JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dawa na vifaa tiba vya milioni 822.8 vyakamatwa Tabora

Na Allan Kitwe, JmahuriMedia, Tabora MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imefanya oparesheni maalumu na kufanikiwa kukamata dawa zenye thamani ya sh mil 822.8 zilizokuwa zinauzwa kinyume na utaratibu.   Hayo yamebainishwa jana na Meneja wa…

Miradi 82 ya biashara ya kaboni yasajiliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Massauni amesema mpaka sasa jumla ya Miradi 82 ya Biashara ya Kaboni ipo kwenye rejesta na kati ya hiyo, Miradi 4 imeshafika kwenye…

Sangu : Bodi ya wadhamini WCF kutekeleza dira 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BODI ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili mfuko uchangie katika kutoa huduma bora zaidi ikiwemo kuongeza uzalishaji ajira…

Ukraine: Diplomasia si kipaumbele kwa Urusi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema kuwa kama Urusi ingetaka kweli kumaliza vita, ingejikita katika diplomasia badala ya kujaribu kudhuru mitambo ya nyuklia ya Ukraine. “Iwapo Warusi wangekuwa na nia ya dhati ya kumaliza vita, wangejikita kwenye diplomasia, siyo mashambulizi…

Wafurahishwa na ufumbuzi wa kudumu mto Dehu Moshi Vijijini

Wananchi wa eneo la Kahe, Wilaya ya Moshi Vijijini, wameeleza furaha na shukrani zao baada ya changamoto ya muda mrefu ya mafuriko yaliyokuwa yakisababishwa na Mto Dehu kupatiwa ufumbuzi wa kudumu kupitia zoezi la kudabua mto huo. Kwa zaidi ya…

Watu 21 wafariki kwa ajali ya treni Uhispania

WATU 21 wamefariki dunia na wengine wapatao 30 wamejeruhiwa vibaya baada ya treni mbili kugongana kusini mwa Uhispania usiku wa Jumatatu (Januari 19). Waziri wa Usafirishaji wa Uhispania, Óscar Puente, amesema treni hizo za mwendokasi yaligongana majira ya saa moja…