JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma

Zanzibar. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio ya taasisi na mashirika ya umma nchini unategemea kwa kiwango kikubwa uimara wa mifumo ya utawala bora, uwajibikaji na uongozi wenye maono yanayolenga matokeo. Kauli hiyo imetolewa na…

Waziri Kapinga : Mafanikio uunganishaji magari ushahidi ukuaji wa sekta ya viwanda nchini

Na Emmanuel Mbatilo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema mafanikio yaliyofikiwa na kiwanda cha kuunganisha magari aina ya Howo kinachomilikiwa na Saturn Corporation Limited ndani ya kipindi cha miaka miwili ni ushahidi wa ukuaji wa sekta ya viwanda nchini, huku…

RC Chalamila aipongeza TBS kuandaa Marathon kama maadhimisho ya miaka 50 kuanzishwa kwake

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila amefurahishwa na kupongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuandaa Viwango Marathon kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa kwa Shirika hilo pamoja na kuendelea kuhamasisha jamii kuhusu…

Tanzania, Marekani zaendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati

Na Mwandishio Wetu Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Mhe. Andrew Lentz, kuhusu kuimarisha ushirikiano wa…

Kamatyi ya Kudumu ya Bunge TAMISEMI yatembelea miradi ya bil. 4.5/- Kinondoni

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Ikiongozwa na Mwenyekiti wake M Florentino Kyombo, imetembelea na kukagua miradi ya Elimu, Afya na Barabara yenye gharama ya Shilingi bilioni 4,528,354,913 Wilaya Kinondoni. Ziara hiyo iliyofanyika tarehe…

TARURA yawaimarisha maafisa ununuzi kudhibiti hoja za ukaguzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro‎‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imewahimiza Maafisa Ununuzi kuzingatia kikamilifu sheria, kanuni na taratibu za ununuzi ili kudhibiti upotevu wa fedha za serikali na kuondoa hoja za ukaguzi zinazojitokeza mara kwa mara katika…