Latest Posts
TBS Yahimiza Wajasiriamali Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa zao Arusha
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya kuthibitisha ubora wa bidhaa wanaozalisha bure kwa gharama za Serikali, hatua ambayo itawasaidia kuondokana na vikwazo vya kiabiashara. Mbali na wito huo kwa wajasiriamali, shirika hilo limewataka wananchi kuhakikisha wananunua…
WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu Waziri Maliasili apongeza
Na WMA – Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo – (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane Nane. Akizungumza…
Kilimo ikolojia hai chapewa msukumo mpya, wadau wataka wakulima waachane na utegemezi wa kemikali
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wakulima nchini wametakiwa kuongeza matumizi ya mbolea, viuatilifu na mbegu za asili kama njia ya kuongeza tija ya uzalishaji, kupunguza gharama za kilimo na kulinda afya ya walaji pamoja na mazingira, huku Serikali ikiendelea kuweka…
Wataalam TANROADS wakumbushwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa katika utendajikazi wao
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesisitiza umuhimu wa kuzingatia matumizi ya taarifa za hali ya hewa katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara na madaraja . Akizungumza na viongozi na watumishi mbalimbali wa Wakala wa…
TBS Yaendelea kutoa elimu ya alama ya ubora ya bidhaa Nanenane Tabora
Na Mwandishi Wetu, Tabora SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kurahisisha upatikanaji wa Alama ya Ubora kwa kuanzisha mfumo wa kidijitali unaowezesha wajasiriamali na wazalishaji kuwasilisha maombi kwa njia ya mtandao, hatua inayolenga kuongeza idadi ya bidhaa zenye ubora unaokidhi…
Waziri Aweso aagiza milioni 508 zipelekwe mradi wa maji Gidas Babati
Na John Walter, Babati Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Maji wa Vijiji vya Endamagay na Gidaboshka, uliopo katika Jimbo la Babati Vijijini. Mradi huo wenye thamani ya Shilingi bilioni 1.099…





