Latest Posts
Mashambulizi ya Israel yawaua zaidi ya Wapalestina 50
SHIRIKA la habari la Palestina WAFA limeripoti zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel tangu Jumamosi Alfajiri wengi wao wanawake na watoto. Watu 27 kati ya hao wameuawa katika jiji la Gaza. Jeshi la Israel kwa upande…
Tanzania Kyrgyzstan kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kyrgyzstan, Mhe. Zheenbek Kulubaev, wamesaini Tamko la Pamoja kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Muungano…
Ujumbe wa Malawi watemblea maonesho ya Nanenane ya teknolojia ya madini Geita
Na Mwandishi Wetu, Geita SHIRIKISHO la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA) limepokea mwaliko rasmi kutoka kwa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Malawi kushiriki katika Maonesho ya Kwanza ya Teknolojia ya Madini nchini humo, yanayotarajiwa…
Dk Biteko aeleza miaka 10 ya mapinduzi ya maendeleo Bukombe
Ataja sababu za kumchagua Dkt. Samia kwa kura nyingi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa kwa Serikali ya CCM inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada…
Deodatus Balile apongeza matumizi ya nishati jua katika kilimo na uhifadhi wa mazao
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania Deodatus Balile amewaasa waandishi wa habari nchini kuongeza nguvu katika kuandika na kuripoti habari zinazohusu matumizi ya nishati ya jua hasa katika sekta ya kilimo na uhifadhi…
Samia kusaka kura Kibaha, Tanga
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan anatarajia kuendelea na kampeni zale cha uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mkoani Septemba 28,2025. Rais Samia kesho anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa katika uwanja…





