Latest Posts
Dk. Lwaitama: Tuboreshe, tusivunje Muungano
Nimesikitishwa na aina ya uandishi wa habari uliojiweka wazi katika taarifa iliyonukuliwa kuandikwa na mwandishi wa gazeti moja la kila siku (Tanzania Daima la Agosti 7, 2012), Datus Boniface. Huyu mwandishi, pamoja na wahariri wake walioruhusu habari hiyo kuchapwa walithubutu kusema uongo kuwa eti “ Dk Lwaitama, Prof. Sheriff na Prof Shivji waliushambulia Muungano.” Tena, mwandishi huyu na wahariri walioruhusu habari hiyo ichapishwe wakaenda mbali zaidi na kutumia kichwa cha habari kilichosema eti ‘Shivji, Lwaitama wataka Muungano uvunjwe’.
Yah: Mwongozo wa Spika, lini serikali itahamia Dodoma?
Wanangu, leo ni siku nyingine ya Jumanne katika wiki hii ambayo ni nadra sana kuifikia, kama hujui kwamba kesho ni mtihani mkubwa kwako kutokana na siri kubwa aliyonayo Mwenyezi Mungu juu yako; ni yule ambaye si muumini wa dini yoyote ndiye anayeweza akawa kichaa asijue hilo. Nimefarijika mno na demokrasia inayoendelea hapa nchini kwa mambo ambayo kama si kigezo, yanaweza yakatutoa siku moja hapa tulipo na kutupeleka kule tutakako kwa nia njema na ya dhati kutoka kwa hao waitwao watawala wenye nia njema ya maendeleo.
Madai ya Tundu Lissu yachunguzwe
Katika gazeti la leo kuanzia ukurasa wa kwanza tumechapisha ripoti maalum yenye kuonyesha hali ya wasiwasi katika muhimili wa tatu wa dola uliokasimiwa jukumu la msingi la kutoa haki. Wasiwasi huu umeibuliwa na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
Kagasheki akimweza huyu, ataweza kila kitu
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), aliubua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited, mkataba ambao umetengenezwa na kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys na kusainiwa Machi 23, 2007.
Wabunge waunga mkono msimamo wa Morocco
Bunge la Tanzania linaunga mkono msimamo wa Morocco katika kupata ufumbuzi wa mgogoro kati ya taifa hilo na taifa la Sahara Magharibi. Mwaka 1975 uliibuka mgogoro wa ndani kati ya Morocco na taifa la Sahara Magharibi linalotaka kujitangazia Uhuru. Mgogoro huu uliofanya Sahara Magharibi kujenga ukuta kama wa Berlin kule Ujerumani, umekuwa na madhara makubwa ndani ya taifa la Morocco.
- Timu ya wataalamu kutoka SADC watembelea TMA kukagua na kukabidhi vifaa vya hali ya hewa
- Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini
- Rais Samia atunukiwa Tuzo ya heshima kutambua mchango wake katika mapambano dhidi ya majanga
- Umeme jua kuchochea uchumi maeneo ya vijijini
- Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama
Habari mpya
- Timu ya wataalamu kutoka SADC watembelea TMA kukagua na kukabidhi vifaa vya hali ya hewa
- Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini
- Rais Samia atunukiwa Tuzo ya heshima kutambua mchango wake katika mapambano dhidi ya majanga
- Umeme jua kuchochea uchumi maeneo ya vijijini
- Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama
- Wazazi acheni kuwaita watoto majina mabaya
- WorldVeg kuimarisha utafiti na mafunzo ya mbegu bora kwa kilimo endelevu kusini mwa Afrika
- Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024
- ZEC : Kura ya mapema ipo kama kawaida
- Kanisa la miaka 113 kuhamishwa hadi katikati ya jiji la Uswidi
- Mkutano wa amani kati ya Putin na Zelenskyy wanukia
- Soma Gazeti la Jamhuri Agosti 19 -25, 2025
- Prof. Kabudi : Uandishi wa habari ni taaluma anayefanyakazi hii lazima awe na vigezo
- Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuboresha sheria kuelekea utekelezaji wa dira 2050
- Dk Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi