua na…
Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria mbioni kutungwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Serikali ipo mbioni kuandaa Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria itakayoweka misingi ya kuboresha na kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi kote nchini. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na…
Mwanza yazidi kung’ara kupitia miradi ya umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inaendea kuinua hadhi ya Mkoa wa Mwanza, kupitia utekelezaji wa Miradi ya Umwagiliaji kutokana na wananchi kuanza kunufaika na ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji ya Mahiga. Mradi huo…
Tanzania yataja mafanikio ya nishati safi ya kupikia katika Jukwaa la Kimataifa la Irena -Abu Dhabi
*Upatikanaji wa Nishati Safi ya Kupikia waongezeka zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne pekee *Yasema ipo tayari kushirikiana na Taasisi za Kimataifa zinazotoa ufadhili kwa nia ya kupunguza matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia hasa…




