Latest Posts
TMA yapongezwa kwa kuimarisha imani ya Watanzania kupitia taarifa sahihi za hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilipata fursa adhimu ya kutembelewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa David Kihenzile(MB), katika Mkutano Mkuu wa 18 wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi. Mkutano huo…
Wanafunzi 40 wateuliwa kuwa mabalozi wa utalii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Wanafunzi 40 wa sekondari katika.shule zilizopo katika eneo la hifadhi ya jamii ya wanyamapori ya Burunge,wilayani Babati wameteuliwa kuwa mabalozi wa kuhamisha utalii na uhifadhi . Akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanafunzi hao kwenda kujifunza…
Mdemu awataka wanufaika wa mikopo wa WDF kurejesha kwa wakati
Na Saidi Said, WMJJWM – DodomaNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu, amewataka wanufaika wa mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WDF) kuhakikisha wanarejesha mikopo hiyo kwa wakati ili kutoa…
Kwa heri John Sabi Nzuryo, Jamhuri Media itakukumbuka
Uongozi wa Gazeti la JAMHURI unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu JOHN SABI NZURYO kilichotokea Desemba 15, 2025 katika Hospitali ya Amana, Dar es Salaam. Tunaendelea kufuatilia taratibu za msiba na maziko kwa familia, hivyo tutawajulisha kila hatua tutakayofikia. Bwana…





