Latest Posts
Ikulu inahangaika na neno SIRI, wezi wanashangilia!
Wiki iliyopita nimepata msukosuko. Haukuishia kwangu tu, bali hata wafanyakazi wenzangu – Edmund Mihale na Manyerere Jackton – nao yamewakuta sawa na yaliyonikuta mimi. Jumatano ya Julai 17, 2013 nilipokea simu ya wito kutoka Polisi Makao Makuu, Dar es Salaam.
Ustawi wako kiuchumi unategemea fikra yako
Watanzania (na wanadamu wengine duniani kote) nyakati hizi; tunaishi kwenye zama zenye misongo mikubwa ya kimaisha; kubwa likiwa ni tatizo la kiuchumi.
Rwanda: Kagame hakumtukana Kikwete
*Yawataka Watanzania kupuuza uvumi mitandaoni
Baada ya kuwapo joto kali la maneno ya kidiplomasia kutoka kwa maafisa wa Serikali za Tanzania na Rwanda kutokana na habari kwamba Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemtukana Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Serikali ya Rwanda sasa imetoa msimamo rasmi kukanusha tuhuma hizo.
Muziki wa kizazi kipya na ubunifu hafifu
Sanaa ya muziki nchini Tanzania inakuwa siku hadi siku. Kuna viashiria fulani ambavyo kwa namna moja ama nyingine, vinaonesha ukuaji wa sanaa hii ambayo mojawapo ya kazi zake ni kuburudisha na kuelimisha.
Mikataba siri ya mafanikio Rwanda
Wakati maelfu ya wanafunzi Tanzania katika shule za msingi nchini wanakosa madawati na vitabu, nchini Rwanda nusu ya wanafunzi wanamiliki kompyuta mpakato.
Ajira ya vijana Chadema ni ‘ukomandoo’
Tangu nchi yetu iliporuhusu tena mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, imeendelea kushuhudia mengi – mazuri na mabaya. Ninamuomba Mungu aendelee kutuepusha na hayo mabaya.