Latest Posts
Rais Obama: Haijapata kutokea
*Manowari, ndege vita kufunika anga la Tanzania
*Mashushushu zaidi ya 60 kumlinda akiwa D’Salaam
*Vioo maalumu visivyopenya risasi vyaletwa toka USA
Rais Obama anayetarajiwa kuwasili hapa nchini wiki ijayo, ziara yake itakuwa na mambo mengi ya kusisimua na kuonesha ukwasi wa Taifa hilo lenye nguvu za kijeshi na kiuchumi kuliko taifa lolote katika sayari hii ya dunia.
Wiki ya ugeni mzito yawadia Tanzania
Wiki moja au siku saba kati ya Juni 27, 2013 na Julai 4, 2013 Tanzania itapata ugeni mzito unaoweza kubadili historia ya nchi hii. Rais wa Marekani Barrack Obama anatarajiwa kuwa mmoja wa wageni watakaofika hapa nchini, kwa nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na Marekani.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Vyama viwasaidie wananchi kujiendeleza
“Lazima chama [cha siasa] kiwasaidie wananchi kujiendeleza na kupanua mawazo yao kwa kuwaelimisha, kwa kuwaunganisha kwa hiari katika shughuli zao za kujitegemea, na kadhalika.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
NAONGEA NA BABA
Nani anaharibu nchi yetu?
Naikumbuka siku uliyofariki Mwalimu. Nilikuwa mdogo, mwanafunzi pale Sekondari ya Baptist. Siku uliyofariki Baba wa Taifa letu, na siku kadhaa zilizofuata, kulijaa utulivu wa hali ya juu, lakini utulivu huo haukudumu maana palianza kusikika vilio vya hapa na pale.
Saruji kutoka nje ya nchi isizuiliwe
Wiki iliyopita baadhi ya wamiliki wa viwanda vya kuzalisha saruji wamekaririwa na vyombo vya habari wakidai kuwa wanataka saruji kutoka nje ya nchi izuiliwe kuingia hapa nchini. Wanajenga hoja kuwa saruji kutoka nje itaua viwanda vya ndani.
Kauli za wanasiasa zitaliangamiza taifa
Masuala yoyote yanayohusu taifa letu yasipoendeshwa kwa mtazamo chanya, hasa wa kifikra na kivitendo, tusitarajia kuwa na taifa lenye amani, upendo na umoja – tunu ambazo huzaa maendeleo ya taifa lolote duniani.