JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yazindua mradi wa mazingira Kigoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNCHR) imezindua Mradi wa Kujenga Uwezo wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi katika Mazingira…

JKCI, UNA VOCE PER PADRE PIO wasaini mkataba kuwasaidia watoto wenye matatizo ya moyo Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMdia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imesaini mkataba wa kushirikiana na Shirika la UNA VOCE PER PADRE PIO lililopo nchini Italia kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo waliopo barani Africa. Mkataba huo umesainiwa…

Mkuu wa Majeshi Uganda awatishia raia wanaompinga babake

Mkuu wa majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema kuwa raia yeyote ambaye hatampigia kura baba yake katika uchaguzi mkuu ujao, atafukuzwa nchini humo. Mkuu wa majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema kuwa raia yeyote ambaye hatampigia kura baba…

Zelenskiy agomea mazungumzo baada ya Putin kutotokea

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amegomea mazumgumzo ya amani yaliopangwa nchini Uturuki baada ya Rais wa Urusi Vladmir Putin kutojitokeza na badala yake viongozi hao wamewakilishwa na maafisa wa chini. Ametangaza kuwa hatashiriki mazungumzo ya amani yanayotarajiwa kufanyika leo mjini…

Maboresho ya Rais Samia, yaukuza thamani mfuko WCF wafikia bilioni 748/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), John Mduma (WCF), amesema maboresho mbalimbali yaliyofanyika ndani ya mfuko huo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan yamechagiza ukuaji mkubwa wa mfuko huo ambapo…

Rais wa Finland atembelea makumbusho ya Taifa

Na Happiness Shayo, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Finland, Mhe. Alexander Stubb, ametembelea Makumbusho ya Taifa la Tanzania jijini Dar es Salaam na kuonesha kufurahishwa na maonesho ya historia ya mwanadamu yaliyopo katika jumba hilo la kihistoria. Akizungumza…