Latest Posts
Wizara ya Maliasili yatangaza vipaumbele 10 vya Bajeti 2025/2026 ikiwemo kuinua italii na uhifadhi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imetangaza vipaumbele vyake kumi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 ikiwemo Kuendelea kutangaza utalii ndani na nje ya nchi kupitia,matangazo katika ligi kuu za michezo mashuhuri duniani,mashindano ya kimataifa, mashirika ya…
Tundu Lissu afikishwa mahakamani
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani leo Mei 19, 2025 kwa ajili ya kusubiri kutajwa kwa kesi mbili za jinai zinazomkabili ikiwemo uhaini na kuchapisha taarifa za uongo Lissu anakabiliwa na…
Joe Biden agunduliwa na saratani ya tezi dume
Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amepatikana anaugua saratani ya tezi dume. Inaripotiwa saratani hiyo imesambaa hadi kwenye mifupa yake. Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amegundulika kuwa na aina kali ya saratani ya tezi dume ambayo imesambaa…