Latest Posts
‘Ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya maendeleo linafanyika kwa ufanisi ‘
Na Mwandishi Wetu, Iringa Imeelezwa kuwa zoezi la uandaaji Utekelezaji wa miongozo ya ufuatiliaji na Tathmini Serikalini kunachangia kuongeza kasi ya Ukamilishaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kuzingatia mchango wake katika kurahisisha shughuli za utekelezaji wa miradi mbalimbali na kujiletea…
Serikali inathamini ustawi wa watoto nchini
Na Witness Masalu- WMJJWM, Dodoma Serikali inathamini ustawi wa watoto nchini hususan wanaoishi katika mazingira magumu. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Vijana,Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo katika hafla ya ugawaji wa bima za afya…
Kapinga, Londo waanza mikakati ya kuimarisha sekta viwanda na biashara
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), ameongoza watumishi wa Wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri mpya, Denis Londo (Mb), huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu katika kutekeleza majukumu ya wizara kwa maslahi mapana ya Taifa. Akizungumza Januari…
Dk Nchimbi kuzindua jengo jipya la wageni ‘ ‘VIP’ uwanja wa ndege
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa jengo jipya la wageni maarufu (VVIP) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)…
Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara ya Viwanda kuendeleza kongani na kusimamia miradi ya kimkakati
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika, ameipongeza Wizara ya Viwanda na Biashara kwa hatua inazoendelea kuchukua katika kuanzisha na kuendeleza kongani za viwanda kupitia taasisi zake, hatua inayochochea fursa za…
Mnzava : Tutatoa ushirikiano kwa Wizara
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imeahidi kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wote wa kutekeleza majukumu yake. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 15 Januari, 2026 na Mwenyekiti wa Kamati…





