Latest Posts
Kwa nini Watanzania watajitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati Watanzania wakijiandaa kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika kesho, kuna dalili ya rekodi za nyuma za wapiga kura kuvunjwa katika uchaguzi huu. Kwa…
Nchimbi: Watanzania wameridhika na utendaji wa Rais Samia
Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mgombea urais wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan. Dk Nchimbi ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wananchi wakati wa…
Kamati ya siasa amani Pwani yaviasa vyama vya siasa visiwe chanzo cha vurugu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIONGOZI wa dini kupitia Kamati ya Amani Mkoa wa Pwani wameviasa vyama vyote vya siasa na wagombea kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi, na kuepuka kuwa chanzo cha vurugu wakati wa mchakato wa kupiga kura….
12 wafariki katika ajali ya ndege pwani ya Kenya
Ndege iliyokuwa na watu 12 imeanguka katika eneo la kaunti ya Kwale, pwani ya Kenya. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya (KCAA) Emile Arao amethibitisha kwamba ndege hiyo, nambari ya usajili 5Y-CCA, iliyokuwa na watalii ilikuwa…
Uthamini wa fidia mradi wa SGR kipande cha sita Tabora – Kigoma waendelea kwa kasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaendelea kwa kasi katika wilaya sita za mikoa hiyo. Wilaya hizo ni Tabora Mjini,…
Mbeya waimarisha ulinzi na usalama
Kuelekea uchaguzi Mkuu, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limejipanga vizuri kuhakikisha Amani, Utulivu na Usalama vinatawala muda wote. Akizungumza mara baada ya kufanya doria za Magari, Miguu na Mbwa wa Polisi kuzunguka maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya, Kamanda…





