JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yazindua kikosi kazi cha kuandaa mpango kazi wa uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imezindua Kikosi cha Kuandaa Mpango kazi wa Kitaifa na hatua za utekelezaji wa Matumizi Endelevu ya Maeneo ya Maji (MSP) ili kuimarisha Uchumi wa Buluu. Kikosi hicho kimezinduliwa na Naibu…

Watendaji wa uchaguzi watakiwa kutekeleza majukumu kwa weledi

Na. Mwandishi Wetu, Iringa Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na weledi ili kufanikisha uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Peramiho na udiwani katika Kata ya Shiwinga unaotarajiwa kufanyika tarehe 26 Februari, 2026. Wito huo umetolewa…

Dhahabu yapanda thamani kutokana na mivutano ya kisiasa na kiuchumi

BEI ya dhahabu imepanda kwa zaidi ya dola za kimarekani 5,000 (£3,659) kwa gramu 28.35 kwa mara ya kwanza, ni ongezeko la thamani kwa zaidi ya asilimia 60 mwaka 2025. Hii inakuja huku mvutano kati ya Marekani na NATO kuhusu…

EACOP yakabidhi madarasa, vyoo vya kisasa Nzega kupitia Mkandarasi Wasco Isoaf

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kupitia mkandarasi wake, WASCO ISOAF Tanzania Limited umekabidhi miundombinu ya vyoo vya kisasa na madarasa kwa Shule za Msingi na Sekondari za Igusule, zilizopo Kijiji…

SinoAm Global Fund kuwekeza dola bilioni tano Tanzania

London, Uingereza Katika mwendelezo wa ziara yake Nchini Uingereza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji prof. Kitila Mkumbo, amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mfuko wa Kimataifa wa Uwekezaji Sino American Global Fund (SinoAm LLC). Mazungumzo…

Balozi wa Tanzania Comoro akutana na mwanamuziki mashuhuri ‘La Diva’

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Umoja wa Visiwa vya Comoro, Mheshimiwa Balozi Saidi Yakubu, amekutana na mwanamuziki mashuhuri nchini Comoro, Samra Athoumani maarufu kama “La Diva”, ambaye alitembelea Ubalozi wa Tanzania ili kuelezea azma yake ya kushirikiana…