JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania na Urusi kuimarisha ushirikiano katika teknolojia za kisasa ili kukuza diplomasia ya uchumi

Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), ameshiriki katika hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Taasisi ya Innopraktika kutoka nchini Urusi yenye muunganiko wa makampuni zaidi…

JOWUTA rasmi CoRI yashiriki kikao cha kwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA), jana rasmi kimeanza kushiriki mkutano wa Taasisi zinazopigania Haki za kupata Habari (CoRI). JOWUTA alipitishwa na CoRI katika kikao chake cha tatu kilichofanyika Desemba 5, mwaka jana,…

Dk Mwigulu : Tuendelee kumuombea Lukuvi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, marehemu William Lukuvi aliyefariki jana Machi 25, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma….

Mtendaji Mkuu WMA aitaka menejimenti kumsaidia Rais Samia

WMA – DODOMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla amewaelekeza wajumbe wa menejimenti ya Wakala hiyo kuwa na majadiliano ya wazi na yenye tija yanayolenga kuboresha zaidi huduma kwa wananchi hivyo kumsaidia Rais wa Jamhuri ya…