Latest Posts
Mchakato wa Katiba haukuandaliwa vizuri
Kama tujuavyo Bunge la Mabadiliko ya Katiba limekumbwa na vurugu na misukosuko kiasi cha kutia aibu Taifa letu.
Nashindwa kusema Bunge hilo liliendelea kujadili Rasimu ya Katiba kwa ukaidi wa nani. Maana wakati wote magenge mbalimbali ya watu waliendelea kudai Bunge hilo lisitishe shughuli zake, hasa baada ya wabunge wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge hilo.
ongezi JWTZ kwa kutimiza miaka 50 -2
Juma lililopita, nilitoa pongezi kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa Septemba Mosi, 1964. Ukweli Jeshi hili liliasisiwa baada ya Jeshi la Tanganyika (Tanganyika Rifles-TR) kuasi Januari 20,1964.
Pongezi ‘JAMHURI’, Maimuna Tarishi mapambano ya mauaji ya tembo
Tunaomba kukupongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, na baadhi ya wadau kwa kufungua baadhi ya fahamu za Watanzania wazalendo na wanyonge, na huo ndiyo uongozi bora kwa viongozi wapenda maendeleo ya nchi yao.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Pinda hafai kuwa Rais
Ni matumaini yangu kuwa Watanzania wenzangu hamjambo hasa wale Watanganyika walalahoi kama mimi, sizungumzii wale wanaoishi kama wapo paradiso.
Nimesoma magazeti kadhaa, karibu wiki nzima yanazungumzia habari ya ‘mtoto wa mkulima’ Mizengo Pinda eti anataka urais na wengine kuanza kumpigia debe kwamba anafaa eti kwa vile ni muadilifu, pia hana tuhuma za ufisadi.
- Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu ziara za kikazi alizofanya Rais Dkt. Samia
- Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027
- Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar
- Dk Possi: Viongozi ni taswira ya taasisi na Serikali kwa jamii
- IPI yawateua wabunge 320 kuwaletea maendeleo wananchi
Habari mpya
- Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu ziara za kikazi alizofanya Rais Dkt. Samia
- Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027
- Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar
- Dk Possi: Viongozi ni taswira ya taasisi na Serikali kwa jamii
- IPI yawateua wabunge 320 kuwaletea maendeleo wananchi
- Naibu Waziri aipongeza CBE kwa machapisho 148 ya kitaaluma
- Waziri Mkuu akagua mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta
- Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars
- Daraja la mto Pangani ni kichocheo cha uchumi – Dk Mwigulu
- Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi daraja la Pangani
- JAB yajipanga kuendelea kutoa mafunzo kwa waandishi, wamiliki wa vyombo vya habari
- Waziri Mkuu Dk Mwigulu atembelea ofisi za CCM Tanga
- Simanjiro yapitisha bilioni 45/- mpango wa bajeti 2026/2027
- RITA yatoa mafunzo ya usimamizi wa mirathi, utatuzi wa migogoro kwa viongozi, wazee wa kimila
- TRC yaokoa bilioni 12.9 kila mwaka, Bunge lapongeza