Latest Posts
Mikataba ya wafanyakazi wa ndani ni kilio cha wengi kisicho na matumaini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MIKATABA ya maandishi ya ajira kwa wafanyakazi wa nyumbani imetajwa kuwa ni kilio cha wengi kisichokuwa na matumaini kwao kutokana na waajiri wengi kuruka vigingi vya kuingia katika makubaliano nao huku Sheria ya…
SADC yazindua mkakati wa mawasiliano wa mwaka 2025-2030
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano, uhusiano wa kikanda na maendeleo endelevu, kwa nchi wanachama. Hafla ya Uzinduzi wa Mkakati huo imefanyika tarehe 17 Novemba, 2025 jijini…
Balozi Kombo, Manaibu wake wapokelewa ofisi za Wizara ya Mtumba
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia…
TARURA yaboresha miundombinu kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabiachi
Belem, Brazil Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) inaendelea kuimarisha usimamizi wa mazingira kwa kujenga miundombinu thabiti ikiwemo madaraja ili kukabiliana na athari za mafuriko yanayotokana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu,…





