Latest Posts
Hospitali ya Shifaa yasema saratani inatibika
….Yahamasisha wananchi wawahi kupima Na Mwandishi Wetu WATANZANIA wametakiwa kuondokana na dhana kwamba saratani haitibiki na badala yake wawahi hospitalini kupima kila wanapoona dalili mbaya kwani saratani inatibika kama mgonjwa atawahi kupima mapema na kuibaini. Hayo yalisemwa jana jijini Dar…
TAMISA yawahamasisha vijana kuchangamkia Trilioni 5 za mikopo ya uwekezaji sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizopo katika sekta ya madini kwa kutumia mikopo yenye thamani ya shilingi trilioni…
RITA kuwanoa wajumbe bodi za wadhamini mikoa sita
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA imeandaa mkutano na mafunzo kwa wajumbe wa…
Wadau sekta ya hali ya hewa wajadili utabiri wa masika 2026
Wadau kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa Masika 2026 na kutoa ushauri wa kisekta katika Mkutano wa 25 wa Wadau wa Sekta ya Hali ya Hewa katika msimu wa Masika uliofanyika tarehe 2/2/2026, Jijini Dodoma. Mkutano…
Hofu ya vita ya Marekani na Iran yatikisa Mashariki ya Kati
Huku juhudi za kidiplomasia zikiendelea kuzuia mzozo mpana Mashariki ya Kati, Saudi Arabia, mataifa ya Ghuba na Israel zinaweka mbele maslahi yao wakati mvutano kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka. Katika wiki iliyopita, hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa…
Trump anavyoiangusha Marekani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika miaka ya karibuni dunia imeshuhudia mabadiliko makubwa katika siasa za Marekani – nchi ambayo kwa miongo mingi imekuwa ikijiona na kuonekana kama kinara wa demokrasia, utulivu na uongozi wa kimataifa. Hata hivyo,…





