Latest Posts
Serikali yatoa mikopo ya milioni 600 kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara Halmashauri ya Mji Ifakara Januari 27,2026 imetoa mikopo ya asilimia 10 yenye thamani ya Shilingi milioni 600 ikiwa ni Mikopo ya Asilimia 10 inayotokana na Mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu…
Netanyahu : Iran ikivamia Israel, tutajibu kwa nguvu haijawahi kushuhudiwa
Waziri Mkuu wa Israel amesema kuwa iwapo Iran itajaribu kuishambulia nchi yake kwa shambulio la kushtukiza, ataijibu kwa nguvu kali. Benjamin Netanyahu alisema katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu uwezekano wa Iran kuishambulia nchi yake mapema, “Ikiwa Iran itafanya…
Kim : Mipango ya nyuklia itawekwa wazi hivi karibuni
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wakati wa mkutano mkuu wa chama tawala utakaofanyika wiki kadhaa zinazokuja. Shirika la Habari la Korea Kaskazini,…
BoT yaagizwa kuongeza udhibiti wa mikopo umiza
Na Peter Haule, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Deogratius Luswetula (Mb) ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuendelea kuongeza udhibiti wa mikopo yenye riba kubwa (mikopo umiza) ili wananchi wapate mikopo yenye tija. Ametoa maagizo hayo bungeni jijini…
Rasimu ya mikataba kati ya wamiliki wa leseni na wachimbaji wadogo yakamilika
Na Wizara ya Madini, Dodoma NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesema Wizara ya Madini imeandaa rasimu ya Mkataba kati ya Wamiliki wa Leseni za Uchimbaji na Wachimbaji Wadogo, ambao umewasilishwa kwa Maafisa Madini Wakazi nchini kote kwa ajili…
Rais Samia apeleka neema ya umeme katika vitongoji Lindi
📌Vitongoji vya wilaya za Liwale, Nachingwea, Ruangwa na Kilwa kunufaika 📌Zaidi ya Kaya 5,100 kunufaika Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 25.8 wa kusambaza umeme katika vitongoji 159 utakaonufaisha kaya 5,116…





