Latest Posts
Mgombea ubunge Jimbo la Morogoro awashauri wananchi kuichagua CUF ili kupata haki za kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Nyambi Athuman ambaye ni mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), ambapo CUF inaamini katika falsafa ya ‘Haki Sawa kwa Wote’ itahakikisha kila mwananchi anapata haki zake za…
Polisi waeleza kwa kina mwanafunzi aliyetekwa na kunyongwa, watekaji wataka mamilioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya SEPTEMBA 14, 2025 liliripotiwa tukio la kutekwa nyara kwa Shyrose Michael Mabula (21) aliyekuwa mwanachuo mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Mzumbe ndaki ya Mbeya Kitivo cha Sheria na watu wasiofahamika, ambapo Septemba 16,…
Mgombea urais CCM ahaidi kufungua ukanda wa kaskazini kiuchumi, kukamilisha miradi ya kimkakati
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kukamilisha ujenzi wa daraja la Pangani na barabara ya Bagamoyo–Saadani–Pangani–Tanga, akisisitiza kuwa miradi hiyo ni ya kimkakati kwa kufungua ukanda wa…
Nyamka awashauri wananchi kuchagua mafiga matatu CCM, asisitiza ni msingi wa maendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwalimu Mwajuma Nyamka, amewaasa wananchi wa Kata ya Pichandege kuhakikisha wanachagua mafiga matatu kutoka CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025,huku akisisitiza kufanya hivyo ni msingi…
Kura yako, mustakabali wa taifa
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mchakato wa Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ni safari ndefu iliyohusisha maandalizi ya daftari la wapiga kura, uteuzi wa wagombea, kampeni na hatimaye upigaji kura. Kila hatua inabeba uzito wake, lakini kilele cha safari…





