Latest Posts
Dk Maghembe azindua kongamano la vijana, asisitiza nafasi ya vijana katika maendeleo endelevu
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe (Mb) amemwakilisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwenye uzinduzi wa Kongamano…
Afua za UKIMWI kuboresha Mkoa wa Pwani
Na, Mwandishi wetu, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amekutana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi, katika ziara maalum ya kutembelea, kukagua na…
Watuhumiwa 176 wahukumiwa Arusha, mmoja ahukumiwa kunyongwa
Jeshi Polisi mkoani Arusha limesema kwa kipindi cha kuanzia Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali kwa makosa ulawiti, ubakaji, wizi, dawa za kulevya, kujeruhi, uvunjaji, kupatikana na nyara za serikali na kujipatia fedha kwa njia ya…
HESLB, BoT wazindua programu ya elimu ya fedha kwa wanafunzi
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT), zimezindua rasmi utekelezaji wa makubaliano ya ushirikiano yatakayowezesha utoaji wa elimu ya fedha kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini baada ya…
Tanzania yaahidi kuimarisha huduma za saratani kufuatia ripoti ya uhakiki wa Misheni ya imPACT 2025
Na John Mapepele, Geneva, Uswisi Tanzania imethibitisha tena dhamira yake ya kuimarisha huduma za kinga, uchunguzi, tiba na uangalizi wa saratani kufuatia kutolewa kwa Ripoti ya Uhakiki wa Misheni ya imPACT 2025, huku Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, akiahidi kuimarisha…





