JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Jingu: Mtoto ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote

Na Maryam Elhaj WMJJWM- Dodoma SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na uchapa kazi. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…

RC Iringa asisitiza wananchi kuwalinda wakandarasi na vifaa vya ujenzi

📌Mradi wa bilioni 32.3 kusambaza umeme kwenye vitongoji 214 vya mkoa wa Iringa 📌Mkandarasi M/s Silo Power atakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Wateja 7,500 wataunganishiwa huduma ya umeme 📌Asema umeme ni maendeleo, uchumi, huduma na biashara Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…

Iran yaionya Marekani dhidi ya uvamizi wa aina yoyote

IRAN imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano likijibu kitisho cha Rais Donald Trump cha kuiingilia kijeshi. Ujumbe huo uliandika kwenye mtandao wa X kwamba Iran iko tayari…

Ndege yaanguka Colombia, watu wote 15 wafariki dunia

Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, limethibitisha. Katika taarifa, shirika hilo lilisema ndege yake aina ya Beechcraft 1900”, ilipata ajali mbaya,” lakini halikutoa maelezo…

Brazil yaruhusu kilimo cha bangi kwa matumizi ya tiba

Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi. Uamuzi huo umetokana na maelekezo ya Mahakama ya Juu ya Haki (STJ), ambayo…