Latest Posts
Papa Leo atoa wito kwa watu wa Monaco kutenda mema
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amewataka wakaazi wa taifa tajiri la Monaco kutumia utajiri wao, ushawishi na imani yao ya Kikatoliki kutenda yaliyo mema. Ameyasema hayo akiwa katika ziara ya siku moja nchini humo. Akizungumza baada…
Tanzania yang’ara kimataifa kwa usimamizi bora wa deni la Serikali
Na Joseph Mahumi, WF Serikali ya Tanzania imeendelea kung’ara katika jukwaa la kimataifa baada ya kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka katika Tuzo za Usimamizi wa Deni la Umma za Jumuiya ya Madola na tuzo ya Ofisi Bora Kanda ya…
Serikali inavyohamasisha jamii kutumia fursa ya taka kusafisha mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, uzalishaji wa taka ngumu nchini ni takriban tani milioni 14.4 hadi 20.7 kwa mwaka ikiwa ni sawa na kilogramu 0.66…
NEMC yatoa elimu kwa umma kuelekea kilele cha Siku ya Kimataifa ya Taka Sifuri
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa usimamizi sahihi wa taka, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kilele cha Maadhimisho ya Siku…
Kipenzi ashauri mambo matatu Dorefa, ataka soka lichezwe wilayani
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa zamani wa Soka Mkoa wa Dodoma,(DOREFA) Nassoro Kipenzi ameshauri mambo matatu kwa Chama cha Soka Mkoani Dodoma ikiwemo kuhakikisha soka linachezwa wilayani. Kipenzi ametoa kauli hiyo leo Machi 28,2026 wakati akizungumza katika Mkutano Mkuu wa…





