JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa

📌 utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi, viwanda na shughuli za kiuchumi 📌 Wananchi wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme yenye uhakika zaidi baada ya kukamilika kwa mradi 📌 TANESCO yavunja rekodi kwa kuunganisha zaidi ya wateja laki nane mwaka…

Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji

Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amewataka waendesha maghala kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na utoaji wa huduma bora ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Akifungua kikao maalumu cha waendesha…

Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb) , amesema Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameonyesha mafanikio makubwa ya sekta ya viwanda na biashara pamoja na fursa zinazotolewa na Serikali kwa vijana…

Prof. Shemdoe awapongeza maafisa afya kupunguza mlipuko wa kipindupindu nchini

• Awataka wakuu wa mikoa kuendeleza kampeni za usafi Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki amewapongeza Maafisa Afya wa Mikoa na Halmashauri nchini…

Yawataka maofisa afya mikoa yote kuongeza kasi katika afua za afya na usafi wa mazingira

SERIKALI imewataka Maofisa afya katika mikoa na halmashauri zote nchini kuongeza kasi ya utekelezaji wa afua za afya na usafi wa mazingira ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokuwa na kisa hata kimoja cha ugonjwa wa kipindupindu. Hayo yamesemwa na…

Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema kuwa katika kipindi cha takribani miaka 100 tangu Bunge lianze kufanya kazi, kuanzia enzi za ukoloni, kuna mambo mengi yamefanyikao,…