JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kuukataa unafiki kumemponza Kibanda

Absalom Kibanda, mmoja wa wanahabari mahiri katika Taifa letu, mara zote amekuwa hasiti kunitaja kama “mwalimu” wake.

FASIHI FASAHA

Je, wanahabari hawajui wanajua?

Katika jamii ya kibinadamu, yako makundi manne ya watu yanayotofautiana katika kuishi na kufanya kazi. Asili ya tofauti yao ni upeo na uwezo wa kufikiri, kutamka na kutenda mambo kupambana na mazingira waliomo.

FIKRA YA HEKIMA

Ee Mungu, tuepushie mauaji, mateso haya

Ee Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na ardhi, na vitu vyote vilivyomo, tuepushie janga hili la mauaji na mateso ya kikatili dhidi ya Watanzania.

Haki za wanawake zitambuliwe kwenye Katiba

Haki ya mwanamke ni suala linalohitaji kupewe umuhimu wa kipekee katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tunataka Katiba halisi  ya kudumu

Kama tujuavyo, hivi sasa Taifa letu liko katika mchakato wa kutafuta Katiba mpya ya nchi.

Katiba tunayotafuta sasa itakuwa nafasi ya katiba ya kudumu iliyoanza  kutumika mwaka 1977. Katiba ya nchi tunayotaka kuachana nayo imedumu kwa mbinde kwa sababu ina kasoro nyingi zilizoanza kupigiwa kelele tangu mwaka 1992, wakati Tanzania ilipoingia kwenye mfumo wa vyama vingi.

Uzalendo wa Dk. Reginald Mengi

 

 

*Asaka ufumbuzi wa matatizo ya Watanzania nje ya nchi

*Ateta na mabalozi wa nchi mbalimbali, waonesha nia

Hakika juhudi zake hizi zinadhihirisha jinsi alivyo mzalendo mwenye dhamira ya kuona uchumi wa nchi unakua kama si kustawi,  na maisha bora yanawezekana kwa kila Mtanzania.