Latest Posts
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
EFD kuongeza mapato ya Serikali wapiga kura
Serikali imeamua kuanzisha mfumo wa uotoaji risti kwa kutumia Mashine za Kielekitroniki za Bodi (EFD). Kwa mujibu wavuti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mfumo huo unachukuwa nafasi ya mashine za rejesta za fedha ambazo zimekuwa zikitumika zamani.
Mashine hizo hazikukidhi mahitaji yaliyotarajiwa ikiwa ni pamoja na kurahisisha mauzo kwenye sehemu za biashara.
Mteja na Sayansi ya kununua
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa gazeti hili, pamoja na wapenzi wa safu hii. Kwa takribani wiki nne sikuwapo hewani kutokana na sababu kadhaa ikiwamo kutingwa na shughuli za kiujasiriamali.
Tendulkar aaga rasmi kriketi
Mchezaji bora zaidi wa Kriketi nchini India mwishoni mwa wiki, ameaga rasmi mchezo huo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 40 anatarajia kumenyana na West Indies katika mchuano wa mwisho wa mashindano ya yajulikanayo kama ,Test, katika uwanja mashuhuri wa Wankhede.
Habari mpya
- Meya Kibaha kuchimba visima vinne kupunguza kero ya maji Pangani
- Huduma za malezi ya kambo zimeongezeka
- Balozi Dk Migiro afanya mazungumzo na Balozi wa China Tanzania
- Dk Natu: Tanzania, UNICEF kuendeleza ushirikiano
- Muonekano majengo ya Kampasi ya Lindi ya UDSM, Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi
- Polisi wa Utalii’ waimarisha usalama, imani kwa wageni
- Simbachawane awataka wanaKegara walioko nje kurejea nyumbani kuwekeza
- Morocco yaanza Afcon 2025 kwa ushindi dhidi ya Comoros
- Dk Mwigulu atoa siku saba kwa TANROADS, TARURA Lindi
- Huu ndio utaratibu wa msiba na mazishi kwa kabila la Wahadzabe
- NAOT yaweka mpango mkakati kuandaa ripoti za ukaguzi kwa nukta nundu
- UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti
- Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
- Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu
- Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia