Latest Posts
Uyovu wamkubali Dk Samia, kumpigia kura nyingi Oktoba 29
Dkt. Biteko kuifanya Uyovu kuwa kitovu cha biashara Bukombe Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mgombe Urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha Kata ya Uyovu kimaendeleo hivyo…
Ilani ya Uchaguzi CCM inagusa maisha ya watu, wataichagua
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAKAMU MMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Watanzania wataichagua CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa kuwa Ilani yake ya Uchaguzi inagusa maisha na maendeleo yao. Amesema hakuna chama…
THBUB yawanoa waandishi wa habari Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Zulfa Mfinanga,JamhuriMedia, Arusha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo maalumu kwa waandishi wa habari mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kukuza na kulinda haki za binadamu pamoja na kuimarisha utawala bora…
Kawaida asema Samia, Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Zanzibar Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Taifa, Mohamed Ali Kawaida amesema mgombea urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Hussein Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid kwa kujenga…
Wanu: Samia, Mwinyi wameleta umoja, amani
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea ubunge Jimbo la Makunduchi, Wanu Hafidh Ameir (CCM), amesema anajivunia umoja na mshikamano wa amani na umoja uliopo. Wanu ametoa kauli hiyo leo Septamba 17,2025 alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wafuasi wa CCM katika…
Mgombea Haroun : Rais Samia, Mwinyi wamefanya kazi kubwa ya maendeleo
Mgombea Uwakilishi Jimbo la Makunduchi, Haroun Ali Suleiman amesema mgombea urais wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan na mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi wamefanya kazi kubwa ya maendeleo. Suleiman amesema hayo leo Septemba 17 katika…





