Latest Posts
Rais Mwinyi : Uteuzi wa mawaziri unalenga kuimarisha kasi ya maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa uteuzi wa Mawaziri wateule unalenga kuimarisha kasi ya maendeleo katika kipindi cha pili cha Awamu ya Nane. Rais Dkt. Mwinyi amesema kwamba kwasasa kutakua…
ICGLR yajipanga kuimarisha amani katika kanda
Imeelezwa kuwa Jumuiya ya nchi Wanachama wa Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ni jukwaa sahihi la kupata ufumbuzi wa Kudumu wa changamoto zinazozikabili nchi wanachama kama vile ukosefu wa amani, usalama na maendeleo endelevu. Hayo yamebainishwa jijini Kinshasa Jamhuri ya…
Ashikiliwa kwa tuhuma za kuhamasisha uhalifu kupitia kundi la whatsApp
Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingependa kujulisha kuwa, lilimkamata na linaendelea kumshikilia Ambrose Leonce Dede, Mnyaturu, Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya African Safari na Mwanachama wa Chama cha Chadema kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu nchini kupitia kundi…
TFS yaivutia China kwa mbinu za uhifadhi endelevu
Na Mwandishi Wetu Tanzania imeendelea kujijengea heshima kimataifa katika usimamizi endelevu wa misitu baada ya kupokea ujumbe wa wataalamu wa misitu kutoka Jimbo la Yunnan, nchini China, waliowasili nchini kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu na utaalamu…
Miradi ya CSR ya migodi yawanufaisha wananchi Simiyu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Serikali imesema itaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) inayotekelezwa na kampuni za uchimbaji madini nchini, ili kuhakikisha wananchi wanaoishi jirani na migodi wananufaika moja kwa moja na shughuli za…





