Latest Posts
Sadifa atangaza vita dhidi ya Maalim Seif
.Amtuhumu kuwa ni kibaraka wa Waarabu
.Adai Seif akipewa nchi, ataiuza asubuhi
.Rais Dk. Shein amsifu Sadifa hadharani
.CUF waijia juu Polisi, wadai Sadifa ni…
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Khamis Sadifa Juma, ametangaza hadharani vita ya kupambana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad.
Lowassa amtesa JK
Waanza zengwe la tatu bora
Kinana akata mzizi wa fitina
Taarifa kuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, huenda akaenguliwa iwapo atatangaza nia na kuchukua fomu kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zimezidi kushika kasi.
Wataka Mahakama Maalum ya dawa ya kulevya
Baadhi ya wanasheria, viongozi, wananchi na watumiaji wa dawa za kulevya wamependekeza kuanzishwa kwa Mahakama Maalum ya Dawa za Kulevya wakiamini kuwa itapunguza tatizo hili nchini, ingawa baadhi ya viongozi wamesema uadilifu ni zaidi ya Mahakama Maalum, gazeti la JAMHURI limebaini.
Iddi Azzan afunguka
• Aeleza alivyohusishwa na uuzaji wa ‘unga’
• Ataka wasambazaji wahukumiwe kifo
• Afafanua utajiri wake, asema bila kazi huli
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan, amezungumzia kwa mara ya kwanza tuhuma zinazotolewa dhidi yake kuwa yeye ni muuzaji mkubwa wa dawa za kulevya nchini. Yafuatayo ni mahojiano kati ya Mbunge huyo na JAMHURI yaliyofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.
China kuboresha Makumbusho ya Mwalimu Nyerere
Kwao neno la kwanza kujifunza ni ‘rafiki’ jina la kwanza wanalojua ni ‘Nyerere’
Kwa baadhi ya Watanzania, jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, si muhimu sana kwao. Hii pengine inathibitisha ule usemi wa ‘nabii hakubaliki kwao’.
liyepooza miguu, kutimuliwa Bugando apona kwa mganga
Miezi michache baada ya baadhi ya madaktari na wauguzi wa Hospitali Teule ya Bugando kumtimua mgonjwa aliyeoza makalio akiwa wodini, kijana mwingine aliyepooza mwili kuanzia kiunoni hadi miguuni naye ameondolewa.