JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia amwaga neema Songea

Na Kulwa Karedia ,JamhuriMedia,Songea Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu ameahidi kufanya mambo makubwa endapo atachaguliwa tena kuongoza nchi. Rais Samia ametoa kauli Septamba 21,2025 wakati akihutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Songea kwenye viwanja vya…

Maadhimisho ya Siku ya Faru Duniani, wahamasiaha uhifadhi wa faru

Picha za Matukio mbalimbali ya Maadhimisho ya siku Faru Duniani ambapo leo tarehe 22 Septemba 2025 Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Karatu, wadau wa Uhifadhi na Utalii na Wananchi wameungana katika Mbio…

Ufaransa kuitambua Palestina kama taifa huru

Ufaransa na Saudi Arabia zitaongoza mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi na serikali katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kujaribu kufufua matumaini ya suluhisho la mataifa mawili ambayo yalikuwa yamekwama kwa muda mrefu. Mkutano huo unafanyika mjini New…

Riek Machar afikishwa mahakamani Sudan Kusini

Kiongozi wa upinzani aliyewahi uwa makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amefikishwa mahakamani Jumatatu 22.09.2025. Machar anakabiliwa na mashtaka kadhaa yakiwemo uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhaini. Makamu huyo wa zamani wa Rais Anatuhumiwa pia kwa kuamuru mashambulizi…

Urusi, Ukraine zashambuliana usiku kucha

Ukraine na Urusi zimetupiana lawama baada ya mashambulizi makali kati ya pande hizo mbili usiku wa kuamkia Jumatatu. Mkuu wa eneo la Crimea lililo chini ya Urusi Sergey Aksyonov amesema watu watatu wameuawa na wengine 16 wamejeruhiwa kutokana na mashambulizi…

Kim Jong Un: Korea Kaskazini haikwepi mazungumzo na Trump

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesema hana sababu ya kuyakwepa mazungumzo na Marekani kama nchi hiyo haitomshinikiza kuachana na silaha za Nyuklia. Akizungumza katika hotuba yake mbele ya bunge Jumapili 21.09.2025, Kim alisisitiza kuwa kamwe hatoachana na silaha…