Latest Posts
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
‘Kutegemea kubaya kupita kote ni kutegemea mtu mwingine kwa mawazo
Katika sehemu iliyopita, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema hata angekuwa anafuata sera za kibepari, angejenga viwanda. Anasema mabepari ndiyo walioanza kujenga viwanda, na viwanda vyenyewe havikuwa na sera. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba ya Mwalimu aliyoitoa katika kilele cha Sherehe za Mei Mosi, mwaka 1995 mkoani Mbeya.Juzi
Rais Kagame si wa kumwamini sana
Makala iliyopita ya “JWTZ nginjangija Goma hadi Kigali’, imenifumbua macho. Nimepata simu nyingi na ujumbe wa maandishi usio idadi. Wapo waliotumia lugha kali, lakini wengi walikuwa waungwana. Hiyo ndiyo raha ya mijadala. Kuna wakati tunaweza kukubaliana kwenye baadhi ya mambo, na wakati mwingine tusikubaliane kwa hoja fulani fulani. Muhimu ni kujenga moyo wa uvumilivu na staha.
Sote tukiwa waoga nchi itayumba
Ni kosa kubwa kwa mtoto wa Kizanaki kumtamkia mtu aliyemzidi umri neno ‘mwongo’. Hawa ni tofauti na makabila mengine, mathalani Wajita. Wao mtoto ana uhuru na haki ya kumtamkia mzazi au mtu aliyemzidi umri neno ‘mwongo’. Wakati Mzanaki atapambana kumnasa vibao mtoto anayeamini kamtukana, mzazi wa Kijita atafanya juhudi za kupambana kwa hoja kumthibitishia mtoto yule kwamba yeye (mkubwa) si mwongo. Hizo ni tofauti za wazi kwa makabila hayo mawili.
Messi alipa faini ya kukwepa kodi
Nyota wa timu ya soka ya Barcelona na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi pamoja na baba yake mzazi wamelipa euro milioni tano, sawa na dola milioni 6.6 za Marekani, baada ya kubainika na kosa la kukwepa kodi. Messi na mzazi wake huyo walidaiwa kukwepa kulipa kodi hiyo ya serikali kwa njia za ujanjaujanja.
Kambi ya upinzani walitoka na hoja zao
Wiki iliyopita, Mkutano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa na vibweka na vimbwanga vingi vyenye kuacha kinywa wazi kwa mshangao na hamaki kwa mtu yeyote makini mwenye kuujali mustakabali mwema wa nchi yake.
Hata hivyo, pamoja na vibweka na vimbwanga vilivyotokea kwenye kikao hicho, ukweli unabaki kuwa kilikuwa kikao chenye moja ya miswada muhimu yenye kipekee unaokwenda kuweka jiwe jipya la msingi kwa Tanzania tunayoihitaji kuijenga kwa miaka 50, au hata 100 ijayo.
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
- Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
- DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
Habari mpya
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
- Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
- DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
- Mchengerwa : Tanzania hatutaki kuwa soko duni la dawa
- Mndolwa akagua bwawa la ujenzi Mkomanzi, ujenzi wafikia asilimia 85
- Meya Kibaha KIBAHA aitaka DAWASA Kibaha kuacha kigugumizi, utatuzi kero ya maji Viziwaziwa
- EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano
- DC Mpogolo: Ilala wanafanyakazi kwa umoja na mshikamano
- Waziri Kombo awasilisha ujumbe maalum wa Rais Dk Samia kwa Sultan wa Oman
- Serikali kuanzisha jukwaa la kidigitali kwa vijana
- Serikali yasisitiza usalama ,mapato mpakani Mutukula
- Uongozi wa APRM wakutana na viongozi wa vyuo vikuu
- 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗱𝗵𝗮𝗿𝘂𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗮𝘇𝗶𝗿𝗶 𝗜𝗖𝗚𝗟𝗥 – 𝗣𝗦𝗖 𝗙𝗿𝗮𝗺𝗲𝘄𝗼𝗿𝗸 𝘄𝗮𝗵𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗷𝗶𝘁𝗶𝗵𝗮𝗱𝗮 𝘇𝗮 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘇𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮