Latest Posts
Tanzania yaonyesha mageuzi makubwa ya afya Jukwaa la Kimataifa
Na John Mapepele, New York- Marekani Tanzania imewasilisha kwa uthabiti mafanikio yake katika kuboresha sekta ya afya kupitia mageuzi ya kimkakati, ubunifu wa kidijitali, na uwekezaji wa ndani unaolenga kuokoa maisha. Akiwasilisha taarifa hiyo katika mkutano unaofanyika 13- 17 Aprili…
Jela miaka mitano kwa kudanganya ameibiwa nyeti zake
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuwakamata jumla ya watuhumiwa 53 wanaodaiwa kuhusika na makosa mbalimbali katika kipindi cha kuanzia Aprili 1, 2026 kufuatia operesheni endelevu za kuimarisha ulinzi na usalama mkoani humo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi…
Ofisi ya Makamu wa Rais kufungua pazia Mei Mosi na Wizara ya Maji
Timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kufungua pazia la Michezo ya Mei Mosi, 2026 kwa kuumana na Timu ya Wizara ya Maji tarehe Aprili 16 mwaka huu. Ratiba iliyotolewa Aprili 15, 2026 na…
CCM Kibaha Mjini yakumbushwa kuimarisha mahusiano
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kongowe MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwajuma Nyamka, amesisitiza Serikali za mitaa pamoja na viongozi wa chama hicho kuimarisha mahusiano katika maeneo yao ili kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa majukumu. Amesema baadhi ya…
Manispaa Kibaha yatenga milioni 700 kukarabati barabara zilizoharibika kwa mvua
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha BARAZA la Madiwani Manispaa ya Kibaha limepitisha bajeti ya jumla ya Sh milioni 700 kwa ajili ya kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zilizonyesha kwa muda mrefu. Fedha hizo zinatokana na mgao wa Sh…
TARURA yaimarisha utekelezako wa miradi ya DMDP II, yasisitiza ubora na utunzaji wa miundombinu
Na Catherine Sungura-TARURA Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuonesha kwa vitendo dhamira yake ya kuboresha miundombinu ya barabara nchini hususan katika Jiji la Dar es Salaam kupitia utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji Jiji la…





