Latest Posts
NUKUU ZA WIKI
Julius Nyerere: Kufikiri unajua kila kitu ni hatari
“Watu walio hatari sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu, wala hawana haja ya kujifunza tena. Hii ni tabia mbaya ambayo huzuia kabisa maendeleo.”
Samata, Ulimwengu kuibeba ‘Kili’ Chalenji
Wachezaji wa TP Mazembe (DRC), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wametajwa kuwa ndiyo wachezaji watakaongoza Jahazi la timu ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, kutwaa Kombe la Chalenji mwaka huu. Tangu kujiunga kwa wachezaji hao katika timu hiyo kumeonesha kung’ara. Samata …
Nelson Mandela: Mwana masumbwi hodari
Katika kitabu chake cha “Long Walk to Freedom”, Nelson Mandela hakuficha kueleza mapenzi yake katika mchezo alioupenda na kuucheza – mchezo wa masumbwi.
M23 walia njaa
Waona giza nene mbele yao, Uganda yaonya vita inanukia
DRC yazidisha mashaka kwa Uganda, Watanzania waonya
Hatua ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kukataa kusaini mkataba wa amani na kundi la waasi la M23, imepeleka kilio kwa kundi hilo, na sasa wanalia njaa uhamishoni nchini Uganda.
NUKUU ZA WIKI
Bill Getes: Kukumbuka ulipokosea ni muhimu
Ni vizuri kusherehekea mafanikio lakini ni muhimu zaidi kukumbuka uliposhindwa awali.
Kauli hiyo ilitolewa na mfanyabiashara mkubwa wa Marekani na Mwenyekiti wa Microsoft. Bill Gates.
Wastaafu wahoji hati ya Muungano Pemba, Unguja
Wastaafu wa kada mbalimbali serikalini wameitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) chini ya Rais, Dk. Ali Mohamed Shein, kuonesha hati ya Mungano wa Unguja na Pemba iwapo visiwa hivyo viliungana kisheria na mkataba kutambuliwa na Umoja wa Mataifa.