Latest Posts
Tanzania yataka mbinu nafasi ya maendeleo nchi zinazoendelea
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito wa kuwa na mbinu za kimataifa zilizo na uwiano, zinazozingatia usawa na kulinda nafasi ya maendeleo ya nchi zinazoendelea. Imesema iko tayari kushirikiana na wadau mbalimbali katika kujenga njia zitakazoleta manufaa kwa watu…
TCDC Sports Club yaonyesha ubora katika ushindi wa 4-2 dhidi ya mashtaka
Timu ya Mpira wa Miguu ya Mashtaka imeshindwa kuonesha ubabe wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-2 kutoka kwa TCDC Sports Club katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Venite, Mji Mwema mkoani Njombe. Katika mchezo huo uliokuwa…
Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana katika ukuaji wa uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la kuinua vipaji, uwezo, na ari yao katika kufanikisha ukuaji wa uchumi jumuishi. Kauli…
CP Awadhi akagua miundombinu ya uwanja wa AFCON Arusha
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi (CP) Awadh Juma amefika Jijini Arusha kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa miundombinu pamoja na mifumo ya kiusalama katika uwanja unaojengwa kwa ajili ya mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Katika…
Serikali kuendelea kuiwezesha OSHA ili kuongeza ufanisi wa utendajikazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imeahidi kuendelea kuiwezesha Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi(Osha), vitendea kazi ili kuleta ufanisi katika shughuli zake. Ahadi imetolewa na Waziri wa Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, wakati akifunga maadhimisho ya…
Makonda : Maadili nguzo kuu ya maendeleo endelevu ya taifa, azindua mkakati wa Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amezindua Mkakati wa Taifa wa Kukabiliana na Mmomonyoko wa Maadili wa mwaka 2026/27 hadi 2036/37, huku akisisitiza maadili ni nguzo kuu ya maendeleo endelevu ya…





