JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Tabora, Kigoma, waitaka EWURA kuongeza hamasa nishati safi, vituo vya mafuta vijijini

Na Mwandishi Wetu, Tabora Wakuu wa Wilaya za Tabora, Mh. Upendo Wella, na Kigoma, Mh. Dkt. Rashid Chuachua, wameipongeza EWURA kwa usimamizi mzuri wa huduma za nishati na maji nchini. Wametoa pongezi hizo walipotembelea banda la EWURA, katika maonesho ya…

Nguvu kazi yenye ujuzi ndio ufunguo wa kukuza uchumi wa taifa

MKUU wa Kampasi ya Dodoma wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Prof. Epaphra Manamba,amesema wanaendelea kuandaa wataalamu wenye ujuzi na uwezo wa kutumia teknolojia za kisasa katika uzalishaji, usimamizi na biashara ya mazao, hatua itakayochangia kuongeza tija, ushindani na thamani ya sekta…

Tuzo kubwa za viwanda Tanzania zarejea

ā—¸PMAYA ya 19 sasa kufanyika Agosti 24 Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) limetangaza kuwa Tuzo za Rais za Wazalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA) kwa mara ya 19, jukwaa kubwa zaidi nchini Tanzania kwa kutambua mafanikio ya Viwanda,…

Elimu ya kisasa kutegemea zaidi teknolojia na tafiti

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SERIKALI itaendelea kuwekeza katika maendeleo ya kitaaluma ya walimu, wakufunzi na wahadhiri kupitia mafunzo endelevu, tafiti na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuhakikisha mfumo wa elimu unazalisha wahitimu wenye ujuzi unaokidhi mahitaji ya…

Serikali yaagiza taasisi zinazojihusisha na kilimo kuunganisha nguvu kujenga mnyororo wa thamani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeeleza kuwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi hakutakuwa na tija endapo hautaambatana na usindikaji, viwango bora na upatikanaji wa masoko ya uhakika, huku ikitaka taasisi zote zinazohusika na sekta hizo kuunganisha…

Mkutano Mkuu wanahisa wa Taasisi ya Afrika50 na Jukwaa la miundombinu kufanyika Agosti 5 hadi 6

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM and Infra for Africa Forum) inayotegemewa kufanyika tarehe 5 na…