JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Fukuto kali Mwalimu Nyerere University (2)

Kuna tatizo kubwa sana katika suala la hili, wahadhiri wengi katika idara ya Elimu na taaluma za jinsia wanafundisha masomo wasiokuwa na ubobevu nayo. Mfano: i. Mhadhiri ana shahada ya uzamili katika uongozi wa elimu, anafundisha historia kwa wanafunzi wa…

Bulyanhulu waomba Prof. Muhongo awasaidie

Waliokuwa wafanyakazi wa mgodi wa Acacia Bulyanhulu, wamemuomba Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo awasaidie. Zaidi ya wafanyakazi 1,375 wa Kampuni ya Acacia Bulyanhulu ya Shinyanga na Acacia North Mara mkoani Mara, wamehoji kiburi cha mwajiri kuwatimua kazi…

Mchechu aibadili sura Dar

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) chini ya Mkurugenzi Mkuu, Nehemia Mchechu limefanikiwa kubadili sura ya jiji la Dar es Salaam kwa kujenga nyumba bora za makazi na biashara. Wakati wananchi walio wengi wamekuwa wakiishi mbali na Jiji la Dar…

Bandari yamliza mfanyakazi miaka 22

Menejimenti ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeingia katika kashfa nyingine baada ya kudaiwa kufanya makato makubwa kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi yasiyojulikana yanapelekwa wapi. Edrick Katano ni miongoni mwa wafanyakazi wengi waliokatwa makato yasiyo na maelezo. Kabla…

Uchaguzi wa Marekani ni demokrasia ya kiini macho

KWA muda wa miezi kadha sasa habari kutoka Marekani zimekuwa zikitawaliwa na kinyang’anyiro cha urais. Wagombea wanaowania tiketi za chama wamekuwa wakipambana na kulumbana huku mashabiki wao wakitiana ngumi na kushikana mashati. Mgombea mmoja anasema “Ukinichafulia mkutano wangu nami n’tamwaga…

Barua ya wazi kwa Rais John Magufuli (2)

KAMATA KAMATA NA MAUAJI HOLELA KISANGIRO Mwaka jana, Hashim Shaibu Mgwandila, aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro na kuahidi kuwasaka wahamiaji haramu popote walipo ndani ya Wilaya ya Ngorongoro. Alianzisha operesheni ya kuwasaka katika Tarafa ya Loliondo tu na…