Latest Posts
Wachimbaji 17 wafukiwa na kifusi machimbo ya Mwakitolyo, sita wafariki
Na Patrick Mabula , Shinyanga Wachimbaji wadogowadogo wa dhahabu wapatao sita wamefariki dunia na wengine 11 kunusurika baada ya kufikiwa na kifusi kwenye machimbo ya dhahabu ya Mwakitolyo , halmashauri ya Shinyanga. Watu hao walifukiwa katika machimbo ya Mwakitolyo namba…
Wizara ya Maliasili na Utalii yaomba zaidi ya Bilioni 359/- kwa Bajeti ya 2025/2026
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imewasilisha maombi ya kuidhinishiwa kiasi cha Shilingi bilioni 359.98 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali katika mwaka wa fedha 2025/2026. Maombi hayo yametolewa leo Mei 19, 2025 bungeni jijini Dodoma…
Serikali kutatua changamoto ya kufurika wa mito
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema inatarajia kuwezesha usafishaji na ujenzi wa kuta za mito yenye changamoto ya kufurika hasa wakati wa mvua ili kuwanusuru wananchi na kuathiriwa na mafuruko. Hayo yamesemwa na…
Majaliwa : Serikali imejipaga kudhibiti magugumaji ziwa Victoria
*Amshukuru Rais Dkt. Samia ununuzi wa mitambo ya uteketezaji wa magugumaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha changamoto ya uwepo wa magugumaji katika ziwa Victoria inapatiwa ufumbuzi ili kuwezesha shughuli za kijamii ziweze kuendelea katika…
Nyongeza ya mshahara asilimia 35.1, uthibitisho wa Rais Samia kuwajali wafanyakazi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Kila ifikapo Tarehe 01 Mei ya kila mwaka, huadhimishwa Siku ya Wafanyakazi Duniani. Kila nchi huadhimisha siku hii kwa utaratibu wake, muhimu ni kufanya tafakuri ya hoja za wafanyakazi ili hoja hizo zifike katika…