Latest Posts
Kabla ya kutuma majeshi Burundi tuangalie Somalia
Mwishoni mwa mwaka jana Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Mahiga, alifanya ziara ya siku moja nchini Burundi ili kuangalia hali ya huko kuhusu vurugu zinazoripotiwa. Aliporudi alieleza kuridhishwa na “hali ya…
Zanzibar koloni la Tanganyika?
Wakati Zanzibar ikikumbwa na mzozo wa kisiasa baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), Jecha Salim Jecha kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka jana kwa madai ya kuwepo kwa dosari mbalimbali, hali ya mambo imekuwa…
Huduma ya Kwanza: Kuumwa na wadudu
Mwathirika wa ajali huhitaji ahudumiwe haraka, tena kwa muda mfupi, huku mipango ikiwa inafanywa hadi atakapotokea daktari au atakapopelekwa zahanati ama hospitali kwa tiba inayostahili… Kuumwa na Vidudu Miumo ya vidudu huwapa watu wengine madhara makubwa zaidi ya wengine….
‘Wandu makoko’ (2)
Kwa kukazia uanzilishi mzuri wa chombo kile, akiteua mawaziri wawili vijana aliowaamini – Maalim Seif Shariff Hamad (Elimu) na Haji Mlinde (Waziri Ofisi ya Rais, Vikosi vya SMZ) waje bara kuzuru JKT waone shughuli zinavyoendeshwa na vijana. Nia ilikuwa wakirejea…
Wachuuzi wakiachwa hivi hivi ni ‘jeshi hatari’
Juzi nilishiriki mjadala mfupi katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Niliweka picha ya wachuuzi waliovamia eneo la waenda kwa miguu katika eneo la Ubungo, Dar es Salaam. Maudhui ya picha hiyo yalikuwa kuwafikishia taarifa (kana kwamba hawazioni wala hawazijui) viongozi…
Yah: Kitimutimu cha Magufuli na mawaziri wake wa awamu ya tano
Niliposikia malalamiko ya watu kuwa Mheshimiwa Magufuli anachelewa kutaja baraza la mawaziri nilikuwa najiuliza kwani mawaziri ni lazima akurupuke kuwachagua ili serikali iwepo au hao wanaoitwa makatibu wakuu kazi zao ni zipi kama siyo kusimamia wizara zao kiutendaji, na ukweli…