Latest Posts
Serikali isifumbie macho wawekezaji hawa
Katika Gazeti letu la JAMHURI, toleo la wiki iliyopita na wiki hii tumeripoti kwa kina habari ya uchunguzi kuhusu mwekezaji wa kampuni ya utafutaji wa mafuta na gesi, kusini mwa Ziwa Tanganyika, kutoa chanjo kwa wafanyakazi wake isiyotumika nchini. Chanjo…
Tumekosea barabara za mwendo kasi (1)
Nianze hoja yangu kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na amani ndani ya mioyo yetu, na hatimaye kuweza kuyafanya mengi tuyafanyayo kila kukicha likiwamo hili la ujenzi wa barabara za kuwezesha mabasi kwenda mwendo kasi. Kwa mantiki hiyo…
Makongoro Nyerere: Nichagueni ninyooshe nchi
Mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tayari wamejitokeza watangaza nia 40 ambao wote wanawania kiti cha urais, waweze kumrithi Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Kila anayetangaza nia…
Wachina wabuni uhujumu uchumi mwingine
Kwa sasa kumetokea mchezo mchafu unaofanywa na raia wa China na Singapore walio hapa nchini. Mchezo huu umeshamiri baada ya baadhi ya Wachina wasio waaminifu kushiriki biashara ya pembe za ndovu. Wameanzisha utaratibu wa kusajili kampuni za kusafirisha samaki hai…
Chanjo ya sumu kuteketeza 190
Chanjo iliyotolewa na mwekezaji wa Kampuni ya Utafutaji wa Mafuta na Gesi kwenye miamba iliyopo chini ya maji katika eneo la kusini mwa Ziwa Tanganyika, imeelezwa itateketeza taratibu watu zaidi ya 190 kati yao Watanzania wakiwa asilimia 90, imefahamika. Chanjo…
Namhurumia Rais ajaye
Wakati mwingine Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete mwenyewe anatuanzishia mada zinazotufanya tumjadili. Hatupendi kumwandama Rais wetu, lakini kauli zake zinatufanya tujitose kumkosoa kwa sababu ya kuweka rekodi sawa sawa. Wiki iliyopita alinukuliwa akitetea uamuzi wa Serikali yake, ambao kimsingi ni uamuzi…