JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ushirikiano wa Serikali na TPC umezaa matunda makubwa Katika miaka 20

Na Mwandishi wa OMH, Moshi Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji binafsi katika kiwanda cha Sukari—TPC Limited umepelekea mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka 20 iliyopita, na kuifanya kampuni hiyo kuwa miongoni mwa wazalishaji wakuu katika sekta ya…

DC Maiga azindua mradi wa mahema unaotekelezwa na TCCIA kwa ushirikiano na AGRA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Misenyi Hamisi Maiga, amezindua rasmi mahema maalumu ya kuboresha mazingira ya biashara kwa vijana na wanawake katika mpaka wa Mutukula, mkoani Kagera. Mradi huo unatekelezwa na TCCIA kwa ushirikiano na AGRA,…

Waziri Ndejembi akabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa Nishati Dk Biteko

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo 20 Novemba, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za Wizara zilizoko mtumba mkoani Dodoma, na kumshukuru Mhe. Biteko kwa…

Rais Samia azindua Tume Huru ya Uchunguzi uvunjifu wa amani Oktoba 29

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma…

BoT yaongeza msukumo kwenye urasimishaji wa huduma ndogo za fedha

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendelea kuhimiza urasimishaji wa vikundi vya huduma ndogo za fedha (VICOBA) kama njia ya kuhakikisha usalama wa fedha na uwazi wa shughuli za vikundi. Wataalamu wa benki hiyo wameeleza kuwa urasimishaji unaweza…