Latest Posts
Bandari, TRA ni njia, siasa zetu zigeukie uchumi
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Morogoro Watanzania wenzangu, kuna wakati taifa linapaswa kusimama na kujiuliza: tunataka kutumia muda wetu mwingi kujadili nani amesema nini, nani amegombana na nani na nani anastahili cheo gani, au tunataka kujadili namna ya kutengeneza fedha, ajira…
Tume ya Utumishi wa Umma yaipa kongole Wizara ya Nishati kuzingatia sheria, kanuni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Utumishi wa Umma imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuzingatia sera, sheria, kanuni na taratibu zinazoongoza Utumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku. Pongezi hizo zimetolewa Septemba 14, 2026, na…
Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Ujenzi wa Miundombinu ya Digital
Na Mwandishi wetu–Jamhuri MediaDar es salaam Mkurugenzi wa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Priscus Kiwango, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika ujenzi wa miundombinu ya kidijitali na utoaji wa huduma za umma…
NMB yaingia 10 bora duniani kwa benki zenye mali ya dola bilioni 3–10
Benki ya NMB imeorodheshwa katika nafasi ya tisa duniani ndani ya Daraja la Sita la benki zenye mali ya kati ya Dola za Marekani bilioni 3 na bilioni 10. NMB ni miongoni mwa benki 500 kutoka nchi 89 zilizojumuishwa katika…
TBS Yatahadharisha matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeonya wananchi kuhusu matumizi ya vipodozi visivyo salama, likisema bidhaa hizo zinaweza kusababisha madhara makubwa kiafya, ikiwemo magonjwa sugu kama saratani. Onyo hilo limetolewa na Meneja wa Ukaguzi na Uzingatiaji wa Sheria wa TBS, Bi.Nuru…





