Latest Posts
Njombe yaibuka kitovu cha madini adimu, soko lake kuu lipo China
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imetangaza kuwa Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uwekezaji wa madini nchini baada ya kugunduliwa kwa madini adimu ya Rare Earth Elements (REE) ya aina mbili ambayo ni Neodymium Nd na Praseodymium…
Serikali inaendelea kufanya maandalizi ya upanuzi wa miji pembezoni kutokana na ukuaji- Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Azerbaijan Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa kipaumbele katika maandalizi ya upanuzi…
‘Hali ya ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ni shwari’
Hali ya ulinzi na usalama katika mipaka ya Tanzania imeendelea kuwa shwari katika mwaka wa fedha 2025/26 licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali za kiusalama na miundombinu katika baadhi ya maeneo ya mipakani. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya…
Mfumo wa taarifa za maafa Zanzibar kuimarisha ulinzi wa jamii
NA FAUZIA MUSSA MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Moh’d Ali Abdalla amesema mfumo wa taarifa za maafa wa Zanzibar (ZDMIS) utakuwa mkombozi mkubwa kwa jamii katika kusaidia kupunguza na kuondosha changamoto zinazotokana na majanga mbalimbali. Akizungumza katika kikao cha…
Wananchi Morogoro wahimizwa kufanya ‘wiring’ kupokea umeme
Wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro wamehimizwa kufanya maandalizi ya kupokea huduma ya umeme kwa kutandaza nyaya kwenye nyumba zao (wiring) ili kujitayarisha na miradi inayoendela ya umeme kwenye vitongoji. Wito huo umetolewa leo Mei 19, 2026 na…
Wafanyabiashara waiomba Serikali kudhibiti wageni
Na Aziza Nangwa, Jamhuri Media, Dar es Salaam Wafanyabiashara wa spare za pikipiki nchini kupitia Chama cha Wauza Spare za Pikipiki Tanzania (CHAWASAPI), wameiomba serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kusimamia kikamilifu sheria zinazodhibiti ushiriki wa wageni katika biashara…





