Latest Posts
Rais mstaafu Dk Kikwete ampongeza Mtanzania Ngasuma Eva Kanyeka aliyeng’ara Chuo Kikuu cha Harvard Marekani
Na Mwandishi Maalumu, Havard Akiwa katika Chuo Kikuu cha Harvard, jijini Cambridge, jimbo la Massachusetts, nchini Marekani, Rais Mstaafu, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza mwanafunzi wa Kitanzania wa Shahada ya Uzamivu (PhD), Bi. Ngasuma Eva Kanyeka, kwa kushinda tuzo…
Serikali yachukua hatua dhidi ya utapeli mtandaoni, laini 62,879 zafunguwa – Kairuki
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua thabiti za kukomesha uhalifu wa kimtandao, ikiwemo utapeli unaotumia laini za simu na mifumo ya kidijitali, wakati akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya…
Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Mkoa wa Dodoma una fursa nyingi za kiuchumi na kijamii katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, biashara, utalii na madini ambazo zikiendelezwa na kuchangamkiwa ipasavyo zitakuwa…
PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umechukua hatua madhubuti ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi kwa kuwagawia watumishi wake majiko ya umeme, ikiwa ni sehemu ya juhudi za makusudi za kuhamasisha mabadiliko ya matumizi ya nishati nchini. Akizungumza katika…
RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kiteto MKUU wa Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, Remidius Mwema, amekabidhiwa rasmi jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto na Mkuu wa Mkoa Queen Sendiga, lenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 lililopo Mtaa wa…
Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
Na OWM – TAMISEMI, Kibiti Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amesema kuwa, Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi Trilioni 1.34 kuleta mageuzi katika utoaji wa huduma…





