JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Takwimu za TPDC zafichua nafasi kubwa ya vijana sekta ya nishati

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Takribani asilimia 79 ya nguvu kazi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) ni vijana, hatua inayotafsiri dhamira ya Serikali ya kutoa nafasi kwenye kundi hilo kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya sekta ya nishati na uchumi…

Tanzania, Uganda zasisitiza utekelezaji kwa vitendo katika kukuza ushirikiano wa uwili NA

Tanzania na Uganda zimethibitisha tena dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa uwili, kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya pamoja, na kuibua maeneo mapya ya ushrikiano Akifungua kikao cha Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kinachofanyika jijini Dar…

REA yatoa zaidi ya bilioni 5/- kuzalisha umeme wa maji Lupali

📌Mradi kuzalisha kilowati 317 📌Wahariri waridhishwa na mradi wa Lupali 📌Mradi kupunguza matumizi ya nishati isiyo rafiki na mazingira Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa kiasi cha shilingi bilioni 5.4 kwenye mradi wa kuzalisha umeme…

Dk Maghembe, Luswetula wawasili Afrika Kusini kushiriki Mkutano wa 47 wa SADC

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula wamewasili jijini Pretoria, Afrika Kusini kushiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya…

CCM yafanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Asha-Rose Migiro,leo tarehe 11 Machi 2026 amefanya mazungumzo jijini Dodoma na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja…