JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Fortune Paper yataka sera kulinda wazalishaji wa ndani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Kampuni ya Fortune Paper Group inayomilikiwa na wawekezaji wa China, imeiomba Serikali kuweka sera madhubuti zitakazolinda wazalishaji wa ndani dhidi ya ushindani unaotokana na bidhaa za bei nafuu zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Kampuni…

Picha za matukio mbalimbali msibani kwa Lukuvi

Wananchi mbalimbali wamejitokeza katika msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani wakati mwili wa marehemu Lukuvi ulipowasili Kijijini Kwake Kata ya Idodi, Wilaya ya Iringa mkoani…

Tanzania yashiriki mkutano wa 13 wa amani, uinzi, usalama wa EAC

Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za Mambo ya Nje umezikutanisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kujadili…

Kwaheri Lukuvi, tuombee, mbio za 2030 zimeanza

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mikumi Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Ifakara. Jumamosi, Machi 28, 2026 nimepata fursa ya kushiriki mazishi ya kitaifa ya kaka na ndugu yangu, William Vangimembe Lukuvi. Nikiri nilimfahamu Lukuvi mwaka 1993, na hasa kuanzia mwaka…