Latest Posts
Mbaroni kwa tuhuma za kumpiga mwanaye hadi kumuua, autupa mwili wake shambani
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Marry Timotheo, Mkazi wa Garijembe Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya Mtoto wake aitwaye Scola Athanas Mwaba [10] aliyekuwa Mwanafunzi wa Darasa la Nne katika Shule ya Msingi Ngonde. Tukio hilo limetokea Desemba…
Meya Nicas -Manispaa Kibaha yatenga mamilioni kuboresha miundombinu ya elimu ya sekondari
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha HALMASHAURI ya Manispaa ya Kibaha imetenga mamilioni ya fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu katika shule za sekondari, ikiwemo sh.milioni 900 kwa ujenzi wa vyumba vipya vya madarasa na sh. milioni 400 kwa…
Polisi : Mbinu za kihalifu 13 zilizopangwa kutumika kwenye maandamano zakwama
Jeshi la Polisi lingependa kuwajulisha kuwa, kama tulivyo wapa taarifa iliyokuwa na ahadi ndani yake majira ya saa 6 usiku tarehe 9.12.2025 kuamkia leo tarehe 10.12.2025 kuwa, kwa ushirikiano na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama tutaendelea kuimarisha hali ya…
Mwenendo sekta ya madini Tanzania kabla na baada ya uhuru
Sekta ya Madini Tanzania imepitia mabadiliko makubwa kutoka enzi za ukoloni hadi sasa. Kabla ya Uhuru, uchimbaji uliendeshwa na wakoloni kwa kiwango kidogo. Baada ya Uhuru mwaka 1961, Serikali ilianza kuimarisha tafiti za jiosayansi na usimamizi wa rasilimali hizo. Kuanzia…
RC Mwanza: Hali ya usalama Mwanza ni ya utulivu
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Said Mtanda,amesema hadi saa 6 na dakika 18,Desemba 9,2025,hali ya usalama mkoani humo ni tulivu huku akiwatoa hofu wananchi juu picha mjongeo ‘clip’, zinazotembea mtandao zikionesha wanajeshi wakiwasikiliza wananchi. Mtanda amezungumza hayo leo Desemba 9,2025 ofisini…
Polisi :Hadi majira ya mchana Dodoma ni shwari
Katika Mkoa wa Dodoma, juzi Desemba 8, 2025 wananchi walifurika katika eneo la Soko Kuu la Majengo kununua mahitaji mbalimbali kufuatia hofu ya maandamano yaliyokuwa yametangazwa kufanyika Desemba 9. Hadi saa mbili usiku, soko hilo lilikuwa limejaa watu wengi waliokuwa…




