JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania ni mshiriki wetu wa kweli spika Comoro

Spika wa Bunge la Comoro,Moustadroine Abdou amesifu ushirikiano mzuri wa Tanzania na Comoro.Spika Moustadrione ameyasema hayo katika hafla ya chakula cha jioni kuadhimisha miaka 61 ya Muungano iliyoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini humo. Spika Moustadrione amezungumzia pia uhusiano mzuri…

Gesi ya Helium yagundulika na kina cha Km 1.14 chini ya Ardhi

Utafiti wafanyika katika visima vinne *Utafiti umegundua gesi ya Helium yenye ubora wa mkusanyiko wa asilimia 7.9 na 5.5 *Zaidi ya ajira 100 zatolewa kwa jamii Momba, Songwe. Na Mwandishi Wetu, Songwe. IMEELEZWA kwamba utafiti wa gesi ya helium uliofanywa…

Viongozi wa ulimwengu, maelfu wamuaga Papa Francis

Viongozi wa ulimwengu, makasisi na umati wa watu mapema hii leo walikusanyika kwenye Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi wa Kanisa Katoli ulimwenguni Papa Francis. Kadinali wa Italia Giovanni Battista Re aliongoza Ibada ya…

Papa Francis azikwa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amezikwa hii jana mjini Roma, katika mazishi yaliyohudhuriwa na maelfu ya watu wakiwemo viongozi wa dini na marais kutoka kote uliwenguni. Papa Francis amezikwa kwenye Kanisa alilolichagua la Mtakatifu Maria Maggiore mjini Roma,…

Majina waliopita usaili TRA hawa hapa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya watu waliopita katika usaili wa kuandika na hivyo kuitwa kwa ajili ya kufanya usaili wa mazungumzo. https://www.tra.go.tz/images/uploads/public_notice/english/MAJINA_YA_USAILI.pdf

Brigedia Feruzi : Jukumu la wazazi, walezi ni kujua mwenendo na tabia ya watoto wao

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Wazazi na walezi hapa nchini wametakiwa kuona umuhimu wa kuwasimamia kwa karibu Watoto wao wanaosoma katika shule za msingi na sekondari ili waweze kuepukana na tabia mbaya za utoro, uvutaji bangi na amewahimiza kujenga ushirikiano…